lets be real, Mzize is just another Kibu Denis

Kwahiyo wewe unaakili za mpira kuliko Gamondi na kocha wa Azam ukiwachanganya?

Kafie mbele huko
 
Kiukweli Hapo mwanzoni dogo alikuwa anazingia nilikuwa simkubali kabisa, Lakini siku za karibuni dogo ameimprove mno! Na bado anayo energy na umri unaruhusu, dogo aendelee kukaza, anakuja vizuri 👏
 
Kiukweli Hapo mwanzoni dogo alikuwa anazingia nilikuwa simkubali kabisa, Lakini siku za karibuni dogo ameimprove mno! Na bado anayo energy na umri unaruhusu, dogo aendelee kukaza, anakuja vizuri 👏
amna improvement. mzize ni epileptic patient. after next year yanga watamtoa bure.
 
Kwahiyo wewe unaakili za mpira kuliko Gamondi na kocha wa Azam ukiwachanganya?

Kafie mbele huko
mpira unaonekana. na mzize hana mpira. azam wanamchukua kama disrupter wa ku press. maana wana mid field wafungaji. also they need watu wa big games mzize ni kijana na ana big games, misses nyingi ila useless.
 
Inabidi pengine mwakalebela aulizwe mana alivyokuwa na pub inbox pale kihesa sokoni ,mzize alikuwa bodaboda maeneo Yale

Usikute ndo wakala wake ,ujinga mwingi nafasi palepale
 
Iko hivi i will be short. mzize ni copy paste ya kibu denis. worthless in front of the goal. ila kwenye swala la mikimbio yupo vyema sana.

my views kwa mzize

1. Mzize ni useless player in striking force sema Yanga sijui wanamuona ana nini? statistics zinanibeba kwenye hili. 🚮🚮 ni kibu kabisa statistically .

2. Mzize cant improve beyond his abilities. hiyo mentality hana. amepewa so many chances. tena at the big stage zote hewa. so awezi.

😅🚮🚮 ni kibu mdogo. ana missing nyingi na makengeza kwenye mechi nzuri kwake. mara kaanguka

3. Mzize was never a good player. sema energetic players. akupi kipya other than unnecessarily movements . ila sio mchezaji wa kubadilisha anything in the field. ni kibu denis mdogo, 🚮

4. Ana kifafa akiona goli kama, kibu 😂😂

My View: Yanga wachukue hela, huyu epileptic patient amna kitu
Kwa nini tuuzie watu mtu mgonjwa? Mwache tukae naye wenyewe! Umeshasikia huko? Miwili tena keshaanguka mkono!
 
Iko hivi i will be short. mzize ni copy paste ya kibu denis. worthless in front of the goal. ila kwenye swala la mikimbio yupo vyema sana.

my views kwa mzize

1. Mzize ni useless player in striking force sema Yanga sijui wanamuona ana nini? statistics zinanibeba kwenye hili. 🚮🚮 ni kibu kabisa statistically .

2. Mzize cant improve beyond his abilities. hiyo mentality hana. amepewa so many chances. tena at the big stage zote hewa. so awezi.

😅🚮🚮 ni kibu mdogo. ana missing nyingi na makengeza kwenye mechi nzuri kwake. mara kaanguka

3. Mzize was never a good player. sema energetic players. akupi kipya other than unnecessarily movements . ila sio mchezaji wa kubadilisha anything in the field. ni kibu denis mdogo, 🚮

4. Ana kifafa akiona goli kama, kibu 😂😂

My View: Yanga wachukue hela, huyu epileptic patient amna kitu
That's your view....Kuna jambo hujaangalia hapa

Mzize katoka mtaani huko iringa Moja kwa Moja Yanga senior team, msimu ulofata first team

Huyu mchezaji ni mzuri sema anatakiwa ajengwe zaidi kisaikolojia ana vitu kamzidi kibu
 
Back
Top Bottom