Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,299
- 12,436
Hizo gari zilizokuwa zikitumiwa kwenye rada na vikosi vya mizinga vya Jwtz ni 'crazy' na 'zeal' ni magari yana nguvu na ni imara sana kwa kweli, tatizo ni ukosefu wa spare parts ndiyo ulifanya yakafa mapema zama zile.Wakati tunakuwa zilikuwepo pia gari za kirusi "lada"
Ova
Ukosefu wa vipuri nadhani huwa ni mkakati maalumu unaofaidisha genge la watu kwa maslahi binafsi.
Hizo brand naziona bado zipo na zinatumika kwenye vita vyao na Ukraine.