karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,800
- 3,221
Kila mbolea inaunguza ndio maana kwa mbolea za vinyesi huwa tunashauri /tunashauriwa kuweka wiki 2 hadi 3 shambani kwanza na uivuruge vzur na udongo kabla hujapandaNamie nimeambiwa pia hii ya popo, kwamba inastawisha vizuri sana...ila ya kuku inaunguza mazao.
Kinachofanya mmea uungue ni zile reaction zinazofanywa na wadudu kwenye mbolea huzalisha joto ambalo ndio huunguza mmea
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app