Kwanini hapa Tanzania kama haujui kiingereza watu wanasema haujasoma hata kama umesoma?

60% za content zilizopo kwenye internet zipo in English,

So waweza jua maarifa mengi yapo kwa lugha gani
Soma tena ulichoandika.

Maarifa hayapo kwenye Lugha.

Wale wa Timbuktu walijua vipi kuhusu utambuzi wa sayari? Walikuwa wanajua Kiingereza?

Ukienda kwa wa Aztec au Waborijino wa New Zealand n.k ambao walikuwa na maarifa mengi hata ya nyoka gani ana sumu gani na jinsi ya kupata antidote kwa sumu zao.... walikuwa wanajua kiingereza? Walioata maarifa kwa Kiingereza.

Itoshe, hata mchina mrusi au mtanzania akitaka kupata maarifa anaweza kupata kwa lugha yake.

Unataka kusema wewe hauna maarifa na akili kwa sababu hujui Kichina?
 
Yaani hii nchi MTU anayejua kiingereza ndo MTU anayekubalika Kama Naomi.

Inafikirisha Sana hili jambo.

Tunapima level ya intelligent kwa kuangalia lugha.


NB : vijana jifunzeni kiingereza ili msipitwe na maarifa maana maarifa mengi yapo katika lugha ya kiingereza.

Najivunia sana kuongea kiswahili na kiarabu kidogo
 
Hakuna aliyebisha, mimi naongelea katika mazingira ambayo elimu ya juu inatolewa kwa kiingereza, utasemaje umesoma na huijui lugha inayotumika kufikisha elimu husika kwa wanafunzi?
Nakuelewa, na ndio maana nimesema huo ni mjadala tofauti/mwingine.

Naomba kuuliza kabla sijaendelea.

Elimu ya juu inatolewa kwa kiingereza peke yake?

Elimu ya Juu ndio nini? Na ni nani anayetoa elimu hiyo?
 
Soma tena ulichoandika.

Maarifa hayapo kwenye Lugha.

Wale wa Timbuktu walijua vipi kuhusu utambuzi wa sayari? Walikuwa wanajua Kiingereza?

Ukienda kwa wa Aztec au Waborijino wa New Zealand n.k ambao walikuwa na maarifa mengi hata ya nyoka gani ana sumu gani na jinsi ya kupata antidote kwa sumu zao.... walikuwa wanajua kiingereza? Walioata maarifa kwa Kiingereza.

Itoshe, hata mchina mrusi au mtanzania akitaka kupata maarifa anaweza kupata kwa lugha yake.

Unataka kusema wewe hauna maarifa na akili kwa sababu hujui Kichina?
Unataka tuishi kama karne ya nane,? Mzee dunia ipo tayari on motion, kuna vitu vikikupita huna haja ya papara zako,
Language of sky ni English, language ya hospital ni English, so unaweza kuta ni kiasi gani English imetawala,

Hata kwa kiswahili utapata maarifa ila ni maarifa gani ? Unataka maarifa ya space utapata kwa kiswahili? Vipi kuhusu medical knowledge?
 
Kwahiyo mkuu umegoma kabisa kukubali hamna kitu kama Level of intelligent?

Basi acha Chaliifrancisco hebu njoo na ule mkitabu wa grammar


Soma hapa chini usipende kukosoa usichokijua angalia muktadha MTU alitaka au alimaanisha nini usikariri utachelewa kuelewa mambo jikiklte katika kuelewa.


Both phrases, "level of intelligent" and "level of intelligence," are grammatically correct.

However, the usage may depend on the context.
  • "Level of intelligent" could refer to evaluating an individual's level or degree of being intelligent. For example, "John's level of intelligent exceeds everyone else in his class."
  • On the other hand, "Level of intelligence" is a more commonly used phrase when discussing or describing the amount or degree of intelligence in general. For example, "The level of intelligence required for this job is quite high."
 
Unataka tuishi kama karne ya nane,?
Una maanisha nini?
Mzee dunia ipo tayari on motion, kuna vitu vikikupita huna haja ya papara zako,
Kwamba wewe ndio unijuze hayo? Tulia. Wacha upuuzi.
Language of sky ni English, language ya hospital ni English, so unaweza kuta ni kiasi gani English imetawala,
Kakudanganya nani? Manake huo ni uwongo. Umepumbazwa. Fact.
Hata kwa kiswahili utapata maarifa ila ni maarifa gani ?
?? Wacha upuuzi. Ndio ulitaka kusema nini hapo?
Unataka maarifa ya space utapata kwa kiswahili? Vipi kuhusu medical knowledge?
Labda niseme kwa kiingereza. You're showing a coginitive dissonance.

Kwani wale waganga waliokuwa na wanao ponyesha watu na madawa ya mitishamba waliopata maarifa kwa kiingereza?

Ondoa ugaidi wako labda utaelewa. zaidi ya hapo Koma. Wacha kupotosha.
 
English ni lugha ya hela. Kuifahamu tu vizuri tayari ni hatua muhimu kwenye mapambano dhidi ya umaskini. Hata nchi zinazozungumza kifaransa kwa sasa zinapambana kujua kiingereza. Wakongo wengi kwa sasa wanahakikisha watoto wao wanaimudu lugha ya malkia. Hata kiswahili nacho kwa huu ukanda wetu kinazidi kushika kasi. Majirani hasa wa SADC wanapambana sana kukijua.
Ni kweli kabsa, ukiangalia dunia kwa sasa maisha yetu ya kila siku yanatawaliwa na china, kama kuna nchi haijui kiingereza au kichina wananchi wake wanapata taabu sana ya maisha.
 
Soma hapa chini usipende kukosoa usichokijua angalia muktadha MTU alitaka au alimaanisha nini usikariri utachelewa kuelewa mambo jikiklte katika kuelewa.


Both phrases, "level of intelligent" and "level of intelligence," are grammatically correct.

However, the usage may depend on the context.
  • "Level of intelligent" could refer to evaluating an individual's level or degree of being intelligent. For example, "John's level of intelligent exceeds everyone else in his class."
  • On the other hand, "Level of intelligence" is a more commonly used phrase when discussing or describing the amount or degree of intelligence in general. For example, "The level of intelligence required for this job is quite high."
Sawa mkuu
 
Yaani hii nchi MTU anayejua kiingereza ndo MTU anayekubalika Kama Naomi.

Inafikirisha Sana hili jambo.

Tunapima level ya intelligent kwa kuangalia lugha.


NB : vijana jifunzeni kiingereza ili msipitwe na maarifa maana maarifa mengi yapo katika lugha ya kiingereza.
Tunatumia lugha ya kiingeleza toka kidato cha kwanza hadi vyuo vikuu na vingine vya kawaida.
Haiwezekani wewe utumie lugha hii miaka zaidi ya 9 hadi 10 afu ushindwe hata kujieleza kwa mtiririko mzuri.
Hapo kutakuwa na tatizo sehemu.
 
Ni kweli kabsa, ukiangalia dunia kwa sasa maisha yetu ya kila siku yanatawaliwa na china, kama kuna nchi haijui kiingereza au kichina wananchi wake wanapata taabu sana ya maisha.
Kuna uhusiano mkubwa kati ya uchumi wa nchi na lugha yake.
 
Nakuelewa, na ndio maana nimesema huo ni mjadala tofauti/mwingine.

Naomba kuuliza kabla sijaendelea.

Elimu ya juu inatolewa kwa kiingereza peke yake?

Elimu ya Juu ndio nini? Na ni nani anayetoa elimu hiyo?
Kwa Tanzania, Kama unasomea kada ya kugha, elimu itatolewa kwa lugha unayobobea. Ila kama ni kada nje ya lugha, utafundishwa kwa Kiingereza tu..
 
if you can't talk it then it means hata kama ulifaulu basi ulikariri au kuigilizia maana most of subjects Kingereza ndo hutumika.
 
Kwahiyo mkuu umegoma kabisa kukubali hamna kitu kama Level of intelligent?

Basi acha Chaliifrancisco hebu njoo na ule mkitabu wa grammar
Kumrekebisha mtu ambae anafanya makosa huku yeye akiamini 100% kuwa yupo sawa sio kazi rahisi.

Cha msingi umemwelewesha. Kama akikubali kujifunza sawa, akikataa mwache abaki na ujinga wake.
 
Back
Top Bottom