Kuna wanaume mnadanganywa kujali mwanamke ni kumsaidia kupika ama kufua. Niwasihi kwamba hayo sio majukumu yenu ni uboya

Kuna dem mmoja boya sana, kuna siku nilimlqza njaa kwa ujifanya anataka kunitest.

Alisafiri kutoka mkoa jirani, safari ya kama masaa3, akafika mida ya saa 12 jioni mm sikuwepo na siujua kama amekuja. Narudi mida ya saa 2 usiku namkuta, hata hajapika na vitu vyote vipo ndani. Mm sikumuuliza kama amekula au la maana mwanamke ukifika kwa mtu wako sharti upike unless hakuna cha kuika.

Nilipofika nikawa napigisha stori tu wala simuulizi kuhusu kula maana mm nishabunya. Mara saa3 hio sioni mtu akijishughurisha na kupika, nikasema ookey, nikaingia bafuni nikaoga, ile natoka bafuni ndio anaanza ku complain. Umerudi hujaniuliza kama nimekula au la na blaa blaa kibao. Mara ooh kanichukulie chips basi, nikampa hela akachukue mwenyewe akakataa.

Nikavuta shuka nikauchapa, nae akaja kulala nikasema ook. Akalala njaa. Sipendi ujinga mm. Yaani nipeke na mwanamke yupo, noooo
 
Kuna dem mmoja boya sana, kuna siku nilimlqza njaa kwa ujifanya anataka kunitest.

Alisafiri kutoka mkoa jirani, safari ya kama masaa3, akafika mida ya saa 12 jioni mm sikuwepo na siujua kama amekuja. Narudi mida ya saa 2 usiku namkuta, hata hajapika na vitu vyote vipo ndani. Mm sikumuuliza kama amekula au la maana mwanamke ukifika kwa mtu wako sharti upike unless hakuna cha kuika.

Nilipofika nikawa napigisha stori tu wala simuulizi kuhusu kula maana mm nishabunya. Mara saa3 hio sioni mtu akijishughurisha na kupika, nikasema ookey, nikaingia bafuni nikaoga, ile natoka bafuni ndio anaanza ku complain. Umerudi hujaniuliza kama nimekula au la na blaa blaa kibao. Mara ooh kanichukulie chips basi, nikampa hela akachukue mwenyewe akakataa.

Nikavuta shuka nikauchapa, nae akaja kulala nikasema ook. Akalala njaa. Sipendi ujinga mm. Yaani nipeke na mwanamke yupo, noooo
Duuuh.! Kiboko
 
Wanaume type ya babako hao ndo wanachochea ushoga vilevile. Mwanaume unaanzaje kushika kikapu ukahemee sokoni? Unachambua kambisa fungu la nyanya hili hapana naomba zile Really? Mkuu Kuna vitu vya kuiga lkn si kufua na kuhemea otherwise anaumwa Tena ghafla!
Watu wa ukanda wa Pwani wanaishi hivyo hata tu nyanya twa mia ,nilikuwa na jirani yangu utasikia mama nifa njoo upokee umekaa tu kabeba nyanya za mia 2
 
Sasa mzee kijio ukitafute wewe halafu mkeo ndio aende sokoni kununua mahitaji labda iwe ile ya kununua Kila siku, lkn km unanunua mahitaji ya wiki mbili tatu inabidi wewe mwanaume ndio uende, sema unajua nini sisi masikini tunakuwa na vijisababu vingi sana vya kujikweza ili tuonekane wanaume shababi wakati hata haihitajiki, mwanaume huwezi kuwa mwanamke kwa sababu unakwenda sokoni, unafua au unapika, ni mtazamo tu, laiti ungelikuwa mpishi unafanya kazi katika hoteli ya nyota 5 maokoto Kama yote Wala hayo masuala ya kulalamika kuwapikia wanaume wenzio Kama wewe yasingeli kuwepo nakuapia na ungeliisifia kazi yako
Bora umeliona hata wewe, unakuta mjeuri na hata shughuli nyingine zero ila anavyo tamba na kufoka
 
Watu wa ukanda wa Pwani wanaishi hivyo hata tu nyanya twa mia ,nilikuwa na jirani yangu utasikia mama nifa njoo upokee umekaa tu kabeba nyanya za mia 2
Kanda ziwa huwezi Kuta wife akijifungua I'ma aje mdogo wake,mamake,wifi yake au aende kwao akajifungulie huko sio kuanza kufua Wala kumpikia
 
Sasa mzee kijio ukitafute wewe halafu mkeo ndio aende sokoni kununua mahitaji labda iwe ile ya kununua Kila siku, lkn km unanunua mahitaji ya wiki mbili tatu inabidi wewe mwanaume ndio uende, sema unajua nini sisi masikini tunakuwa na vijisababu vingi sana vya kujikweza ili tuonekane wanaume shababi wakati hata haihitajiki, mwanaume huwezi kuwa mwanamke kwa sababu unakwenda sokoni, unafua au unapika, ni mtazamo tu, laiti ungelikuwa mpishi unafanya kazi katika hoteli ya nyota 5 maokoto Kama yote Wala hayo masuala ya kulalamika kuwapikia wanaume wenzio Kama wewe yasingeli kuwepo nakuapia na ungeliisifia kazi yako
Acha kurahisisha mambo mkuu kwani mkeo hawezi hemea hayo mahitaji ya wiki3 Mwanaume kabisa unainama kufua nguo za mkeo na watoto halafu mke wako yupo anaangalia Azam burudani kwa wote ? Sasa Si ukaolewa tu ijulikane wewe ni papai! Hakuna Cha mtazamo Y haiwez kuwa X na X Kuwa Y Hadi kiyama
 
Hayo majukumu ni ya wanawake tangu zamani, Mwanamke ndie wa kwenda sokoni, Yeye ndie anajua jikoni kwake kunahitajika kitu gani.

Mwanaume afanye majukumu yake, Mwanamke afanye yake, na wote kwa pamoja watimize majukumu yale ya wote.

Acha kumfulia mwanamke wako nguo zake, ni majukumu yake sawa na wewe kuwa mlinzi mkuu wa nyumba kukiwa na uvamizi,
Upo sawa sana 100%. Kufanya majukumu ya mwanamke nikujishush samahani na kuikosea jamii Watoto wanakuwa hawajui kazi na majukumu maalumu ya mwanaume.mwanaume unaechukua kapu uanenda hemea matembele daily wewe upo sokoni mara ufue mkeo kapaka Hina kucha ndefu kama nungunungu halafu kabisa ujiite mwanaume!!

Bro Hawa wanaume wa sampuli hii ndo wanaounga mkono haki sawa Kwa wote Hali wakijua kabisa mwanaume hawezi lingana na mwanamke hata siku Moja. Ni utahila wa Hali ya juu
 
Especially mwanamke akiwa msomi kapata ka exposure ama wawe awe born town wa kuangalia hizo sinema za wakorea.

Ni wazi kwamba huwa kuna majukumu mna wajibu wa kuyafanya pamoja ama kusaidiana lakini kuna makujumu ya mwanaume unayohitaji kuyafanya bila msaada wa mwanamke na kuna majukumu ya mwanamke nayobidi ayafanye yeye bila wewe kuingilia wala kumsaidia, usije kukubali kufanya majukumu ya mwanamke kwa kudanganywa kuwa ni kujali.

Nashangaa sana nakuta siku hizi mwanaume anaji proud kabisa kuwa jumanne na jumapili ni siku yake ya kuandaa chakula, Like what the hell is this shit !!

Mwanaume hakikisha mwanamke unaemuoa anaweza kukufulia nguo zako, anaweza kukupikia, n.k. ni majukumu halali kabisa ya mwanamke ndani ya mahusiano, kujitia unamjali kumsaidia majukumu ya mwanamke ni uboya, hata uwe na pesa vipi usije kunasa huu mtego, ni sawa na kuwa na pesa hutaki watoto wafanye kazi za nyumbani, mwishowe wanakuwa watu wazima hawajui hata kujitandikia vitanda.
Nitamsaidia mwanamke akiwa mjamzito au mgonjwa na hakuna mfanyakazi
 
True stori sijaongeza Wala kupunguza..Miaka michache nyuma nili limwa ban job kisa ujuaji,anyway sikumwambia yule mwehu maana siunajua tena Wanaume tunahiyo kasumba,nikawa natoka ghto monie naenda kitaa nashinda narudi jioni nkirudi narudi nafurushi manzi ajue Bado Niko job.Miezi minne nafanya hivyo akiba ikakata,ikabidi nimchane,akasema Haina shida atanivumilia nitapata kazi nyingine,nikawa nabaki home napika nafua,naosha vyombo akirudi anakuta nyumba safi,kigae kinang'aa akijitazama anajiona na komwe lake,siku ya kwanza kashangaa na kuonyesha furaha ila siku zilivyozidi akaanza mazonge mara akirudi anarudia kuosha vyombo,na anarudia kudek.Siku nliyochoka nilipokea sms ya mama mkwe
"Acha kuingilia majukumu ya mwenzio"
N.B nilishapiga chini.
 
Hata unishikie risasi, hayo mavitu sifanyi. Ukitaka njoo uwe na mimi tuweke mishahara yawote mezani huku tukiipangia bajeti ya nyumba pasu kwa padu bila kusikia kuwa hayo ni majukumu ya mwanaume.
Mdogowangu usifanye mambo kuwa magumu alafu ukifanya kilakitu kuwa ni ishu kubwa utapata tabu San
Kunawakat mwenzio ataumwa ujue
 
Dah nashukuru jamaa umefuatisha ushauri wa humprey polepole wa kuongea ukweli hata kama unatetemeka
 
Vijana wa siku hizi wabishi sana usishangae wakaja hapa kukupopoa, ati wanasema hayakuhusu.
Especially mwanamke akiwa msomi kapata ka exposure ama wawe awe born town wa kuangalia hizo sinema za wakorea.

Ni wazi kwamba huwa kuna majukumu mna wajibu wa kuyafanya pamoja ama kusaidiana lakini kuna makujumu ya mwanaume unayohitaji kuyafanya bila msaada wa mwanamke na kuna majukumu ya mwanamke nayobidi ayafanye yeye bila wewe kuingilia wala kumsaidia, usije kukubali kufanya majukumu ya mwanamke kwa kudanganywa kuwa ni kujali.

Nashangaa sana nakuta siku hizi mwanaume anaji proud kabisa kuwa jumanne na jumapili ni siku yake ya kuandaa chakula, Like what the hell is this shit !!

Mwanaume hakikisha mwanamke unaemuoa anaweza kukufulia nguo zako, anaweza kukupikia, n.k. ni majukumu halali kabisa ya mwanamke ndani ya mahusiano, kujitia unamjali kumsaidia majukumu ya mwanamke ni uboya, hata uwe na pesa vipi usije kunasa huu mtego, ni sawa na kuwa na pesa hutaki watoto wafanye kazi za nyumbani, mwishowe wanakuwa watu wazima hawajui hata kujitandikia vitanda.
 
Mwanamke anapenda kupelekeshwa, kuongozwa na kutawaliwa pia anapenda amri amri tuu sometime na uromantic kidogo sana. Japo mdomoni atakuambia hapendi hayo.

Mwanaume ukiwa tofauti na hapo ataambia wanawake wenzake "mwanaume wake hajielewi"

Sasa nyie acheni majukumu yenu danganyweni na movie za love story na hizi dini za wazungu
 
Back
Top Bottom