Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,999
- 22,735
Mo ana ukwasi sana, kumiliki timu inayoongoza kwa mpunga Africa mashariki si kitu ndogo hiyo.
Ukiingia tovuti ya African Football League, waliandika toka mwaka jana kabla ya uzinduzi kuwa Simba ndiyo klabu tajiri Afrika Mashariki. Nadhani hizo taarifa bado zipo mule.Hahahaha ndio nami najiuliza
Sio kosa lako, mashabiki wa Nguruwe fc ni mbumbumbu kama alivyotaja kiongozi waoHiyo ni kweli kwenye ukweli tuseme ukweli tu... Daima simba inathamani kuliko yanga, pia brand ya simba ni kubwa na inauzika tofauti na Yanga.
Ok ahsante kwa kuniweka sawaUkiingia tovuti ya African Football League, waliandika toka mwaka jana kabla ya uzinduzi kuwa Simba ndiyo klabu tajiri Afrika Mashariki. Nadhani hizo taarifa bado zipo mule.
African Football League = CAF
Kuna Nguruwe wenu mmemsahau Dodoma baada ya kupata goli la kusawazishaSimba daima
Mimi sio mjinga kama weweKama hujaridhika na wewe fanya utafiti
Ndiyo maisha ya watanzania, sikushangai sana. wajinga hujiita wajanja na wajanja hubaki kuwaangalia tu.Mimi sio mjinga kama wewe
Wewe ni mjinga bahati mbaya haujishitukii unaweza kuniambia Simba anaizidi nini TP Mazembe?Ndiyo maisha ya watanzania, sikushangai sana. wajinga hujiita wajanja na wajanja hubaki kuwaangalia tu.
60% ya klabu tajiri zipo bongo, duhHizi ndio klabu za soka zenye thamani ya juu zaidi Afrika Mashariki, kwa klabu zilizoweka wazi takwimu zao.
Kutoka chanzo cha kuaminika cha TransferMarkt Klabu tatu kubwa Tanzania ndio zinaongoza katika orodha hii.
Utafiti hupingwa kwa utafiti. Kumbuka kutofautisha klabu na mdhamini!Hahahaha ndio nami najiuliza
Sawa inawezekana club ya simba ina thamani kuliko Tp MazembeUtafiti hupingwa kwa utafiti. Kumbuka kutofautisha klabu na mdhamini!
Tukiwatoa wadhamini ukanda wetu kuna club inaizidi Azam FC na TP Mazembe na Vipers?Utafiti hupingwa kwa utafiti. Kumbuka kutofautisha klabu na mdhamini!
Yanga ndo ànàmzidi tp mazembe.Kwamba Simba anamzidi Mazembe timu yenye kiwanja chake na private jet?
Ujinga ujinga tu.Hizi ndio klabu za soka zenye thamani ya juu zaidi Afrika Mashariki, kwa klabu zilizoweka wazi takwimu zao.
Kutoka chanzo cha kuaminika cha TransferMarkt Klabu tatu kubwa Tanzania ndio zinaongoza katika orodha hii.