Je, muda wa ukame udongo wa huko ukoje? Jembe la mkono ukipiga linadunda?Ruvuma songeaView attachment 1482577
Kwa mtazamo wangu binafsi nimeona kama hazina nguvu, haziwezi kupiga kazi wa muda mrefu yaani inaweza ikajizima ghafla ukiwa shambani tena porini huko ndanindani. Halafu hazidumu.Hizi za Pakistan ubovu wake hasa ni nini,naona zipo nyingi tuu.
Kuna maeneo yana tope mengine hayana lakini pia matarajio kulima mpunga na mahindi ,nadhani hii option ya mwisho ni nzuri zaidi 4wd/70-90Je muda wa ukame udongo wa huko ukoje? Jembe la mkono ukipiga linadunda?
Je kuna milima huko?
Je shamba lako linalinganaje?
Muda wa mvua je shamba lako linakuwa na tope
Ruvuma songeaView attachment 1482577
Sawa, hio ndio inatosha.Kuna maeneo yana tope mengine hayana lakini pia matarajio kulima mpunga na mahindi ,nadhani hii option ya mwisho ni nzuri zaidi 4wd/70-90
Nashukuru sana mkuu kwa moyo wako wa ukarimuKikubwa service kwa wakati(usichelewe hata siku moja), usimamizi uwe mzuri sana, kabla hujalima shamba la mtu shuka ukague shamba ukiwa pamoja na mwenye shamba(ukaguzi ufanye wewe mwenyewe kwa umakini) ili sehemu zenye visiki na mawe makubwa uweke alama. Kwa mashamba yetu bongo, ni visiki na mawe ndo vinachangia kwa kiasi kikubwa sana kuua matrekta zingatia sana hilo...
Tuko pamoja. Usiweke high expectation ya faida maana ndio unaanza. Anza polepole jinsi unavyozidi kuzoea endelea kuongeza mitambo piaNashukuru sana mkuu kwa moyo wako wa ukarimu
Ushauri wenu ( Wewe na Akilindogosana ) upo vizuri sana hasa kuhusu service na kwamba kama anaweza anunue na trailerUkikwama sehemu tushirikishe pia. Tuendelee kusaidiana kadri tuwezavyo
Ni kweli, mimi ndo shughuli ninazofanya hizo nafahamu kwa kiasi chake kuhusu haya mambo. Yani hapa anunue trekta, jembe la disk 3(standard) na trailer ni muhimu sana. Kule kwa Songea atapata used mazuri tu na kama mfuko wake unaruhusu anunue na mashine ya kupukucha mahindi maana Songea mahindi huwa ni mengi sana(akipata ile kubwa ambayo inatumia pto shaft ya trekta atapiga kazi kwa amani)Ushauri wenu ( Wewe na Akilindogosana ) upo vizuri sana hasa kuhusu service na kwamba kama anaweza anunue na trailer
Ushauri mzuri umempa. Kwa kuongezea awe makini kwenye jembe kuna brand nzuri kama field king ambalo ni bomba sio chuma. Jembe likiwa chuma linakuwa zito na hupelekea kuchosha mapema Mfumo wa kuinua na kushusha jembe.Ni kweli, mimi ndo shughuli ninazofanya hizo nafahamu kwa kiasi chake kuhusu haya mambo. Yani hapa anunue trekta, jembe la disk 3(standard) na trailer ni muhimu sana. Kule kwa Songea atapata used mazuri tu na kama mfuko wake unaruhusu anunue na mashine ya kupukucha mahindi maana Songea mahindi huwa ni mengi sana(akipata ile kubwa ambayo inatumia pto shaft ya trekta atapiga kazi kwa amani)