Ijue Misri, nchi yenye historia kubwa duniani

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,899
155,954
MISRI ni nchi inayozunguka kona ya kaskazini mashariki ya bara la afrika hadi kwenye Rasi ya Sinai kusini magharibi mwa bara la Asia

Nchi ya Misri imepakana na nchi kama Israel, Palestine, Jordan, Sudan na Libya

Pia imepakana na bahari za Mediterranean na bahari nyekundu

Nchi ya Misri ina watu milion 100 ni nchi ya 14 kwa wingi wa idadi ya watu duniani huku kwa afrika ikiwa nafasi ya tatu ikitanguliwa na Nigeria na Ethiopia tu

Kabla ya mwaka 1953 nchi ya Misri ilikuwa ikiongozwa kifalme kabla ya utawala wa kifalme kupinduliwa ......tokea hapo hadi sasa ni maraisi SITA wameiongoza Misri huku raisi aliyekaa muda mrefu zaidi madarakani ni Hosni Mubaraka aliyeiongoza Misri kuanzia 1981 hadi 2011

Raisi wa sasa was Misri ni Abdel Fattah el-Sisi

MISRI ni nchi yenye historia kubwa duniani huwezi kutajaa taaluma yoyote duniani bila kuitaja Misri kuanzia hesabu, sayansi, utawala, fasihi, usanifu wa Majengo, hata dini n.k

Ni miongon mwa nchi kongwe zaidi duniani zaidi ya karne na karne kabla ya kuzaliwa YESU KRISTO Nchi ya Misri ilikuwepo zaidi ya miaka elfu 5

Kwahiyo historia ya Misri ni kubwa saana kila utakavyoielezea bado hutoimaliza

YAFUATAYO NI MAMBO MACHACHE USIYOYAJUA KUHUSU NCHI YA MISRI

1) Wamisri wa kale ndio waanzilish wa dawa ya meno ambapo walichanganya chumvi, majani ya mnanaa ( mint) pilipili, na maji .....kisha walitumia miswaki ya miti au nguo kusugua meno yao

2) Tokea mwaka 972 CAIRO ulikuwa mji mkuu wa Nchi ya Misri kwahiyo ni zaidi ya miaka elfu 1 Cairo ni mji mkuu wa Misri ....unashikilia rekodi ya mji mkuu mkongwe zaidi duniani ijapo inasemekana kuna mji mkuu mpya unatengenezwa nchin Misri

3) Kihistoria wanawake wa kimisri walikuwa na haki sawa na wanaume kumiliki Mali, kuwa viongozi wa dini, kufanya biashara hata kuwa na haki za kumuacha MUME yaan kumpa talaka au kuomba talaka

4) Wamisri wa kale walikuwa wanapenda na kuwaabudu paka ....wakiamini kupata mema hata mtu anayezikwa na paka wanaamini huyo ni moja kwa moja pepon kumuua au kumdhuru paka kwa aina yoyote inaweza kupata adhabu ya kifo

5) Wamisri wa kale walikuwa na zaidi ya MIUNGU 2000 ambaye kila MUNGU walimuomba kwa jambo fulani...kulikuwa na Mungu wa vita, Mungu wa njaa, Mungu wa mapenz n.k

6) Mgomo wa kwanza wa wafanyakazi duniani umetokea MISRI katika miaka ya 1152 kabla ya kuzaliwa YESU KRISTO ...ambapo wafanyakazi waligoma kufanya kazi kwa sababu HAWAJALIPWA

7) Sanamu kongwe zaidi duniani lipo Misri ... Sanamu la sphinx ambalo Lina kichwa cha binadam na mwili wa simba inasemekana lilitengenezwa katika kipindi cha Khafre (c. 2558–2532 BC).

8) Wamisri wa kale walianzisha kalenda yao yenye siku 365...miezi 12 ya mwaka ambayo ina siku 30 kwa mwezi ....lakini utajiuliza 12*30 ni 360 je hizo siku 5 zimeenda wapi ...jibu ni kuwa hizo siku tano ni siku za kuzaliwa MIUNGU yao Mitano ambayo ni Osiris, Horus, Seth, Isis, na Nephtys Seth alikuwa ni Mungu wa maovu

Lakini kalenda zao ziliwasaidia kwenye masuala ya kuabudu na kilimo

9) Nguo kongwe zaidi duniani imetokea Misri..... Nguo hiyo waliipa jina la Tarkhan ilipatikana mwaka 1913 na inakadiriwa kuwa ina zaidi ya miaka elfu 5

10) Asilimia 90 ya raia wa MISRI ni waislam huku ni asilimia chini ya 10 ndio wakristo ....lakini.... hapo awali Misri ilikuwa ni mji muhimu wa kikristo kabla ya UISLAM kuingia mwaka 639 baada ya kuzaliwa YESU KRISTO.... ijapo kuwa Wamisri wa kale walianza kuabudu Mungu zaidi ya miaka elfu 3 kabla ya kuzaliwa YESU KRISTO

11) Mfereji wa Suez canal ndio njia rahis ya majini kwa waarabu kuingia ulaya...kabla ya hapo ilibidi waarabu wazunguke saana kufika bara la ulaya ... Mfereji wa Suez canal ulianza kujengwa mwaka 1859 hadi 1869 .......mfaransa Ferdinand De Lesseps alipewa ruhusu kujengwa Mfereji huu ..

12) Misri ndio wazalishaji wakubwa wa TENDE duniani....asilimia 17 ya tende zote hutokea MISRI

13) Afrika kuna nchi mbili tu zenye METRO ( underground railway system) ni jiji la Alger nchini Algeria na wewe Jiji la Cairo nchini Misri

14) Timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Misri ndio iliyofanikiwa zaidi katika historia ya afrika huku Al Ahly ndio timu iliyofanikiwa zaidi kisoka baran afrika kwa ngazi ya vilabu

15) Mkataba wa Amani wa Kadesh ndio Mkataba wa kwanza wa amani ( peace treaty) duniani ulifanyika MISRI...ni kipindi cha Shaba (bronze age) katika kipindi hicho ndio teknolojia inaanza kukua... biashara baina ya nchi na nchi ...bara na bara ndio zinaanza kushamiri........ Mwaka 1274 kabla ya kuzaliwa YESU KRISTO kulitokea vita baina ya Mfalme Muvattalli II wa Hittite dhidi ya mfalme Ramesses II wa MISRI ya kale........ himaya hizi mbili zilizo na nguvu duniani kwa wakati huo kugombania eneo MUHIMU la kibiashara la Kadesh

Mwisho wa siku wakaona suluhu peke ya kutatua mgogoro huo ni Mkataba wa Amani baina yao ndio wakaweka Mkataba wa kwanza wa amani duniani .....mfano wa Mkataba huo upo katika jengo la umoja wa mataifa New York

16) Mto Nile ndio mto mrefu zaidi DUNIANI...watu wa kale wa MISRI waliuita kama mto wa maisha kutokana na umuhim wake kwenye shughul zao za kimaisha
 
As of 5 May 2023, 14 ministries and government entities have relocated to the New Administrative Capital. It is expected to cost over US$100 million to move the government from Cairo to NAC but a full cost and timeline for the overall project has not yet been revealed.

to conclude, Egypt did have different capital cities before Cairo, but they were different from era to era. Memphis, Thebes, Askar, Alexandria are the ancient capitals of Egypt before Cairo
 
Morsi ndio ilitoa mwanafalsafa was kwanza Duniani imhotep wagiriki hawakuwepo kabisa walikuja Morsi kusoma,Afrika ndio bara mama duniani yaani hakukuwa na ulaya wala Asia ranging yote chimbuko lake ni Afrika,Afrika ikiwa na nchi mobile tu Misri na Ethiopia tu,waarabu,wazungu no wote walikuja Misri kuchota maarifa na ustaarabu,middle east iko north east Afrika hakunaga mashariki ya kati
 
Nimeshangaa sana nchi ambayo ndio chanzo cha mambo makubwa duniani na ùstaarabu wa kale ilikujaje kupokea dini isiyo na mashiko ya mudi na Allah wake
Wa Egypt huwa hawana misimamo kwenye mambo ya dini dini hata akienda mwamposa akawafanyia maunyama kuanzia hiyo siku inatangazwa amri na Aabudiwe Mungu wa Mwamposa. Sasa mudi alienda wakat sahih kabisa mitume ya Yesu kina Paulo washavuta wamebaki wasela wa kizungu🤣
 
MISRI ni nchi inayozunguka kona ya kaskazini mashariki ya bara la afrika hadi kwenye Rasi ya Sinai kusini magharibi mwa bara la Asia

Nchi ya Misri imepakana na nchi kama Israel, Palestine, Jordan, Sudan na Libya

Pia imepakana na bahari za Mediterranean na bahari nyekundu

Nchi ya Misri ina watu milion 100 ni nchi ya 14 kwa wingi wa idadi ya watu duniani huku kwa afrika ikiwa nafasi ya tatu ikitanguliwa na Nigeria na Ethiopia tu

Kabla ya mwaka 1953 nchi ya Misri ilikuwa ikiongozwa kifalme kabla ya utawala wa kifalme kupinduliwa ......tokea hapo hadi sasa ni maraisi SITA wameiongoza Misri huku raisi aliyekaa muda mrefu zaidi madarakani ni Hosni Mubaraka aliyeiongoza Misri kuanzia 1981 hadi 2011

Raisi wa sasa was Misri ni Abdel Fattah el-Sisi

MISRI ni nchi yenye historia kubwa duniani huwezi kutajaa taaluma yoyote duniani bila kuitaja Misri kuanzia hesabu, sayansi, utawala, fasihi, usanifu wa Majengo, hata dini n.k

Ni miongon mwa nchi kongwe zaidi duniani zaidi ya karne na karne kabla ya kuzaliwa YESU KRISTO Nchi ya Misri ilikuwepo zaidi ya miaka elfu 5

Kwahiyo historia ya Misri ni kubwa saana kila utakavyoielezea bado hutoimaliza

YAFUATAYO NI MAMBO MACHACHE USIYOYAJUA KUHUSU NCHI YA MISRI

1) Wamisri wa kale ndio waanzilish wa dawa ya meno ambapo walichanganya chumvi, majani ya mnanaa ( mint) pilipili, na maji .....kisha walitumia miswaki ya miti au nguo kusugua meno yao

2) Tokea mwaka 972 CAIRO ulikuwa mji mkuu wa Nchi ya Misri kwahiyo ni zaidi ya miaka elfu 1 Cairo ni mji mkuu wa Misri ....unashikilia rekodi ya mji mkuu mkongwe zaidi duniani ijapo inasemekana kuna mji mkuu mpya unatengenezwa nchin Misri

3) Kihistoria wanawake wa kimisri walikuwa na haki sawa na wanaume kumiliki Mali, kuwa viongozi wa dini, kufanya biashara hata kuwa na haki za kumuacha MUME yaan kumpa talaka au kuomba talaka

4) Wamisri wa kale walikuwa wanapenda na kuwaabudu paka ....wakiamini kupata mema hata mtu anayezikwa na paka wanaamini huyo ni moja kwa moja pepon kumuua au kumdhuru paka kwa aina yoyote inaweza kupata adhabu ya kifo

5) Wamisri wa kale walikuwa na zaidi ya MIUNGU 2000 ambaye kila MUNGU walimuomba kwa jambo fulani...kulikuwa na Mungu wa vita, Mungu wa njaa, Mungu wa mapenz n.k

6) Mgomo wa kwanza wa wafanyakazi duniani umetokea MISRI katika miaka ya 1152 kabla ya kuzaliwa YESU KRISTO ...ambapo wafanyakazi waligoma kufanya kazi kwa sababu HAWAJALIPWA

7) Sanamu kongwe zaidi duniani lipo Misri ... Sanamu la sphinx ambalo Lina kichwa cha binadam na mwili wa simba inasemekana lilitengenezwa katika kipindi cha Khafre (c. 2558–2532 BC).

8) Wamisri wa kale walianzisha kalenda yao yenye siku 365...miezi 12 ya mwaka ambayo ina siku 30 kwa mwezi ....lakini utajiuliza 12*30 ni 360 je hizo siku 5 zimeenda wapi ...jibu ni kuwa hizo siku tano ni siku za kuzaliwa MIUNGU yao Mitano ambayo ni Osiris, Horus, Seth, Isis, na Nephtys Seth alikuwa ni Mungu wa maovu

Lakini kalenda zao ziliwasaidia kwenye masuala ya kuabudu na kilimo

9) Nguo kongwe zaidi duniani imetokea Misri..... Nguo hiyo waliipa jina la Tarkhan ilipatikana mwaka 1913 na inakadiriwa kuwa ina zaidi ya miaka elfu 5

10) Asilimia 90 ya raia wa MISRI ni waislam huku ni asilimia chini ya 10 ndio wakristo ....lakini.... hapo awali Misri ilikuwa ni mji muhimu wa kikristo kabla ya UISLAM kuingia mwaka 639 baada ya kuzaliwa YESU KRISTO.... ijapo kuwa Wamisri wa kale walianza kuabudu Mungu zaidi ya miaka elfu 3 kabla ya kuzaliwa YESU KRISTO

11) Mfereji wa Suez canal ndio njia rahis ya majini kwa waarabu kuingia ulaya...kabla ya hapo ilibidi waarabu wazunguke saana kufika bara la ulaya ... Mfereji wa Suez canal ulianza kujengwa mwaka 1859 hadi 1869 .......mfaransa Ferdinand De Lesseps alipewa ruhusu kujengwa Mfereji huu ..

12) Misri ndio wazalishaji wakubwa wa TENDE duniani....asilimia 17 ya tende zote hutokea MISRI

13) Afrika kuna nchi mbili tu zenye METRO ( underground railway system) ni jiji la Alger nchini Algeria na wewe Jiji la Cairo nchini Misri

14) Timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Misri ndio iliyofanikiwa zaidi katika historia ya afrika huku Al Ahly ndio timu iliyofanikiwa zaidi kisoka baran afrika kwa ngazi ya vilabu

15) Mkataba wa Amani wa Kadesh ndio Mkataba wa kwanza wa amani ( peace treaty) duniani ulifanyika MISRI...ni kipindi cha Shaba (bronze age) katika kipindi hicho ndio teknolojia inaanza kukua... biashara baina ya nchi na nchi ...bara na bara ndio zinaanza kushamiri........ Mwaka 1274 kabla ya kuzaliwa YESU KRISTO kulitokea vita baina ya Mfalme Muvattalli II wa Hittite dhidi ya mfalme Ramesses II wa MISRI ya kale........ himaya hizi mbili zilizo na nguvu duniani kwa wakati huo kugombania eneo MUHIMU la kibiashara la Kadesh

Mwisho wa siku wakaona suluhu peke ya kutatua mgogoro huo ni Mkataba wa Amani baina yao ndio wakaweka Mkataba wa kwanza wa amani duniani .....mfano wa Mkataba huo upo katika jengo la umoja wa mataifa New York

16) Mto Nile ndio mto mrefu zaidi DUNIANI...watu wa kale wa MISRI waliuita kama mto wa maisha kutokana na umuhim wake kwenye shughul zao za kimaisha
Buji...
Nakuwekea hapa chini kitu kidogo kuhusu Misri.
Makala hii ipo katika Maktaba na nimeiandika mwaka wa 2019.

Naamini yako mengi ndani yake yatakayoongeza mtu kuifahamu Misri zaidi baada ya kusoma makala yako:

MONTAZA PALACE ALEXANDRIA JUNE 1988

Leo asubuhi nimeingia Maktaba na kukuta picha ya Montaza Palace.

Nilifika Montaza Palace kusali sala ya Ijumaa mwaka wa 1988 nilikuwa kwenye kozi mjini Alexandria na aliyenichukua alikuwa mmoja wa walimu zangu alipojua kuwa mimi ni Muislam.

Kozi ilikuwa na wanafunzi wengi kutoka Afrika lakini katika kundi zima lile Waislamu tulikuwa wawili tu.

Hii Montaza Palace lilikuwa jumba la Mfalme Farouk wa Misri la mapumziko yake wakati wa Kiangazi.

Montaza Palace baada ya mapinduzi ya mwaka wa 1952 Gamal Abdel Nasser aligeuza kuwa Kasri la Wananchi na kwa ajili hii msikiti uliokuwa ndani ya viwanja vya jengo hili ukawa wazi kwa watu kuja wakati wowote kusali

Niliikumbuka Montaza Palace na kushukuru kufika hapo baada ya kukisoma kitabu cha Mohamed Heykal, "The Road to Ramadan," alipokuwa akieleza Vita vya Yom Kippur mwaka 1973 wakati Misri na Syria zilipopigana na Israel.

Vita vilikuwa vinawaendea vizuri Waarabu na Anwar Sadat akaamua kuja Alexandria wakati vita bado vinauma.

Majeshi ya Misri yalikuwa yamevuka Suez Canal na kuingia Sinai na kuvunja Bar Lev Line mlima wa mchanga uliojengwa na Wayahudi kuzuia mashambulizi kutoka Misri baada ya Six Day War 1967.

Huyu Heykal mtu mwenye akili sana na akiheshimiwa mno Misri kwa ajili ya bongo lake.

Basi akaenda Alexandria kupata taarifa za vita kutoka kwa Commander in Chief mwenyewe na hivi ndivyo alivyojikuta uso kwa uso na Anwar Sadat ndani ya Montaza Palace.

Heykal mtu wa tasnifa sana.
Ukimsoma sharti utacheka.

Heykal anaeleza katika kitabu hicho kuwa, "Kwa muda Sadat aliniangalia bila ya kunijibu swali langu mkononi kashika glasi ya kinywaji chake hadi alipomaliza kunywa.

Alipomaliza kunywa akaniambia, "Heykal acha kunishughulisha na maswali yako madogo madogo mimi ni Mkuu wa Majeshi nashughulishwa na mambo makubwa.

Hayo mambo yako majibu ungeweza kupata Cairo."
Sasa Heykal anaanza kumkanyaga Sadat.

Heykal anasema Sadat akishughulishwa sana na muonekano wake kiasi kuwa uniform zake za Commander in Chief aliziagiza kutoka Paris na zilitoka kwa designer mkubwa sana duniani - Yves Saint Laurent.

Heykal bado anashindilia anasema, "Sadat alipokuwa kijana alitaka kuwa muigizaji lakini alikuwa hana kipaji hicho sasa alipokuja kuwa Rais zile camera za tv kwake yeye aliziona kama camera za Hollywood."

Huyu ndiye Mohamed Hasnain Heykal.

Hii picha ya Montaza Palace katika Maktaba imenikumbusha mengi.
Nilirudi tena Misri mwaka wa 1991.

No photo description available.



All reactions:
85Ummie-Mahfoudha Alley Hamid Hamid, Mohamedi Ally and 83 others
 
Buji...
Nakuwekea hapa chini kitu kidogo kuhusu Misri.
Makala hii ipo katika Maktaba na nimeiandika mwaka wa 2019.

Naamini yako mengi ndani yake yatakayoongeza mtu kuifahamu Misri zaidi baada ya kusoma makala yako:

MONTAZA PALACE ALEXANDRIA JUNE 1988

Leo asubuhi nimeingia Maktaba na kukuta picha ya Montaza Palace.

Nilifika Montaza Palace kusali sala ya Ijumaa mwaka wa 1988 nilikuwa kwenye kozi mjini Alexandria na aliyenichukua alikuwa mmoja wa walimu zangu alipojua kuwa mimi ni Muislam.

Kozi ilikuwa na wanafunzi wengi kutoka Afrika lakini katika kundi zima lile Waislamu tulikuwa wawili tu.

Hii Montaza Palace lilikuwa jumba la Mfalme Farouk wa Misri la mapumziko yake wakati wa Kiangazi.

Montaza Palace baada ya mapinduzi ya mwaka wa 1952 Gamal Abdel Nasser aligeuza kuwa Kasri la Wananchi na kwa ajili hii msikiti uliokuwa ndani ya viwanja vya jengo hili ukawa wazi kwa watu kuja wakati wowote kusali

Niliikumbuka Montaza Palace na kushukuru kufika hapo baada ya kukisoma kitabu cha Mohamed Heykal, "The Road to Ramadan," alipokuwa akieleza Vita vya Yom Kippur mwaka 1973 wakati Misri na Syria zilipopigana na Israel.

Vita vilikuwa vinawaendea vizuri Waarabu na Anwar Sadat akaamua kuja Alexandria wakati vita bado vinauma.

Majeshi ya Misri yalikuwa yamevuka Suez Canal na kuingia Sinai na kuvunja Bar Lev Line mlima wa mchanga uliojengwa na Wayahudi kuzuia mashambulizi kutoka Misri baada ya Six Day War 1967.

Huyu Heykal mtu mwenye akili sana na akiheshimiwa mno Misri kwa ajili ya bongo lake.

Basi akaenda Alexandria kupata taarifa za vita kutoka kwa Commander in Chief mwenyewe na hivi ndivyo alivyojikuta uso kwa uso na Anwar Sadat ndani ya Montaza Palace.

Heykal mtu wa tasnifa sana.
Ukimsoma sharti utacheka.

Heykal anaeleza katika kitabu hicho kuwa, "Kwa muda Sadat aliniangalia bila ya kunijibu swali langu mkononi kashika glasi ya kinywaji chake hadi alipomaliza kunywa.

Alipomaliza kunywa akaniambia, "Heykal acha kunishughulisha na maswali yako madogo madogo mimi ni Mkuu wa Majeshi nashughulishwa na mambo makubwa.

Hayo mambo yako majibu ungeweza kupata Cairo."
Sasa Heykal anaanza kumkanyaga Sadat.

Heykal anasema Sadat akishughulishwa sana na muonekano wake kiasi kuwa uniform zake za Commander in Chief aliziagiza kutoka Paris na zilitoka kwa designer mkubwa sana duniani - Yves Saint Laurent.

Heykal bado anashindilia anasema, "Sadat alipokuwa kijana alitaka kuwa muigizaji lakini alikuwa hana kipaji hicho sasa alipokuja kuwa Rais zile camera za tv kwake yeye aliziona kama camera za Hollywood."

Huyu ndiye Mohamed Hasnain Heykal.

Hii picha ya Montaza Palace katika Maktaba imenikumbusha mengi.
Nilirudi tena Misri mwaka wa 1991.

No photo description available.


All reactions:
85Ummie-Mahfoudha Alley Hamid Hamid, Mohamedi Ally and 83 others
Shukrani sana Kisima cha maarifa, Mzee Mohamed Said
 
Buji...
Nakuwekea hapa chini kitu kidogo kuhusu Misri.
Makala hii ipo katika Maktaba na nimeiandika mwaka wa 2019.

Naamini yako mengi ndani yake yatakayoongeza mtu kuifahamu Misri zaidi baada ya kusoma makala yako:

MONTAZA PALACE ALEXANDRIA JUNE 1988

Leo asubuhi nimeingia Maktaba na kukuta picha ya Montaza Palace.

Nilifika Montaza Palace kusali sala ya Ijumaa mwaka wa 1988 nilikuwa kwenye kozi mjini Alexandria na aliyenichukua alikuwa mmoja wa walimu zangu alipojua kuwa mimi ni Muislam.

Kozi ilikuwa na wanafunzi wengi kutoka Afrika lakini katika kundi zima lile Waislamu tulikuwa wawili tu.

Hii Montaza Palace lilikuwa jumba la Mfalme Farouk wa Misri la mapumziko yake wakati wa Kiangazi.

Montaza Palace baada ya mapinduzi ya mwaka wa 1952 Gamal Abdel Nasser aligeuza kuwa Kasri la Wananchi na kwa ajili hii msikiti uliokuwa ndani ya viwanja vya jengo hili ukawa wazi kwa watu kuja wakati wowote kusali

Niliikumbuka Montaza Palace na kushukuru kufika hapo baada ya kukisoma kitabu cha Mohamed Heykal, "The Road to Ramadan," alipokuwa akieleza Vita vya Yom Kippur mwaka 1973 wakati Misri na Syria zilipopigana na Israel.

Vita vilikuwa vinawaendea vizuri Waarabu na Anwar Sadat akaamua kuja Alexandria wakati vita bado vinauma.

Majeshi ya Misri yalikuwa yamevuka Suez Canal na kuingia Sinai na kuvunja Bar Lev Line mlima wa mchanga uliojengwa na Wayahudi kuzuia mashambulizi kutoka Misri baada ya Six Day War 1967.

Huyu Heykal mtu mwenye akili sana na akiheshimiwa mno Misri kwa ajili ya bongo lake.

Basi akaenda Alexandria kupata taarifa za vita kutoka kwa Commander in Chief mwenyewe na hivi ndivyo alivyojikuta uso kwa uso na Anwar Sadat ndani ya Montaza Palace.

Heykal mtu wa tasnifa sana.
Ukimsoma sharti utacheka.

Heykal anaeleza katika kitabu hicho kuwa, "Kwa muda Sadat aliniangalia bila ya kunijibu swali langu mkononi kashika glasi ya kinywaji chake hadi alipomaliza kunywa.

Alipomaliza kunywa akaniambia, "Heykal acha kunishughulisha na maswali yako madogo madogo mimi ni Mkuu wa Majeshi nashughulishwa na mambo makubwa.

Hayo mambo yako majibu ungeweza kupata Cairo."
Sasa Heykal anaanza kumkanyaga Sadat.

Heykal anasema Sadat akishughulishwa sana na muonekano wake kiasi kuwa uniform zake za Commander in Chief aliziagiza kutoka Paris na zilitoka kwa designer mkubwa sana duniani - Yves Saint Laurent.

Heykal bado anashindilia anasema, "Sadat alipokuwa kijana alitaka kuwa muigizaji lakini alikuwa hana kipaji hicho sasa alipokuja kuwa Rais zile camera za tv kwake yeye aliziona kama camera za Hollywood."

Huyu ndiye Mohamed Hasnain Heykal.

Hii picha ya Montaza Palace katika Maktaba imenikumbusha mengi.
Nilirudi tena Misri mwaka wa 1991.

No photo description available.


All reactions:
85Ummie-Mahfoudha Alley Hamid Hamid, Mohamedi Ally and 83 others
Ningeshangaa sana usingeleta udini. Mzee punguza kidogo udini. Everything too much is harmful. Wewe, FaizaFoxy, The Boss, THE BIG SHOW na wengine mnaudini Hadi mnakera.

Kila michango mnayochangia lazima muweke udini
 
Shukrani sana Kisima cha maarifa, Mzee Mohamed Said
Buji...
Ahsante basi acha nikuongezee vitu vingine upate kuijua vyema Misri:

KISA CHA ABDEL HAKIM AMER NA GAMAL ABDEL NASSER WA MISRI
Watu wanapozongwa na dhahma za wanasiasa hutafuta mambo ya kuwachekesha.

Vichekesho hivi wanavitengeneza kutoka kwa wanasiasa wenyewe kiasi kwamba wenyewe wanasiasa vichekesho hivi vinapowafikia na wao pia huangua vicheko wakacheka.

Abdel Nasser aliwaandama sana Ikhwan Muslimin (Ndugu Waislam) hadi akawaua Hassan Bana na Said Kutb.

Baada ya Misri kushindwa vibaya sana katika vita vya mwaka wa 1967 dhidi ya Israel pakawa na msuguano mkubwa ndani ya serikali na ndani ya jeshi la Misri na pia baina ya serikali ya Nasser na jeshi.

Zilizuka lawama nyingi kwa mkuu wa majeshi Abdel Hakim Amer kwa kushindwa kwa Misri katika vita ile iliyopiganwa kwa siku sita.

Haikupita hata miezi mitatu Abdel Hakim Amer akajiua na wengine wanasema aliuliwa.

Ikhwan wakawa sasa wamepata jambo la kulifanyia mzaha na tashtiti.

Wakawa wanasema Abdel Hakim alipokuwa kaburini malaika Munkar wa Nakir walifika kumuuliza maswali kama ilivyo ada, "Nani Mungu wako?"

Ikwan wakawa wanasema kuwa ati Abdel Hakim aliwajibu kuwa Mungu wake ni Gamal Abdel Nasser.

Malaika wajarejea kwa Allah kumpa jibu la Abdel Hakim.

Allah akawaamuru waende tena kwa Abdel Hakim wakamuulize swali lile kwa mara ya pili.

Abdel Hakim hakubadilisha jibu lake akasema, "Mimi Mungu wangu ni Nasser."
Malaika wale wakarudi kwa Allah kutoa jibu la Abdel Hakim.

Allah akawaambia waende tena wakamuulize.
Hii ikawa ni mara ya tatu.

Safari hii Munkar wa Nakir wakamwingilia Abdel Hakim Amer kaburini kwake wameghadhibika wakamuuliza kwa ukali sauti inavuma kama radi, "Nani Mola wako?"

Abdel Hakim akaogopa.

"Ndugu zangu hebu tulieni kwani nyie mnatoka wapi nani kakutumeni kwangu?"
Abdel Hakim akauliza, Ikhwan wanasema.

Munkar wa Nakir wakamjibu wakamwambia, "Sisi tunatoka kwa Allah yeye ndiye aliyetutuma kwako."

Abdel Hakim Ameir akasema, "Mbona hamkuniambia toka mwanzo?
Mimi nilidhani nyie askari wa Nasser mmekuja kunipeleleza.

Mimi Mungu wangu ni Allah."

Kama hizi mfano wa kichekesho hiki Ikhwan Muslimin wanazo tele.
Utake usitake utacheka.

Picha kulia ni Nasser na kushoto ni Abdel Hakim Amer.

1713410414382.png

1713410458588.png
 
Ningeshangaa sana usingeleta udini. Mzee punguza kidogo udini. Everything too much is harmful. Wewe, FaizaFoxy, The Boss, THE BIG SHOW na wengine mnaudini Hadi mnakera.

Kila michango mnayochangia lazima muweke udini
Heci,
Ikiwa hupendi kusoma chochote kuhusu Waislam na wewe unajua kuwa mimi nawaandika sana Waislam ya nini kusoma post zangu?

Ukiacha kunisoma hutokereka.
Lakini haya ninayoaandika si udini.

Udini ni kukandamiza imani isiyokuwa yako ukaipendelea imani yako.
Huo ndiyo udini.
 
Buji...
Ahsante basi acha nikuongezee vitu vingine upate kuijua vyema Misri:

KISA CHA ABDEL HAKIM AMER NA GAMAL ABDEL NASSER WA MISRI
Watu wanapozongwa na dhahma za wanasiasa hutafuta mambo ya kuwachekesha.

Vichekesho hivi wanavitengeneza kutoka kwa wanasiasa wenyewe kiasi kwamba wenyewe wanasiasa vichekesho hivi vinapowafikia na wao pia huangua vicheko wakacheka.

Abdel Nasser aliwaandama sana Ikhwan Muslimin (Ndugu Waislam) hadi akawaua Hassan Bana na Said Kutb.

Baada ya Misri kushindwa vibaya sana katika vita vya mwaka wa 1967 dhidi ya Israel pakawa na msuguano mkubwa ndani ya serikali na ndani ya jeshi la Misri na pia baina ya serikali ya Nasser na jeshi.

Zilizuka lawama nyingi kwa mkuu wa majeshi Abdel Hakim Amer kwa kushindwa kwa Misri katika vita ile iliyopiganwa kwa siku sita.

Haikupita hata miezi mitatu Abdel Hakim Amer akajiua na wengine wanasema aliuliwa.

Ikhwan wakawa sasa wamepata jambo la kulifanyia mzaha na tashtiti.

Wakawa wanasema Abdel Hakim alipokuwa kaburini malaika Munkar wa Nakir walifika kumuuliza maswali kama ilivyo ada, "Nani Mungu wako?"

Ikwan wakawa wanasema kuwa ati Abdel Hakim aliwajibu kuwa Mungu wake ni Gamal Abdel Nasser.

Malaika wajarejea kwa Allah kumpa jibu la Abdel Hakim.

Allah akawaamuru waende tena kwa Abdel Hakim wakamuulize swali lile kwa mara ya pili.

Abdel Hakim hakubadilisha jibu lake akasema, "Mimi Mungu wangu ni Nasser."
Malaika wale wakarudi kwa Allah kutoa jibu la Abdel Hakim.

Allah akawaambia waende tena wakamuulize.
Hii ikawa ni mara ya tatu.

Safari hii Munkar wa Nakir wakamwingilia Abdel Hakim Amer kaburini kwake wameghadhibika wakamuuliza kwa ukali sauti inavuma kama radi, "Nani Mola wako?"

Abdel Hakim akaogopa.

"Ndugu zangu hebu tulieni kwani nyie mnatoka wapi nani kakutumeni kwangu?"
Abdel Hakim akauliza, Ikhwan wanasema.

Munkar wa Nakir wakamjibu wakamwambia, "Sisi tunatoka kwa Allah yeye ndiye aliyetutuma kwako."

Abdel Hakim Ameir akasema, "Mbona hamkuniambia toka mwanzo?
Mimi nilidhani nyie askari wa Nasser mmekuja kunipeleleza.

Mimi Mungu wangu ni Allah."

Kama hizi mfano wa kichekesho hiki Ikhwan Muslimin wanazo tele.
Utake usitake utacheka.

Picha kulia ni Nasser na kushoto ni Abdel Hakim Amer.

Shukrani sana
 
Afisa...
Usiwe unafanya haya.
Usikejeli dini.

Haipendezi na si uungwana kabisa kumfanyia maskhara mtume hata kama humuamini.

Haifai.
Nashangaa hata huo utume kapewa na nani mngekuwa mnatuheshimu nasi tungekuwa tunawaheshimu vituko vyenu ndivyo vinatufanya tuwakejeli mbona hatuwakejeli wabudha wala wahindu?
 
Sinema ya James Bond Roger Moore The Spy Who Loved Me ilichezewa Misri
 
Back
Top Bottom