Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,862
- 36,617
- Thread starter
- #41
Ahahahacha msingi ni kuwawekea zindiko wake zenu
akiachia mzigo atajijua mwenyewe ni FULL kunasiana tu
Ahahahacha msingi ni kuwawekea zindiko wake zenu
akiachia mzigo atajijua mwenyewe ni FULL kunasiana tu
hio ndio kiboko ya michepukoAhahaha
Mke wako anajiandaa asubuhi mapema akatolewe lock na boss mtoto.
Usipo oa ukawa ana mpenzi tu hayo uliyosema hayatamkuta?Mnaendekeza sana mambo ya kuoana oana, ndoa ni utamaduni ambao kwa dunia ya sasa hauna tija. Unaacha mke nyumbani unawaza ataliwa na boda boda, unaruhusu aende kazini unawaza ataliwa na bosi, kwa nini ujipe presha zote hizo badala ya kufanya mambo ya msingi?
Mwanamke kama mgongeshaji hata akikaa home 24/7 anagongwa tu! Tumewaona wengi na tumewagonga sanaa!Mbona povu?
Subiri yule mama nanilii wamjaze mimba ndio utaamini ninayosema.
Sisi tuliooa wamama wanaolea watoto vizuri nyumbani hatuna shida watoto wetu wote wamefanana na sisi lakini mtu aliyeoa mke mfanyakazi possibility ya mtoto kufanana na baba yake ni 33%
Uliwatafuna wabichi au uliwapikaMimi binafsi nishawatafuna wake za watu sana hapa ofisini afu wengine ni mabosi wangu
Hapa umetuchana ukweli.Hakuna cha msimamo wala tabia ya mtu, wanawake wote duniani wanafanana kama ilivyo kwa wanaume tunafanana kitabia. Mwanamke yeyote akijengewa mazingira tu kwisha. Wewe mwenyewe shahidi jinsi ulivyompata mke/mpenzi wako unajua.
Akiwa nyumbani ndio anakuwa na muda wa kutosha wa kufanya hayo mambo kama amekusudiaHello!
Mzee wa kulipua nimekuja kuwalipua tena asubuhi hii. Si kwa ubaya lakini.
Watoto wanaolelewa na maza 24/7 ni watoto bomba sana kuliko watoto wanaoshinda na dada wa kazi kutwa kutwa.
Turudi kwenye mada.
Kati ya wadada around 15 kazini kwetu bosi aliowaacha salama ni wale ambao hata kwa kachumbari hawaliki. Binti akipiga chenga anampa safari mchezo umekwisha.
Hakuna cha msimamo wala tabia ya mtu, wanawake wote duniani wanafanana kama ilivyo kwa wanaume tunafanana kitabia. Mwanamke yeyote akijengewa mazingira tu kwisha. Wewe mwenyewe shahidi jinsi ulivyompata mke/mpenzi wako unajua.
Mke anayeshinda nyumbani na kuwa busy mazingira ya kujengewa ili atafunwe si makubwa kulinganisha na hawa wafanyakazi.
Eti oooh mke wangu anafanya kazi kusaidiana majukumu, yaani umefilisika mpaka unataka usaidiwe na mke wako 😭😭😭. Hapo sijazungumzia ile relationship ya kawaida na watumishi wenzake. Mchawi lunch, nauli, na tuzawadi tudogo tudogo tu.
Najua inawauma, mutakuja hapa kujitetea oooh hata mama wa nyumbani analiwa na bodaboda, shamba boy. Nimewachana leo.
Mke wako anajiandaa asubuhi mapema akatolewe lock na boss mtoto.
Unamjua boss mtoto wewe?
Ni mkuu wa kitengo.
Kuna watu ambao nimewapiga na kitu kizito kichwani watakuja kujitetea ooohh umalaya ni tabia ya mtu binafsi.
Sawa basi tuseme hivi wake zenu sio malaya ila wanawake waliajiriwa ni malaya.