Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,862
- 36,617
Hello!
Mzee wa kulipua nimekuja kuwalipua tena asubuhi hii. Si kwa ubaya lakini.
Watoto wanaolelewa na maza 24/7 ni watoto bomba sana kuliko watoto wanaoshinda na dada wa kazi kutwa kutwa.
Turudi kwenye mada.
Kati ya wadada around 15 kazini kwetu bosi aliowaacha salama ni wale ambao hata kwa kachumbari hawaliki. Binti akipiga chenga anampa safari mchezo umekwisha.
Hakuna cha msimamo wala tabia ya mtu, wanawake wote duniani wanafanana kama ilivyo kwa wanaume tunafanana kitabia. Mwanamke yeyote akijengewa mazingira tu kwisha. Wewe mwenyewe shahidi jinsi ulivyompata mke/mpenzi wako unajua.
Mke anayeshinda nyumbani na kuwa busy mazingira ya kujengewa ili atafunwe si makubwa kulinganisha na hawa wafanyakazi.
Eti oooh mke wangu anafanya kazi kusaidiana majukumu, yaani umefilisika mpaka unataka usaidiwe na mke wako 😭😭😭. Hapo sijazungumzia ile relationship ya kawaida na watumishi wenzake. Mchawi lunch, nauli, na tuzawadi tudogo tudogo tu.
Najua inawauma, mutakuja hapa kujitetea oooh hata mama wa nyumbani analiwa na bodaboda, shamba boy. Nimewachana leo.
Mke wako anajiandaa asubuhi mapema akatolewe lock na boss mtoto.
Unamjua boss mtoto wewe?
Ni mkuu wa kitengo.
Kuna watu ambao nimewapiga na kitu kizito kichwani watakuja kujitetea ooohh umalaya ni tabia ya mtu binafsi.
Sawa basi tuseme hivi wake zenu sio malaya ila wanawake waliajiriwa ni malaya.
Mzee wa kulipua nimekuja kuwalipua tena asubuhi hii. Si kwa ubaya lakini.
Watoto wanaolelewa na maza 24/7 ni watoto bomba sana kuliko watoto wanaoshinda na dada wa kazi kutwa kutwa.
Turudi kwenye mada.
Kati ya wadada around 15 kazini kwetu bosi aliowaacha salama ni wale ambao hata kwa kachumbari hawaliki. Binti akipiga chenga anampa safari mchezo umekwisha.
Hakuna cha msimamo wala tabia ya mtu, wanawake wote duniani wanafanana kama ilivyo kwa wanaume tunafanana kitabia. Mwanamke yeyote akijengewa mazingira tu kwisha. Wewe mwenyewe shahidi jinsi ulivyompata mke/mpenzi wako unajua.
Mke anayeshinda nyumbani na kuwa busy mazingira ya kujengewa ili atafunwe si makubwa kulinganisha na hawa wafanyakazi.
Eti oooh mke wangu anafanya kazi kusaidiana majukumu, yaani umefilisika mpaka unataka usaidiwe na mke wako 😭😭😭. Hapo sijazungumzia ile relationship ya kawaida na watumishi wenzake. Mchawi lunch, nauli, na tuzawadi tudogo tudogo tu.
Najua inawauma, mutakuja hapa kujitetea oooh hata mama wa nyumbani analiwa na bodaboda, shamba boy. Nimewachana leo.
Mke wako anajiandaa asubuhi mapema akatolewe lock na boss mtoto.
Unamjua boss mtoto wewe?
Ni mkuu wa kitengo.
Kuna watu ambao nimewapiga na kitu kizito kichwani watakuja kujitetea ooohh umalaya ni tabia ya mtu binafsi.
Sawa basi tuseme hivi wake zenu sio malaya ila wanawake waliajiriwa ni malaya.