Tanzania hatujawahi kuwa na serikali moja,sema serikali mbili zinatosha.Narudia tena serikali tatu ni mzigo kwa watanzania tukishindwa serikali moja, bora kugawana fito. Hizi bra bra za serikali tatu. Ni hira za wanasiasa.
Serikali moja ni maoni yangu kama mtanzania, hizi nafasi za kisiasa ni ukoloni mamboleoTanzania hatujawahi kuwa na serikali moja,sema serikali mbili zinatosha.
Ndugu mtanzaniaSerikali moja ni maoni yangu kama mtanzania, hizi nafasi za kisiasa ni ukoloni mamboleo
Kwanini unataka Serikali Moja ?Kama kweli tunataka Muungano. Uwe wa serikali moja tena ya Majimbo.
Ni kwamba watu wanatamaa ya Uongozi. Ila kimsingi hakuna unuhimu wa kua na Serikali 3.Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 inasema kuwa maoni ya kutokuwepo kwa Muungani ni marufuku! Wewe unazungumzia "Nchi Mbili Huru" maana yake hakuna Muungano! Just imagine zile States za Marekani kila State moja iwe na kiti UN ku-represent nchi moja (USA) Sijui kwa nini suala la Muungano linawafanya watu ku-lose focus kiasi hiki!
Na hilo la ku-refer Katiba ya JMT, 1977 ni sawa kwa kuwa ndio inayotumika, au ulitaka nirejee rasimu ya Katiba Mpya? Be serious, plse!
MiMi naongelea kiuchumi zaidi.Ndugu mtanzania
Toa sababu za kitafiti, Kwa nini unasema Serikali Moja ?