Utakuepo kikubwa mtangulize mungu sanaHuu mkeka nisipo kuwepo nasepa zangu shamba, Nianze Kilimo mapemaa
Nasubir mkekaaaaaNawewe unausubirii nini??
Yaani, wamefanya Chap mnoo, yaani ndani ya siku 40 wamefanya mambo ma3. wametangaza ajira, wameita watu interview na sasa wameitwa kazini.Hii ndio inaitwa kuokoa muda sio interview manafanya alafu majina kutok sasa ni bora wange toa majina ukajua kimoja ata ukiambiwa kureport ni 2030 fresh ila ushajua kimoj
Check PM bossIla UTUMISHI cjui wanachakata nini muda wote kama matokeo ya Oral yapo c bora watupe PDF yetu.
mbona majibu ya Written huwa yanatoka chap
Au kuna vitu gani huwa wanazingatia, labda sitakuwa sina ufahamu vizuri??
Umefunga PMCheck PM boss
Nilivyoona pale siku saba baaada ya kichukuwa barua kunakuwa tayari kumeandaliwa mkeka mwengine ila naona kimyaCheck PM boss
Wakuite uanze kazi bila.fungu kutoka si utaanza kulia njaa mapema sanaa mkuu..tulia fungu litoke kisha utapewa placement yakoWanajamvi nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nn kinacho endeleea.
Na ingetakiw iwe ivo ata sehemu nyingine kuokoa m
Nani kakudanganya ...Kwan mkuu mpk wanatangaza ajira c kilakitu washakiweka sawa.
Waachie tu watu wajue mojaUnaweza ukashangaa mkeka ni wa watu walipiga interview siku za karibu tuu