Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Red: Attacking words. I do not like them at all.
Nilikuwa naweka msisitizo tu mkuu, sorry kwa hiyo phrase!
Red: Attacking words. I do not like them at all.
Tume ya warioba ilifanya makosa sana kupendekeza muundo wa serikali 3. Wakati wa kutoa maoni nilibahatika kupata nafasi ya kutoa mtizamo wangu ktk hili..! Nilipendekeza tume iandae maswali juu ya suala la Muungano na swali muhimu ni je! Watanzania wanautaka muungano au la. Km hawataki kwa nini na km wanautaka uwe na muundo gani!!? Wananchi wapige kura za maoni(referundum)ili waamue wenyewe. Lkn pia muda wa kupata katiba ni mfupi mno,tuna haraka gani!?
sawa nimekosa umakini..ni Sura ya 83.Mkuu sijazungumzia popote "Ibara ya 83!"
sawa nimekosa umakini..ni Sura ya 83.
Ha haa haaa..! Heshima kwako mkuu. Jibu langu ni NDIYO inawezekana hasa inapotokea jamii inasema na hata watoto wenyewe wanasikia juu ya malalamiko hayo kuwa,huyo baba analea watoto wasio wake. Pengine jamii inajua mwenendo wa mama yao. Watoto lazima wapige kura kuamua km waendelee na baba yao anayepigiwa kelele kila mahali kuwa si baba yao au wamuulize mama yao kisha wapime DNA.Mkuu inawezekana watoto kwenye familia kuitisha kura ya maoni ili kuamua kuwa wanamtaka baba yao aendelee kuwa baba au la?
serikali tatu ndo chaguo la wengi na kama ikishindikana tufanye serikali moja
Kama mnataka kuwajua wazanzibar ni nani basi leteni hiyo moja muone.
Muungano unakusaidia nini?serkal 2 ili kuepusha kuvunja muungano siku za usoni
Ninapenda muungano wa serikali moja.
Sababu ni kuwa kana nia ya mabadiliko ya katiba ya sasa ni kuondoa matatizo yanayalalamikiwa basi tujisahishe kwa kuwa na serikali moja na huu kwangu ndio muungano.
Kimsingi haya mawili chini ndio suluhu ya katiba yetu
(1) Serikali moja ya jamuhiri ya muungano wa Tanzania
au
(2) Serikari mbili yaani serikari ya Zanzibar na serikari ya Tanganyika, huku tukiwa na umoja wa Tanzania.
Mengine ya serikali 2 na 3 ni kubaguana hivyo hakuna haja ya kutumia dhana ya muukano bali ushirikiano
Hakuna kura ya maoni zaidi za kuipigia kura rasimu itakayopendekezwa na Bunge la Katiba! Wewe baada ya miaka 50 unaanza kujiuliza kuwa baba uliye naye ni baba yako au la, ya nini kujipa pressure ya bure? Huu Muungano ukivunjika Western Powers hazitakubali "another Somalia!" Waarabu na Al Shabaab/Al Qaeda nao hawatakubali kuona "Makafiri" wakikalia hivyo Visiwa! Don't think kwamba Tanganyika itakuwa salama eti kwa kuwa itakuwa si sehemu ya Zanzibar!
Think BIG brother/sister!
serkal 2 ili kuepusha kuvunja muungano siku za usoni