wakunyonya
Senior Member
- Feb 5, 2024
- 102
- 313
Sawa mkuu
Apo unamaanisha wakatae ndoa kwa siri sanaAcheni kuoa wanawake wasio jiheshimu.
Acheni kuoa wanawake malaya.
Nyie ndio mnaoongoza kuchoma visu wanawake wenu.. kabla hayajawakuta mnakuwa na moyo sana ila mkijua mnatombewa huwa mnaua watu...Sawa boss! acha wa liwe tu!
haiondoi mantiki ya maisha.
Changamoto za nyumbani na ofisini ni tofauti pakubwa sana.Kwa mazingira ya kibongo bongo mke aliyoko nyumban na kazin hawana tofaut yoyote.
Kwa sababu unakuta umepanga chumba majirani zako ni wale ambao hawajaoa ni vijana na ni wahuni tu wa mtaani kwa mazingira ayo ndo unataka kusema mkeo yupo salama kwa kuwa yupo nyumban?
🤣🤣Mimi binafsi nishawatafuna wake za watu sana hapa ofisini afu wengine ni mabosi wangu
Wewe ni mpumbavu! Hata mamako analiwa hivyo hivyo akienda kwenye genge lake! Si wanawake wanafanana?Hello!
Mzee wa kulipua nimekuja kuwalipua tena asubuhi hii. Si kwa ubaya lakini.
Watoto wanaolelewa na maza 24/7 ni watoto bomba sana kuliko watoto wanaoshinda na dada wa kazi kutwa kutwa.
Turudi kwenye mada.
Kati ya wadada around 15 kazini kwetu bosi aliowaacha salama ni wale ambao hata kwa kachumbari hawaliki. Binti akipiga chenga anampa safari mchezo umekwisha.
Hakuna cha msimamo wala tabia ya mtu, wanawake wote duniani wanafanana kama ilivyo kwa wanaume tunafanana kitabia. Mwanamke yeyote akijengewa mazingira tu kwisha. Wewe mwenyewe shahidi jinsi ulivyompata mke/mpenzi wako unajua.
Mke anayeshinda nyumbani na kuwa busy mazingira ya kujengewa ili atafunwe si makubwa kulinganisha na hawa wafanyakazi.
Eti oooh mke wangu anafanya kazi kusaidiana majukumu, yaani umefilisika mpaka unataka usaidiwe na mke wako 😭😭😭. Hapo sijazungumzia ile relationship ya kawaida na watumishi wenzake. Mchawi lunch, nauli, na tuzawadi tudogo tudogo tu.
Najua inawauma, mutakuja hapa kujitetea oooh hata mama wa nyumbani analiwa na bodaboda, shamba boy. Nimewachana leo.
Mke wako anajiandaa asubuhi mapema akatolewe lock na boss mtoto.
Unamjua boss mtoto wewe?
Ni mkuu wa kitengo.
Mbona povu?Wewe ni mpumbavu! Hata mamako analiwa hivyo hivyo akienda kwenye genge lake! Si wanawake wanafanana?
Basi tabia za wanawake wanaofanya kazi wote ni Malaya .