Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,972
- 46,738
Katika nchi 15 zenye asilimia kubwa zaidi ya wagonjwa wa kisukari duniani nchi 5 ambazo ni Kuwait, Misri, Qatar, Saudi Arabia na Sudan ni za kiarabu. Nchi moja ya Pakistan ina ustaarabu unaokaribiana na Waarabu nchi nyingine 10 zilizobaki katika listi hiyo ni visiwa vidogo vidogo.
Inasemekana hizi nchi za Waarabu wanapenda sana vyakula vya sukari na ngano, hizi zinaweza kuwa sababu zinazochangia?
Inasemekana hizi nchi za Waarabu wanapenda sana vyakula vya sukari na ngano, hizi zinaweza kuwa sababu zinazochangia?