Mkuu ni kweli maarifa mengi yapo kwenye Lugha ya kingereza kutokana na ushawishi wake kiteknolojia , sayansi na biashara.Wacheni uongo na Ugaidi wa mtandaoni.
Kuongea lugha ya Kiingereza sio kipimo cha akili.
Kasema nani hayo?
Haifikirishi, wewe ndie unaetaka kulazimisha mtu afikiririe kwamba hilo nalo ni lakufikiria.
Ni nani au wapi hapa Tanzania huwa wanapima uwezo wa akili?"
Isitoshe, unaposema "Tunapima" una maana ya wewe na nani?
Wacha kutukana vijana. Na kupotosha umma.
Maarifa hayatokani kwa kujifunza lugha ya Kiingereza na vilevile sio kweli kwamba maarifa mengi yapo katika lugha ya Kiingereza. Huo ni upotoshaji
Mbona hata ma lecturers vyuoni nawenyewe hajui kiingereza wanaongea kiswahili 70% kwa 30 wakiwa wanafundisha, huo niugonjwa mkubwa wakutojua kiingereza, na tunaanza kutetea ujinga kwa kujilinganisha na nchi kama japan, China na Russia, kwa kusahau kwamba sisi kiingereza tunaanza kufundisha darasa la kwanza.
Lecturer akifundisha ung'eng'e mwanzo mwisho hakika mtasapu sanaMbona hata ma lecturers vyuoni nawenyewe hajui kiingereza wanaongea kiswahili 70% kwa 30 wakiwa wanafundisha, huo niugonjwa mkubwa wakutojua kiingereza, na tunaanza kutetea ujinga kwa kujilinganisha na nchi kama japan, China na Russia, kwa kusahau kwamba sisi kiingereza tunaanza kufundisha darasa la kwanza.
Chief kuongea na kuandika kingereza ni vitu viwili tofautiShida inakuja, umesomaje wakati kugha ya kufundishia elimu ya juu ni kiingereza, na wewe hujui kiingereza?
Ni kweli kwamba kujua Kiingereza si usomi.Yaani hii nchi MTU anayejua kiingereza ndo MTU anayekubalika Kama Naomi.
Inafikirisha Sana hili jambo.
Tunapima level ya intelligent kwa kuangalia lugha.
NB : vijana jifunzeni kiingereza ili msipitwe na maarifa maana maarifa mengi yapo katika lugha ya kiingereza.
Basic examination = preliminary examination.Sasa mkuu utafaulu hata form four tu kama hujui English? Kama kweli wew ni intelligent means utafaulu hata form four tu, sasa kama hujui English utafaulu vipi ? Hio ni basic examination kabla hatujapima mambo yako mengine
level of intelligent❌
Level of intelligence ✅
Sio kweli hata kidogo...Mkuu ni kweli maarifa mengi yapo kwenye Lugha ya kingereza kutokana na ushawishi wake kiteknolojia , sayansi na biashara.
Ni kweli ss hatuwezi kubadilisha jiwe kuwa mkateShida inakuja, umesomaje wakati kugha ya kufundishia elimu ya juu ni kiingereza, na wewe hujui kiingereza?
Mkuu pamoja na kwqmba haya ni ya mjadala tofauti, hiyo ni shida ya kujitakia.Shida inakuja, umesomaje wakati kugha ya kufundishia elimu ya juu ni kiingereza, na wewe hujui kiingereza?
60% za content zilizopo kwenye internet zipo in English,Wacheni uongo na Ugaidi wa mtandaoni.
Kuongea lugha ya Kiingereza sio kipimo cha akili.
Kasema nani hayo?
Haifikirishi, wewe ndie unaetaka kulazimisha mtu afikiririe kwamba hilo nalo ni lakufikiria.
Ni nani au wapi hapa Tanzania huwa wanapima uwezo wa akili?"🤓
Isitoshe, unaposema "Tunapima" una maana ya wewe na nani?
Wacha kutukana vijana. Na kupotosha umma.
Maarifa hayatokani kwa kujifunza lugha ya Kiingereza na vilevile sio kweli kwamba maarifa mengi yapo katika lugha ya Kiingereza. Huo ni upotoshaji
Naelewa ila kutokana na ulichoandika ilibidi iwe intelligence na sio intelligent.Intelligent ni Adjective
Mtu mwenye akili huitwa intelligent na intelligence ni nomino
Elewa,
Sawa, kujua kuongea na kuandika ndio kujua kwenyewe huko..Chief kuongea na kuandika kingereza ni vitu viwili tofauti
Hakuna aliyebisha, mimi naongelea katika mazingira ambayo elimu ya juu inatolewa kwa kiingereza, utasemaje umesoma na huijui lugha inayotumika kufikisha elimu husika kwa wanafunzi?Mkuu pamoja na kwqmba haya ni ya mjadala tofauti, hiyo ni shida ya kujitakia.
Elimu ya juu siyo lazima ifundishwe kwa lugha ya kiingereza.
Labda unasema kwamba Vitabu vingi vya elimu ya juu vimeandikwa kwa lugha ya kiingereza, na haina maana maarifa yapo kwa Kiingereza peke yake.
Itoshe, kuondokana na kadhia hii, hivi vitabu vinaweza kutafsiriwa kuenda kwenye lugha ya kiswahili.
Wachina Je? wamepataje elimu na maarifa yao? This is rhetoric. Ni balaga tu.
Shida ipo kwenye vita hizi za kisaikilojia. Ahida ipo kwenye kwenda kutafsri hivyo vitabu kwenda kwenye lugha ya kiswahili Sasa labda pia useme Baraza la Kiswahili limekosa vipaumbele. hapo sawa.
Ila maarifa hayatokani, akili haitokani na kujua kiingereza.
Huyu mchwara nimpotoshaji tu. Ni mbaguzi anaytaka tuamini kuwa lugha ya kiingereza ndio lugha kuu. Na kwa tafsiri nyingine, ni kwamba wazungu wako juu. Huo sio ukweli na hakuna tafiti yeyote ile ya kisayansi inayotamka hivyo.