Nne au tatu?Taja timu nne kubwa hapa Tanzania.
Nne tu.
Schooler na mpira vinaingilianaje?kama akili huna. basi sio mchezaji mzuri. he should be a top schooler kwa chance ame miss in all competitions. nyingi and its pathetic.
19 mzize. he looks older than me na mimi nipo late 20s kuwa seriousAna miaka 19,bado anamda wa kujifunza.
Namfanisha na Mwaikimba(akikua)
amna improvement. mzize ni epileptic patient. after next year yanga watamtoa bure.Kiukweli Hapo mwanzoni dogo alikuwa anazingia nilikuwa simkubali kabisa, Lakini siku za karibuni dogo ameimprove mno! Na bado anayo energy na umri unaruhusu, dogo aendelee kukaza, anakuja vizuri 👏
wote baba mmoja 🚮M naona mzize anatumia ata akili kidogo kibu anajua kukimbiza tu pass mbaya hajui kulenga goal chenga za kizaman Bora mzize
mpira unaonekana. na mzize hana mpira. azam wanamchukua kama disrupter wa ku press. maana wana mid field wafungaji. also they need watu wa big games mzize ni kijana na ana big games, misses nyingi ila useless.Kwahiyo wewe unaakili za mpira kuliko Gamondi na kocha wa Azam ukiwachanganya?
Kafie mbele huko
Kwa nini tuuzie watu mtu mgonjwa? Mwache tukae naye wenyewe! Umeshasikia huko? Miwili tena keshaanguka mkono!Iko hivi i will be short. mzize ni copy paste ya kibu denis. worthless in front of the goal. ila kwenye swala la mikimbio yupo vyema sana.
my views kwa mzize
1. Mzize ni useless player in striking force sema Yanga sijui wanamuona ana nini? statistics zinanibeba kwenye hili. 🚮🚮 ni kibu kabisa statistically .
2. Mzize cant improve beyond his abilities. hiyo mentality hana. amepewa so many chances. tena at the big stage zote hewa. so awezi.
😅🚮🚮 ni kibu mdogo. ana missing nyingi na makengeza kwenye mechi nzuri kwake. mara kaanguka
3. Mzize was never a good player. sema energetic players. akupi kipya other than unnecessarily movements . ila sio mchezaji wa kubadilisha anything in the field. ni kibu denis mdogo, 🚮
4. Ana kifafa akiona goli kama, kibu 😂😂
My View: Yanga wachukue hela, huyu epileptic patient amna kitu
That's your view....Kuna jambo hujaangalia hapaIko hivi i will be short. mzize ni copy paste ya kibu denis. worthless in front of the goal. ila kwenye swala la mikimbio yupo vyema sana.
my views kwa mzize
1. Mzize ni useless player in striking force sema Yanga sijui wanamuona ana nini? statistics zinanibeba kwenye hili. 🚮🚮 ni kibu kabisa statistically .
2. Mzize cant improve beyond his abilities. hiyo mentality hana. amepewa so many chances. tena at the big stage zote hewa. so awezi.
😅🚮🚮 ni kibu mdogo. ana missing nyingi na makengeza kwenye mechi nzuri kwake. mara kaanguka
3. Mzize was never a good player. sema energetic players. akupi kipya other than unnecessarily movements . ila sio mchezaji wa kubadilisha anything in the field. ni kibu denis mdogo, 🚮
4. Ana kifafa akiona goli kama, kibu 😂😂
My View: Yanga wachukue hela, huyu epileptic patient amna kitu
hata kibu ni street football.That's your view....Kuna jambo hujaangalia hapa
Mzize katoka mtaani huko iringa Moja kwa Moja Yanga senior team, msimu ulofata first team
Huyu mchezaji ni mzuri sema anatakiwa ajengwe zaidi kisaikolojia ana vitu kamzidi kibu
results are out . wote amna kitu
Wewe ni Mama wake?Mzize ni mzee, kacheza sana huko madaraja ya chini miaka mingi sana.
ELewa nachokisemea....Kibu katoka mbeya cityhata kibu ni street football.