Kazi ya Urejeshaji wa Miundombinu Somanga Inakamilishwa, Nguvu Yaelekezwa SONGAS

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,994
961

KAZI YA UREJESHAJI WA MIUNDOMBINU SOMANGA INAKAMILISHWA, NGUVU YAELEKEZWA SONGAS.

Wizara ya Ujenzi, Timu ya Wataalam kutoka Wakala ya Barabara (TANROADS) ikishirikiana na Makandarasi, wanaendelea na zoezi la urejeshaji wa Miundombinu ya Barabara katika eneo la Songas ambalo nalo lilikatika katika Barabara Kuu ya Lindi – Dar es Salaam kutokana na mvua kubwa zilizonyesha na kuambatana na Kimbunga Hidaya.

Hadi kufikia leo Mei 08, 2024 kazi ya urejeshaji wa Miundombinu ya Barabara hiyo katika eneo la Somanga ipo katika hatua za ukamilishaji ambapo magari ya mawe yamesharuhusiwa kupita kuelekea maeneo mingine yaliyoathiriwa.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.13.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.13.jpeg
    576.8 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.14.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.14.jpeg
    568.3 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.15.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.15.jpeg
    584.5 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.20(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.20(1).jpeg
    756.2 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.22.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.22.jpeg
    593 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.23.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.23.jpeg
    500.2 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.24.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-08 at 10.29.24.jpeg
    492.8 KB · Views: 1
Back
Top Bottom