Mfalme_wa_Nyika
JF-Expert Member
- May 24, 2023
- 389
- 863
wewe inaonesha huwajui wabongo we...usishangae kaandikaje kiingereza, wabongo ni mafundi wa kiingereza cha kuandika vibaya mno...mi nimesoma na watu hawajui kuongea sentensi mbili mbele za watu ila wanaandika ung'enge masaa matatu kwenye pepa bila kuinua kichwa😂😂