Wish ground clearance Ni MajangaMimi nimetumia subaru impreza, allex na wish pia nimeendesha. Toyota Allex na impreza zote zina cc 1490 japo impreza inakula sana mafuta kulinganisha na hii ya Toyota Allex. Kwenye stability impreza inaizidi kidogo allex japo changamoto yake ipo chini sana hii gari. Allex pia ipo stable sana. Nadhani kwa gari ndogo za Toyota Allex ndo gari iliyo stable halafu nzito compared na na akina ist, vitz porte n.k. Allex zinakimbia sana mkuu. Kwa upande wa wish hii yenyew nadhani nyingi ni cc 1790, ni family car maana inabeba watu saba hadi nane na yenyew pia ipo stable
kwa hiyo unanishauri nini mkuuWish ground clearance Ni Majanga
Bora kununua Boxer, SANLG au FekonK
kwa hiyo unanishauri nini mkuu
Huko be forward hawanunui Kwa mtu? Au ulidhan be forward Wana viwanda vya magari?Nunua Alex maana zipo vizuri sana hata ulaji wake wa mafuta upo vizuri na spea zake zinapatikana kirahisi ila ushaurii usinunua kwa mtuu agiza Be forward Japan usinunue kwa mtuu
Wachana na mitumba.Wanajamvi Salaam.
Nahitaji kununua gari kwa mara ya kwanza, naomba kufahamu kati ya Toyota Allex, wish na subaru impreza ipi ni gari bora na kwasababu zipi.
Natanguliza shukrani za dhati kwa majibu yenu mazuri.
Tatizo kodiWachana na mitumba.
Nunuwa gari brand new za umeme za kichina. Bei poa tu.
Unalitunza kwa miaka michache ijayo unanunua lingine, zitakuwa zimeshatoka new model.
Watanzania tunajitia nuksi kwa mitumba, magari mitumba, mabehewa mitumba, nguo mitumba, nguo za ndani mitumba, mapaziw mitumba, ma friji mitunba, tv mitunba, vijiko, sahani, nadufutia mitumba.
Ndiyi maana mpaka waume na wake mitumba.
Hakafubtunajiuliza. Kwanini hatuendelei, minuksi yote hiyo, tuendelee nini?
Ukitaka kuendelea wachana na mitumba.
Gari za umeme kodi chini, nchi zingine hazina kabisa kodi, sifahamu kwa Tanzania, waulize TRA.Tatizo kodi
Utachajia wapi? Kuna mifumo ya kuchajia hizo gari Kwa bongo?Gari za umeme kodi chini, nchi zingine hazina kabisa kodi, sifahamu kwa Tanzania, waulize TRA.