Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,553
- 1,985
Aende sasaKama Mzize hamna kitu kwanini team kubwa kama azam inamtaka?
Mchakondoo uchwara.
Aende sasaKama Mzize hamna kitu kwanini team kubwa kama azam inamtaka?
Mchakondoo uchwara.
Mzize ANAJUA KUTOA ASSIST NA KUTENGENEZA NAFASI kuliko kufunga.akili inatakiwa kutumika unapokaribia goli au mwenzio akiwa kwenye nafasi umpasie. hiyo ndio akili ya mpira inayoweza kuwa inamiss.
azam ni timu kubwa ๐๐, kuwa serious na mpira wa tff.Kama Mzize hamna kitu kwanini team kubwa kama azam inamtaka?
Mchakondoo uchwara.
for sure, right time at a right place doing a right thing at minium capacity .wote, mzize na kibu sio wachezaji mahiri ila wana bahati. ni wale watu hawatumii akili, wanatumia nguvu. period.
kama akili huna. basi sio mchezaji mzuri. he should be a top schooler kwa chance ame miss in all competitions. nyingi and its pathetic.akili inatakiwa kutumika unapokaribia goli au mwenzio akiwa kwenye nafasi umpasie. hiyo ndio akili ya mpira inayoweza kuwa inamiss.
Yanga wachukue huo mpunga mapema waache kushangaza shangaa. Yaani Mzize hana tofauti pia na Sopu.Iko hivi i will be short. mzize ni copy paste ya kibu denis. worthless in front of the goal. ila kwenye swala la mikimbio yupo vyema sana.
my views kwa mzize
1. Mzize ni useless player in striking force sema Yanga sijui wanamuona ana nini? statistics zinanibeba kwenye hili. ๐ฎ๐ฎ ni kibu kabisa statistically .
2. Mzize cant improve beyond his abilities. hiyo mentality hana. amepewa so many chances. tena at the big stage zote hewa. so awezi.
๐ ๐ฎ๐ฎ ni kibu mdogo. ana missing nyingi na makengeza kwenye mechi nzuri kwake. mara kifafa
3. Mzize was never a good player. sema energetic players. akupi kipya other than unnecessarily movements . ila sio mchezaji wa kubadilisha anything in the field. ni kibu denis mdogo, ๐ฎ
4. Ana kifafa akiona goli kama, kibu ๐๐
My View: Yanga wachukue hela, huyu epileptic patient amna kitu
Azam ni timu kubwa?Kama Mzize hamna kitu kwanini team kubwa kama azam inamtaka?
Mchakondoo uchwara.
Ni wivu tuIko hivi i will be short. mzize ni copy paste ya kibu denis. worthless in front of the goal. ila kwenye swala la mikimbio yupo vyema sana.
my views kwa mzize
1. Mzize ni useless player in striking force sema Yanga sijui wanamuona ana nini? statistics zinanibeba kwenye hili. ๐ฎ๐ฎ ni kibu kabisa statistically .
2. Mzize cant improve beyond his abilities. hiyo mentality hana. amepewa so many chances. tena at the big stage zote hewa. so awezi.
๐ ๐ฎ๐ฎ ni kibu mdogo. ana missing nyingi na makengeza kwenye mechi nzuri kwake. mara kifafa
3. Mzize was never a good player. sema energetic players. akupi kipya other than unnecessarily movements . ila sio mchezaji wa kubadilisha anything in the field. ni kibu denis mdogo, ๐ฎ
4. Ana kifafa akiona goli kama, kibu ๐๐
My View: Yanga wachukue hela, huyu epileptic patient amna kitu
wewe unachukuliaje mchezaji amekokota mpira umefika hadi ndani ya eneo la penati, halafu anapiga kwa haraka unatoka nje au anapiga shuti dogo, badala ya either kulenga kama anaona possibility ya kufunga, au kama hakuna possibility ya kufunga azuge kidogo apate penati, au atoe pasi. wao wakikaribia goli tu ni shuti bila kufikiria hayo. chama ni mfano mzuri wa watu wanaotumia akili, na pacome.for sure, right time at a right place doing a right thing at minium capacity .
Ana miaka 19,bado anamda wa kujifunza.Iko hivi i will be short. mzize ni copy paste ya kibu denis. worthless in front of the goal. ila kwenye swala la mikimbio yupo vyema sana.
my views kwa mzize
1. Mzize ni useless player in striking force sema Yanga sijui wanamuona ana nini? statistics zinanibeba kwenye hili. ๐ฎ๐ฎ ni kibu kabisa statistically .
2. Mzize cant improve beyond his abilities. hiyo mentality hana. amepewa so many chances. tena at the big stage zote hewa. so awezi.
๐ ๐ฎ๐ฎ ni kibu mdogo. ana missing nyingi na makengeza kwenye mechi nzuri kwake. mara kifafa
3. Mzize was never a good player. sema energetic players. akupi kipya other than unnecessarily movements . ila sio mchezaji wa kubadilisha anything in the field. ni kibu denis mdogo, ๐ฎ
4. Ana kifafa akiona goli kama, kibu ๐๐
My View: Yanga wachukue hela, huyu epileptic patient amna kitu
Ungekua na akili ungeweza kutofautisha kati ya scorer na schoolerkama akili huna. basi sio mchezaji mzuri. he should be a top schooler kwa chance ame miss in all competitions. nyingi and its pathetic.
Mzize kazi yake ni kuwasumbua mabeki kufunga ni bahati nasibu nadhani kwa unri wk anahitaji uzoefu tuBasi ile ofa ya mil400 tunaituma kwa kibu denis. Aya umefurahi?
Taja timu nne kubwa hapa Tanzania.Azam ni timu kubwa?