Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

Muundo upi wa Muungano unafaa?

  • Serikali 1

    Votes: 81 23.3%
  • Serikali 2

    Votes: 22 6.3%
  • Serikali 3

    Votes: 241 69.5%
  • Sijui

    Votes: 3 0.9%

  • Total voters
    347
  • Poll closed .
Solution iko kwenye Ibara ya 98 ya Katiba ya JMT, 1977, yaani kupeleka Azimio Bungeni la Kuvunja Muungano! Lazima zipatikane kura theluthi 2 kila upande, otherwise Muungano is here to stay!

Mkuu sasa hivi tunatengeneza mpya ...hiyo ya zamani ni reference tu kwa ajili ya kuendesha mchakato wa kupata mpya...lakini

mleta uzi hajafafanua vizuri...kuhusu kipengele cha serikali mbili...

Kwani unaweza kuwa na serikali mbili zilizo huru, zinz viti huko UN, yaani Serikali ya Zanzibar na serikali Tanzania Bara zilizo huru. Ama serikali mbili kwa muundo wa sasa (Muungano na Zanzibar). Hivyo ningeshauri...poll irudiwe (upigaji kura wa uzi huu urudiwe)...ili options zote mbili ziwe 'captured'. Ni hayo tu.
 
serkali tatu,ili muungano ueleweke,sio wa sasa ,mana kinachochefua muungano ni serkal ya zanzibar yenye kuwa na katiba yake ilihali watanganyika wanatumia ya jamhuri,na sio lazma kuwe na rais watatu,anakuwa mmoja wa jmt.au hapo badae mizengwe ikizid tupa huko muungano,
 
SERIKALI MOJA TU, na roho yangu itapona....!!!
Sababu ninazo nyingi sana, ila siwezi kuzitoa kwenye hiii JF ya sasa, labda ingekua ya kipinde kile.
 
Mkuu sasa hivi tunatengeneza mpya ...hiyo ya zamani ni reference tu kwa ajili ya kuendesha mchakato wa kupata mpya...lakini

mleta uzi hajafafanua vizuri...kuhusu kipengele cha serikali mbili...

Kwani unaweza kuwa na serikali mbili zilizo huru, zinz viti huko UN, yaani Serikali ya Zanzibar na serikali Tanzania Bara zilizo huru. Ama serikali mbili kwa muundo wa sasa (Muungano na Zanzibar). Hivyo ningeshauri...poll irudiwe (upigaji kura wa uzi huu urudiwe)...ili options zote mbili ziwe 'captured'. Ni hayo tu.

Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 inasema kuwa maoni ya kutokuwepo kwa Muungani ni marufuku! Wewe unazungumzia "Nchi Mbili Huru" maana yake hakuna Muungano! Just imagine zile States za Marekani kila State moja iwe na kiti UN ku-represent nchi moja (USA) Sijui kwa nini suala la Muungano linawafanya watu ku-lose focus kiasi hiki!
Na hilo la ku-refer Katiba ya JMT, 1977 ni sawa kwa kuwa ndio inayotumika, au ulitaka nirejee rasimu ya Katiba Mpya? Be serious, plse!
 
hapa mwendo ni serikali 3 tu iwe isiwe kwa jasho. kwa machozi. hata ikibidi kwa damu. kwani bei gani bana ayaa...!!
 
Wazo zuri ila tatizo langu ni kuwa je ikitokea watu wa Zanzibar hawataki muungano hali watu wa Tanganyika wanataka Muungano, ili tatizo litatuliwaje?
Ndoa ni makubaliano ya watu wawili, mmoja asiporidhia ndoa inakuwa haipo hapo. Hilo ndilo jibu la swali lako mkuu.
 
Hakuna kura ya maoni zaidi za kuipigia kura rasimu itakayopendekezwa na Bunge la Katiba! Wewe baada ya miaka 50 unaanza kujiuliza kuwa baba uliye naye ni baba yako au la, ya nini kujipa pressure ya bure? Huu Muungano ukivunjika Western Powers hazitakubali "another Somalia!" Waarabu na Al Shabaab/Al Qaeda nao hawatakubali kuona "Makafiri" wakikalia hivyo Visiwa! Don't think kwamba Tanganyika itakuwa salama eti kwa kuwa itakuwa si sehemu ya Zanzibar!
Think BIG brother/sister!

Nenda zako huko wew unatka muungano wa nin

1.mpaka leo cjawah kuona faida za muungano,kama wew unae ung'angnia muungano unazjua uniambie

2.Ukiangalia wazanzbar wewnyew hawajui maana ya mungano pia hawautaki hata kidogo.

3.Wenye sir za kuungana wote wameshakufa tuliobak wote hatutambui sababu ya kuwepo kwa muungano cha zaidi utasikia sabab za kiusalama tu.

Kwa maon yangu napnda tuwe na serekal 3 ya tanganyka,zanzbar na serekal ya muungano kwa ajil ya kujadil mambo ya muungano na si vingnevyo:
nlipokosea naomba kusahihshwa bila matusi.
 
Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 inasema kuwa maoni ya kutokuwepo kwa Muungani ni marufuku! Wewe unazungumzia "Nchi Mbili Huru" maana yake hakuna Muungano! Just imagine zile States za Marekani kila State moja iwe na kiti UN ku-represent nchi moja (USA) Sijui kwa nini suala la Muungano linawafanya watu ku-lose focus kiasi hiki!
Na hilo la ku-refer Katiba ya JMT, 1977 ni sawa kwa kuwa ndio inayotumika, au ulitaka nirejee rasimu ya Katiba Mpya? Be serious, plse!

Red: Attacking words. I do not like them at all.

Kuhusu mada ilyoko mezani

Sawa...nimekuelewa.

Ila serikali moja ndiyo suluhu...huku serikali ya zanzibar ikiwa imefutwa na serikali ya tanganyika ikiwa imezikwa rasmi.
 
Serikali tatu.zanzibar walishatukataa walishavunja katiba ya muungano.tushilikiane mambo ya muhimu tu ila kila nchi iwe mamlaka yake.jila la nchi yetu libaki Tanzania na sio Tanganyika.
 
Serikali tatu.zanzibar walishatukataa walishavunja katiba ya muungano.tushilikiane mambo ya muhimu tu ila kila nchi iwe mamlaka yake.jila la nchi yetu libaki Tanzania na sio Tanganyika.

Hili Buchanan halioni, sasa sijui hiyo Ibara ya 83 ya Sheria ya Mabadiliko ya katiba wametungiwa akina nani...!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom