Shida kama lilikuwa linapita Lori la mizigo wewe uwe na vits mbona utaona ndoa ngumu

Ndio maana foleni haziishi kuongeza maumbile na vijiwe vya kujiboost na pweza ukamridhishe bado ngoma nagwa tu

Ukimpata bikra una raha sana maana hata uwe na ndogo hiyo hiyo ataizoea
 
Ukibahatika bikra ina raha yake sana kwenye ndoa binafsi mke wangu nilimpata akiwa nayo mwaka wa saba nane (2015)kwenye ndoa watoto watatu kiukweli hawa watu neno kuchepuka halipo pia wanapenda sana sababu kuonjwa ni kwa mmoja tu
Kwa dunia ya sasa mwanaume ni ngumu kusimama mke wangu hatoki nje ya ndoa lakini
Ukimpata na bikra imani unayo mwaka wa nane huu nina kauzoefu tayari na nimepita vichaka baadhi wale wazoefu nilichokikuta huko duuuh


Bikra ni muhimu ila ukiikosa basi mke awe na mungu karibu kupunguza tamaa
Umeutendea haki uzi Mkuu
 
Umeutendea haki uzi Mkuu
Kwa aliye kwenye ndoa na akampata bikra anajua tamu anayofaidi kwenye usaliti ni vigumu sana kuwakuta

Pia nyongeza mwanamke kutoka nje ya ndoa ni ngumu sana maana hawa viumbe na akiwa na watoto fikra zake kubwa ni kuifikiria kesho yenu

Wengi wanaotoka nje ya ndoa ni penzi kabla ya kuolewa

Penzi jipya baada ya ndoa ni asilimia ndogo sana
 
Inakuwaje wanaJamiiForums

Kuoa mwanamke asie na bikra ni kama vile mkeka wako kumuamini Man u aue ili ukatoe milioni zako

wanaJamiiForums toeni ushuhuda wenu, vp mkeka wako ulitiki au mapema tu Man u aliuchanilia mbali huko

Rumors ni nying kwelikweli mara bikra ndo uhakika, mara ooh oa rafiki yako
Basi tafalani

Je kwa wew uliecheza kamari ya kuoa asie na bikra vp ulitoboa? toa experience yako

Nb/Hii ni nyuzi ya wanaume tuliokubal changamoto za maisha, Wale tuliowakosa (kwa masikitiko) kataa ndoa wote piteni kuleView attachment 2786241
Unaweza kumkuta bikra na baada ya kuitoa akakusaliti
 
Ubaya hauna kwao! Unaweza kuoa hata mjane usipigiwe na akawa mke Bora KULIKO WA zero kilometer !!! Kuna bint aliolewa zero km lakin kama ningekuwa mshenzi mshenzi basi nilikuwa najitengenezea njia ya motoni kirahisi.
 
Ubaya hauna kwao! Unaweza kuoa hata mjane usipigiwe na akawa mke Bora KULIKO WA zero kilometer !!! Kuna bint aliolewa zero km lakin kama ningekuwa mshenzi mshenzi basi nilikuwa najitengenezea njia ya motoni kirahisi.
 
Kuoa bikira atakusumbua sana akionja nje akizibuka
Inategemea na unayemchukua ukimchukua mtu muovu hata awe Bikra hakutokuwa na amani katika ndoa ,ndio maana Waislamu tunamehusiwa katika kuoa tuangalie dini ya mtu .Dini sio maana kuswali sana au kuhifadhi Qu'ran sana bali tabia yake kwa ujumla na mwenendo wake wote maisha yawe ya kiungwana ,wema ,uadilifu ,upole nk katika misingi ya dini.
 
sitasahau, siku nilipokuwa namtoa bikra, alikuwa ameshanipenda sana, na aliamua kunitunuku, kwa muda kama wiki ivi tukikutana hatukua tunaingiliana, nilikuwa naishia kuinyonya tu na kuchezea pale juu, ukiweka mlangoni anavyobana hiyo miguu na kukusukumia huko hutaamini nguvu zake, siku ilipofika ile kuanza kupenetrate, alitetemeka miguu yote kwa hofu ya maumivu, nilikuwa nishamlowesha sana kwasababu though yeye alikuwa bikra mimi nilikuwa nimekubuhu kwenye hayo mambo. iliiingia, tudamu tulikuwepo, ninamheshimu sana hadi leo kwasababu hiyo, na ndiye mama watoto wangu. shida ni moja tu, ukioa bikra, umeoa mwanamke mwenye wivu kuliko wanawake wote duniani, wana upendo wa dhati na wana wivu wa dhati. naomba niishie hapo.
 
Back
Top Bottom