vvm
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 6,373
- 10,468
Wachaa nichekee maana ndio lengo la hii report...Mmechanganya na utajiri wa Mo au ?Hizi ndio klabu za soka zenye thamani ya juu zaidi Afrika Mashariki, kwa klabu zilizoweka wazi takwimu zao.
Kutoka chanzo cha kuaminika cha TransferMarkt Klabu tatu kubwa Tanzania ndio zinaongoza katika orodha hii.