Klabu ya Simba yashika Namba Moja katika Vilabu Tajiri Zaidi Afrika Mashariki

Mo ana ukwasi sana, kumiliki timu inayoongoza kwa mpunga Africa mashariki si kitu ndogo hiyo.
 
Toa Nguruwe fc weka Yanga hapo! Kikosi tajiri kinasajili Omari wa Njombe na fred vunjabei 😀😀😀
 
Club haiwezi kuwa tajiri kwa kutegemea hisani za muuza magodoro
 
Back
Top Bottom