Kwanini haya Maswali Mawili hadi hii leo pamoja na Dunia kuwa na Wasomi wengi lakini hakuna bado aliyetoa Jawabu sahihi? Yana ugumu gani Kujibika?

1.Sikio likiwasha unaingiza pamba sasa nadhani mpaka hapo ushajua kipi kinapata raha zaidi.,😂
2.Mayai ndio yalianza mzee,yalikiwepo tangu enzi za ma dinosour..
 
Swali #1.

Kati ya Mwanamke na Mwanaume nani ambaye husikia Utamu zaidi ya Mwenzake wakati wa Mbanduano Kitandani?

Swali #2.

Kati ya Yai na Kuku kipi kilitangulia Kuja / Kujitokeza?

Nimeambiwa kuwa hapa JamiiForums ni Home of Great Thinkers ( Werevu ) leo GENTAMYCINE naamini Nitaelimishwa.
Nakuheshimu sana jamaa yangu lakini wakati mwingine umakuwa kama kibati cha uruguay....
Najua kwa kuwa ushavuta utanitukana. Lakini poa tu. Namashaka na urimamu wako.
 
Nakuheshimu sana jamaa yangu lakini wakati mwingine umakuwa kama kibati cha uruguay....
Najua kwa kuwa ushavuta utanitukana. Lakini poa tu. Namashaka na urimamu wako.
Huyu ni hasara kwa familia na jamii

Asha left
Sasa mwanaume anataka ajue utamu wanaopata wanawake ili iweje

Si ili apelekewe moto aone radha
 
Swali #1.

Kati ya Mwanamke na Mwanaume nani ambaye husikia Utamu zaidi ya Mwenzake wakati wa Mbanduano Kitandani?

Swali #2.

Kati ya Yai na Kuku kipi kilitangulia Kuja / Kujitokeza?

Nimeambiwa kuwa hapa JamiiForums ni Home of Great Thinkers ( Werevu ) leo GENTAMYCINE naamini Nitaelimishwa.
Swali namba moja ,chukua kidole chako Cha shahada pikicha sikio lako,utaona kati ya kidole na sikio nani ana feel mguso wa mwenzake zaidi!!?jibu lipo hapo!!!

Namba mbili kuku alitangulia Ili atage atotoe Sasa YAI peke yake angetotoa nani Hilo yai!!?kama yai lisingetotolewa lingekua yai viza na kuku asingepatikana Hadi leo!!

Kama Great thinker nime stretch ubongo wangu!
 
Huyu ni hasara kwa familia na jamii

Asha left
Sasa mwanaume anataka ajue utamu wanaopata wanawake ili iweje

Si ili apelekewe moto aone radha
Ungekuwa faida kwa Familia yako ungekuwa Mpumbavu hivi?
 
Kuhusu utelezi inasemekana wanawake wanaenjoy sanaaaaaa yani sana kuliko sisi madume ya mbegu.

si unaonaga hata reaction zao wakati wa tendo, bwana mkubwa GENTAMYCINE ?:D
 
Leo Kazi ipo Mkuu ngoja tuwasubirie. Halafu Bujibuji Simba Nyamaume kuna Demu mpya katika ile Baa yetu tunayopenda Kukaa Kugombania Mabaa Medi wakali wakali ( Warembo Tukuka ) kuliko hata Mademu / Wake zetu kutoka Singida na Kondoa ( Dodoma ) tafadhali kuna Mmoja nasikia ana Moto ( Dally Kimoko ) sasa Rafiki yangu kama umeshaingia hapo anza kabisa Kuugawa huo Urithi wa Utajiri wako ulionao kwa Watoto na Mkeo nae yule Mrembo usimsahau sawa? Niko ugenini huku nchi ya Watu hapa Afrika Mashariki, lakini Taarifa zote za Machimbo yetu Wahuni na Masela wa Dar es Salaa nazipata.
Kesho mapema sanaa nitakuwa pqle
 
Swali #1.

Kati ya Mwanamke na Mwanaume nani ambaye husikia Utamu zaidi ya Mwenzake wakati wa Mbanduano Kitandani?
Hili swali mbona lipo wazi kwenye mbanduano anayeaikia utamu zaidi ni yule anaye lalama kwa zaidi ya mwenzie..maana utamu ni hisia
 
Back
Top Bottom