Kitimoto haitengezwi SUSHI, utakufa

Myebusi Mweusi

JF-Expert Member
Jan 23, 2022
668
1,505
Unataka kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri ili ugundue nini?

Usile kitimoto ambayo haijaiva vizuri, hakikisha imepikwa kwa moto mkali, kama ni ya kuokwa hakikisha imeokwa kwa muda mrefu hadi mifupa ichomoke kwenye nyama.

Kitimoto ni tamu na salama sana.
 
download.jpeg

Mbona.washauri wengi sana?!
 
Mimi hata jopo LA madokta wanishauri niache kula KTM siwezi,,,wacha iniuwe tu.
 
Back
Top Bottom