290 ni 2wd. Ulaji wa mafuta ni nafuu kuliko 385. Ukitaka kujua tractor kama ni 2wd au 4wd angalia ukubwa wa matairi ya mbele kwa haraka haraka, japo vipo vigezo vingine. 385 inatumia mafuta mengi zaidi kwasababu ni kubwa zaidi na ni nzito zaidi.Vp kuhusu 290?
Akili ilikuwa haijakaa sawa kwa kuona vitairi vidogo na kubwa hasa ya mbele kumbe hii ndio maana yake !290 ni 2wd. Ulaji wa mafuta ni nafuu kuliko 385. Ukitaka kujua tractor kama ni 2wd au 4wd angalia ukubwa wa matairi ya mbele kwa haraka haraka, japo vipo vigezo vingine. 385 inatumia mafuta mengi zaidi kwasababu ni kubwa zaidi na ni nzito zaidi. Ila 385 itakuruhusu kulima kwenye maeneo korofi(magumu) na ina nguvu zaidi. Hiyo 385 itatumia kati ya lita 4 hadi 7 kwa eja moja ya kulima kama shamba halina changamoto. Usinunue massey ferguson ya pakistani, nunua ya kutoka uingereza(namaanisha nunua ambazo zimekua manufactured in uk)
Asante sana ndugu kwa taarifa290 ni 2wd. Ulaji wa mafuta ni nafuu kuliko 385. Ukitaka kujua tractor kama ni 2wd au 4wd angalia ukubwa wa matairi ya mbele kwa haraka haraka, japo vipo vigezo vingine. 385 inatumia mafuta mengi zaidi kwasababu ni kubwa zaidi na ni nzito zaidi. Ila 385 itakuruhusu kulima kwenye maeneo korofi(magumu) na ina nguvu zaidi. Hiyo 385 itatumia kati ya lita 4 hadi 7 kwa eja moja ya kulima kama shamba halina changamoto. Usinunue massey ferguson ya pakistani, nunua ya kutoka uingereza(namaanisha nunua ambazo zimekua manufactured in uk)
Hiyo ni moja ya mbinu ya kujua, ila zipo mbinu zingine ambazo ni more reliableAkili ilikuwa haijakaa sawa kwa kuona vitairi vidogo na kubwa hasa ya mbele kumbe hii ndio maana yake !
Sijacheki siku nyingi ila nenda facebook kamtafute Chris lukosi utakuta kila kitu.Sawa,anauzaje
Hizi za Pakistan ubovu wake hasa ni nini,naona zipo nyingi tuu.Sijacheki siku nyingi ila nenda facebook kamtafute Chris lukosi utakuta kila kitu.
Nakazia tena usinunue massey ferguson za pakistan ni mbovu mno. Nunua za kutoka UK.
Hizi za Pakistan ubovu wake hasa ni nini,naona zipo nyingi tuu.
Mm nahitaji kwa ajili ya kuendeshea shughuli za kilimo za kwangu na kupata pesa ya kula kwa kuwalimia watu wengineChris Lukosi ni mfanya biashara. Kabla hujamtafuta ni vema kueleza hapa unataka trekta kwa ajili ya nini ili tukushauri uchukue la ukubwa gani. Yeye atakuuzia trekta alizonazo bila kujali matumizi yako. Hapa ni sawa na kutaka kununua ist kwasababu ni nafuu kwa mafuta ili ulifanye gari la shamba, utafeli vibaya sana(ni mfano tu). Point hapa ni tujue unahitaji kwa kazi gani then tukushauri la aina gani linafaa ndipo uwasiliane na bwana Chris. Bei huwa zinatofautina ila uwe na kuanzia 30m
Mkuu kama itakupendeza ningeomba uniwekee specifications za MF itakayonifaa kwa kilimo hata kama si hiyo 290!Chris Lukosi ni mfanya biashara. Kabla hujamtafuta ni vema kueleza hapa unataka trekta kwa ajili ya nini ili tukushauri uchukue la ukubwa gani. Yeye atakuuzia trekta alizonazo bila kujali matumizi yako. Hapa ni sawa na kutaka kununua ist kwasababu ni nafuu kwa mafuta ili ulifanye gari la shamba, utafeli vibaya sana(ni mfano tu). Point hapa ni tujue unahitaji kwa kazi gani then tukushauri la aina gani linafaa ndipo uwasiliane na bwana Chris. Bei huwa zinatofautina ila uwe na kuanzia 30m