Rais Samia asikitika kuona wafanyabiashara wakitumia mbinu kukwepa kulipa kodi

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
44,199
50,920
Rais Samia amesema pamoja na kutoa Maelekezo Kwa TRA wasichukue Kodi za Dhuluma ila anasikitika kwamba wafanyabiashara ndio wamekuwa Wanaidhulumu Serikali Kwa kukwepa Kodi.

Samia amesema watu hawatoi risiti na wengine wanatoa risiti pungufu ya mzigo halisi.
---
Rais Samia Suluhu Hassan amesema licha ya yeye kukataa kodi za dhuluma kutoka kwa wafanyabiashara lakini wafanyabiashara ndio wamegeuka na kuanza kudhulumu kodi ya Serikali.

Akizungumza wakati wa Baraza la Eid El Fitr kitaifa mkoani Dar es Salaam Rais Samia amesema, ameamua kutumia Jukwaa hilo la Baraza la Eid kuwakumbusha wale wote ambao wanatumia mbinu chafu kukwepa kodi za Serikali na kudhohofisha utoaji wa huduma za kijamii.

"Nilipomuapisha Kamisha mkuu wa TRA nilimpa maelekezo kuwa sitakubali kodi za dhuluma na huo ndio msimamo wangu. Lakini cha kushangaza kwa sasa wamegeuka wafanyabishara wasio waaminifu wameanza kudhurumu kodi ya Serikali kwa kutumia njia za ujanja ujanja", Amesema Rais Samia na kuongeza kuwa

"Katika dini yetu pia kuna wafanyabiashara ambao wanatumia njia zisizo halali kukwepa kodi ya Serikali na ndio maana nimeamua kusema hapa ili wajue hata maandiko ya dini yanaelekeza kuhusu kulipa kodi".

My Take
TRA rungu Hilo hapo,mshindwe wenyewe Mfanyabiashara sio wa kucheka nae ,hapendi kulipa Kodi.Mama Rudisha task force maana Kwa Sasa Uchumi umekuwa sana lakini mchango wa Kodi Kwa wafanyabiashara ni mdogo haulingani na uhalisia.
 
Rais Samia amesema pamoja na kutoa Maelekezo Kwa TRA wasichukue Kodi za Dhuluma ila anasikitika kwamba wafanyabiashara ndio wamekuwa Wanaidhulumu Serikali Kwa kukwepa Kodi.

Samia amesema watu hawatoi risiti na wengine wanatoa risiti pungufu ya mzigo halisi.

View: https://www.instagram.com/p/C5le3RZIPM5/?igsh=YWlxZHA4MjlpMHM=

My Take
TRA rungu Hilo hapo,mshindwe wenyewe Mfanyabiashara sio wa kucheka nae ,hapendi kulipa Kodi.Mama Rudisha task force maana Kwa Sasa Uchumi umekuwa sana lakini mchango wa Kodi Kwa wafanyabiashara ni mdogo haulingani na uhalisia.

Mfanyabiashara yoyote yupo after profit. Kanuni ya profit ni Revenue minus expenses. The higher the expenses the lower the profit. So mfanyabiashara hufanya lolote litakalopelekea revenue kuongezeka au expenses (cost) kupungua.

Siwatetei, ila Serikali waanze pia na wao wenyewe. Wao pia ni chanzo kikubwa cha kujikosesha mapato
 
Rais Samia amesema pamoja na kutoa Maelekezo Kwa TRA wasichukue Kodi za Dhuluma ila anasikitika kwamba wafanyabiashara ndio wamekuwa Wanaidhulumu Serikali Kwa kukwepa Kodi.
Izo kodi tunazolipa zingekuwa zinatumika kwa usahihi kwenye maendeleo ya kijamii tungekua tunalipa ata mara 2 yake !!

Kuna barabara ukipita na gari yako apa Dar unaezais upo kakonko ndanindani uko.. Useless
 
Rais Samia amesema pamoja na kutoa Maelekezo Kwa TRA wasichukue Kodi za Dhuluma ila anasikitika kwamba wafanyabiashara ndio wamekuwa Wanaidhulumu Serikali Kwa kukwepa Kodi.

Samia amesema watu hawatoi risiti na wengine wanatoa risiti pungufu ya mzigo halisi.

View: https://www.instagram.com/p/C5le3RZIPM5/?igsh=YWlxZHA4MjlpMHM=

My Take
TRA rungu Hilo hapo,mshindwe wenyewe Mfanyabiashara sio wa kucheka nae ,hapendi kulipa Kodi.Mama Rudisha task force maana Kwa Sasa Uchumi umekuwa sana lakini mchango wa Kodi Kwa wafanyabiashara ni mdogo haulingani na uhalisia.

Task force si ndio kudhulumu wafanyabiashara task force si ndio kubambakia watu kodi jingine mange anamdhalilisha mama kwa nini hamuungani mumshambulie mange!
 
Tatizo la nchi yetu kila kitu anaachiwa afanye Rais wakati kuna watu na vitengo vingi wanalipwa mishahara. Wao wanatakiwa kutangulia kutekeleza wajibu ili mkuu wa nchi akazie.

Hii tabia inawafanya viongozi wakuu kuchoka mapema wakati wahusika wamekaa kimya maofisini.
 
Rais Samia amesema pamoja na kutoa Maelekezo Kwa TRA wasichukue Kodi za Dhuluma ila anasikitika kwamba wafanyabiashara ndio wamekuwa Wanaidhulumu Serikali Kwa kukwepa Kodi.

Samia amesema watu hawatoi risiti na wengine wanatoa risiti pungufu ya mzigo halisi.

View: https://www.instagram.com/p/C5le3RZIPM5/?igsh=YWlxZHA4MjlpMHM=

My Take
TRA rungu Hilo hapo,mshindwe wenyewe Mfanyabiashara sio wa kucheka nae ,hapendi kulipa Kodi.Mama Rudisha task force maana Kwa Sasa Uchumi umekuwa sana lakini mchango wa Kodi Kwa wafanyabiashara ni mdogo haulingani na uhalisia.

Nampongeza sana mama kwa hatua hii kwani ni kweli kabisa wenzetu wengine hawatoi risiti kabisa .TRA nadhani mngeanza na wachina hapo kariakoo wengi hawatoi risiti na ukitaka wanakuambia rudisha bidhaa.
 
Sasa ndio watu watamuelewa JPM na style yake ya kushughulika na wafanya biashara. Hakuna mfanya biashara anayetaka kulipa kodi stahiki kwa hiari. Naona ni suala la muda tu kabla ya template ya JPM kuanza kutumiwa, sio kodi tu hata kwenye chaguzi ..
Rais Samia amesema pamoja na kutoa Maelekezo Kwa TRA wasichukue Kodi za Dhuluma ila anasikitika kwamba wafanyabiashara ndio wamekuwa Wanaidhulumu Serikali Kwa kukwepa Kodi.

Samia amesema watu hawatoi risiti na wengine wanatoa risiti pungufu ya mzigo halisi.

View: https://www.instagram.com/p/C5le3RZIPM5/?igsh=YWlxZHA4MjlpMHM=

My Take
TRA rungu Hilo hapo,mshindwe wenyewe Mfanyabiashara sio wa kucheka nae ,hapendi kulipa Kodi.Mama Rudisha task force maana Kwa Sasa Uchumi umekuwa sana lakini mchango wa Kodi Kwa wafanyabiashara ni mdogo haulingani na uhalisia.
 
Rais Samia amesema pamoja na kutoa Maelekezo Kwa TRA wasichukue Kodi za Dhuluma ila anasikitika kwamba wafanyabiashara ndio wamekuwa Wanaidhulumu Serikali Kwa kukwepa Kodi.

Samia amesema watu hawatoi risiti na wengine wanatoa risiti pungufu ya mzigo halisi.

View: https://www.instagram.com/p/C5le3RZIPM5/?igsh=YWlxZHA4MjlpMHM=

My Take
TRA rungu Hilo hapo,mshindwe wenyewe Mfanyabiashara sio wa kucheka nae ,hapendi kulipa Kodi.Mama Rudisha task force maana Kwa Sasa Uchumi umekuwa sana lakini mchango wa Kodi Kwa wafanyabiashara ni mdogo haulingani na uhalisia.

Huyu mama huyu. Angeungana tu na mama zuchu kuburudisha wanancbi. Kazi siyo kipaji chake
 
Sasa ndio watu watamuelewa JPM na style yake ya kushughulika na wafanya biashara. Hakuna mfanya biashara anayetaka kulipa kodi stahiki kwa hiari. Naona ni suala la muda tu kabla ya template ya JPM kuanza kutumiwa, sio kodi tu hata kwenye chaguzi ..
That way was too harsh ,ilishusha Mapato.

Serikali iwe inang'ata na kupuliza
 
Back
Top Bottom