FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 93,089
- 109,469
Siyo za umeme.Brand new Kodi zinaanzia 30m TZS
Kodi ni kwa asilimia, sivyo unavyodhania. Tena mitumba ya zamani ndiyo ina kodi kubwa zaidi.
Siyo za umeme.Brand new Kodi zinaanzia 30m TZS
2018 Ford Ranger Raptor Kodi 54m TZSSiyo za umeme.
Kodi ninkwanasilimia, sivyo unavyidhania. Tena mitumbabya zamani ndiyo ina kodi kubwa zaidi.
Mie naongelea gari za kichina za umeme wewe unaongelea gari ya Kimerekani, mbingu na ardhi.2018 Ford Ranger Raptor Kodi 54m TZS
Unachajia kwenye umeme, kwani simu yako unachajia wapi? mbona vi electrical bike vimeanza kujaa Dar, wanachajia wapi?Utachajia wapi? Kuna mifumo ya kuchajia hizo gari Kwa bongo?
Scooter piaUnachajia kwenye umeme, kwani simu yako unachajia wapi? mbona vi electrical bike vimeanza kujaa Dar, wanachajia wapi?
Sema hata Ulaya bado wanatumia gari za mafuta bado hizo za umeme performance yake ipo chini hasa zile za kubeba mizigo mizito (heavy- duty) eg trucksMagari sasa hivi ni umeme na hydrogenation tu duniani huko. Haya ya mafuta wanaya ohase out na kuya dump kwetu huku kidogo kidogo, na sisi tubadilike.
Umeona eeh.Scooter pia
Ulaya kinachowazuia ni kulinda maslahi ya viwanda vilivyopo, wanavi phaseout kidogo kidogo.Sema hata Ulaya bado wanatumia gari za mafuta bado hizo za umeme performance yake ipo chini hasa zile za kubeba mizigo mizito (heavy- duty) eg trucks
akikujibu nitag nijue..Huko be forward hawanunui Kwa mtu? Au ulidhan be forward Wana viwanda vya magari?
Unachokisema sikielewi ila najua wao wananua kwenye kampuni za kijapani ambazo sio kama hizo za kibongo za kibabaishaji na hakuna kitu wanachakachua nikitu nakijua na nimefanya sana wale sio wababaishaji kama nyie wabongoHuko be forward hawanunui Kwa mtu? Au ulidhan be forward Wana viwanda vya magari?
Upo sahihi chief ..premio inakuoffer vingi zaidiChukua chuma hizi Allex, Runx, Corolla x, premio, allion, spacio au IST kaa ndani ya mojawapo ya hizi chuma huto juta ikikupendeza zaidi daka rumion.
Yap. Nimeona Madrid hata Amsterdam wanatumia mabasi ya Umeme Mjini. tram/metro piaUlaya kinachowazuia ni kulinda maslahi ya viwanda vilivyopo, wanavi phaseout kidogo kidogo.
Muda mchache ujao utaona gari za umeme na za hydrogenation zimejaa.
Sasanhivi nchi nyibgi Ulaya hata mabasi ya mjini yameanza kuwa ya umeme.
Nawashangaa mwendokasi hapa kwetu kung'ang'ania teknoloji za kizamani.
Je akichukua Toyota Volt vip mana ina Space kubwa sana naiman ataenjoy maana ina buti la kutosha na sura yake siyo mbaya hata consumption yake ni nzuri pia hata akitaka kuuza anapata mteja. ni gari ipo Unique siyo yebo yebo sana kama hizo ulizozitaja hapoChukua chuma hizi Allex, Runx, Corolla x, premio, allion, spacio au IST kaa ndani ya mojawapo ya hizi chuma huto juta ikikupendeza zaidi daka rumion.
Kwahiyo wewe unaendesha gari la kubeba mizigo mizito mjiniSema hata Ulaya bado wanatumia gari za mafuta bado hizo za umeme performance yake ipo chini hasa zile za kubeba mizigo mizito (heavy- duty) eg trucks
YA pia ipo juu kidogoJe akichukua Toyota Volt vip mana ina Space kubwa sana naiman ataenjoy maana ina buti la kutosha na sura yake siyo mbaya hata consumption yake ni nzuri pia hata akitaka kuuza anapata mteja. ni gari ipo Unique siyo yebo yebo sana kama hizo ulizozitaja hapo
sisi watu wa shamba chifu. Sasa nyie mnaoshinda Saloon hamuwezi kujua mambo ya shamba.Kwahiyo wewe unaendesha gari la kubeba mizigo mizito mjini