MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,502
- 20,579
Hapa waziri wetu alikuwa katimiza umri sahihi wa kulipa kodi,yaani zaidi ya miaka 18.
Walipe kodiMifugo ni chanzo cha kipato, hivyo lazima wenye shughuli ya namna hii wachangie kodi.
Jamaa ni washirikina snHahahah hivi watoto wa mjini mnakua wapi mpaka hawa jamaa wanakuja mjini na kutake over pochi na ATM ya nchi ? Mnakwama wapi ?
🤣🤣🤣Jamaa ni washirikina sn
Hivi alikuwa na dreadlock!?Hapa waziri wetu alikuwa katimiza umri sahihi wa kulipa kodi,yaani zaidi ya miaka 18.View attachment 2261456
Wanataka wote wawe bongo flevaHahahah hivi watoto wa mjini mnakua wapi mpaka hawa jamaa wanakuja mjini na kutake over pochi na ATM ya nchi ? Mnakwama wapi ?
NdioHivi alikuwa na dreadlock!?
Umenikumbusha Jamaa ambaye alibase Sana kuchunga Ng'ombe wakati sisi tuko buzy na Shule na tukawa tunamcheka mwishowe Baba yake akamuanzisha Shule na tukawa tunasona naye, aisee jamaa alitukimbiza mpaka hivi sasa naandika hapa Jamaa ni Mwlm Shule wa shule ya Msingi.Hahahah hivi watoto wa mjini mnakua wapi mpaka hawa jamaa wanakuja mjini na kutake over pochi na ATM ya nchi ? Mnakwama wapi ?
Nitakuwa mtu wa 1000000 kuamini huyu ni mwigulu.Hapa waziri wetu alikuwa katimiza umri sahihi wa kulipa kodi,yaani zaidi ya miaka 18.View attachment 2261456
kumbe alichoka mbay malabuku ya mmHapa waziri wetu alikuwa katimiza umri sahihi wa kulipa kodi,yaani zaidi ya miaka 18.View attachment 2261456
Wa mjini wana mifumo ya maisha isiyohangaika na teuziHahahah hivi watoto wa mjini mnakua wapi mpaka hawa jamaa wanakuja mjini na kutake over pochi na ATM ya nchi ? Mnakwama wapi ?
Mkimbizaj yupo shule ya msingi na ww uliyekimbizwa upo wap???Umenikumbusha Jamaa ambaye alibase Sana kuchunga Ng'ombe wakati sisi tuko buzy na Shule na tukawa tunamcheka mwishowe Baba yake akamuanzisha Shule na tukawa tunasona naye, aisee jamaa alitukimbiza mpaka hivi sasa naandika hapa Jamaa ni Mwlm Shule wa shule ya Msingi.
Ni vyema wasiwe wanalalamika sasa...wakomae na mifumo yao.Wa mjini wana mifumo ya maisha isiyohangaika na teuzi
Msingi wa maisha umasikini na njaa ni vitu vibaya sana kwenye maisha ya ukubwani!