Kwanini haya Maswali Mawili hadi hii leo pamoja na Dunia kuwa na Wasomi wengi lakini hakuna bado aliyetoa Jawabu sahihi? Yana ugumu gani Kujibika?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,851
109,552
Swali #1.

Kati ya Mwanamke na Mwanaume nani ambaye husikia Utamu zaidi ya Mwenzake wakati wa Mbanduano Kitandani?

Swali #2.

Kati ya Yai na Kuku kipi kilitangulia Kuja / Kujitokeza?

Nimeambiwa kuwa hapa JamiiForums ni Home of Great Thinkers ( Werevu ) leo GENTAMYCINE naamini Nitaelimishwa.
 
Swali #1.

Kati ya Mwanamke na Mwanaume nani ambaye husikia Utamu zaidi ya Mwenzake wakati wa Mbanduano Kitandani?

Swali #2.

Kati ya Yai na Kuku kipi kilitangulia Kuja / Kujitokeza?

Nimeambiwa kuwa hapa JamiiForums ni Home of Great Thinkers ( Werevu ) leo GENTAMYCINE naamini Nitaelimishwa.
Swali na #2,Kati ya kuku na Yai,jiulize mwenyewe kati ya Binadamu na Mbegu za kiume kipi kilianza?
🙆

#1 ni ujinga
 
Mimi pia nasubiri kuelimishwa na ma great thinkers wa JF, ngoja waje 🤒
Leo Kazi ipo Mkuu ngoja tuwasubirie. Halafu Bujibuji Simba Nyamaume kuna Demu mpya katika ile Baa yetu tunayopenda Kukaa Kugombania Mabaa Medi wakali wakali ( Warembo Tukuka ) kuliko hata Mademu / Wake zetu kutoka Singida na Kondoa ( Dodoma ) tafadhali kuna Mmoja nasikia ana Moto ( Dally Kimoko ) sasa Rafiki yangu kama umeshaingia hapo anza kabisa Kuugawa huo Urithi wa Utajiri wako ulionao kwa Watoto na Mkeo nae yule Mrembo usimsahau sawa? Niko ugenini huku nchi ya Watu hapa Afrika Mashariki, lakini Taarifa zote za Machimbo yetu Wahuni na Masela wa Dar es Salaa nazipata.
 
Back
Top Bottom