nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 363
Haaaa haaaa, Tahadhari nzuri kabisa.Unatafuta Ban kwa mods shauri zako.
Haaaa haaaa, Tahadhari nzuri kabisa.Unatafuta Ban kwa mods shauri zako.
Nimecheka sana tisho na Maguire kuondoka Man Utd ni kijana fulani wa hovyo mno.Nimesoma comments za waja kuhusu Maguire kutishia kuondoka Man U baada ya ile assist yake, nikakumbuka namna Insider naye alivyopata kiburi baada ya kumla Iryn 🤣 🤣 watu sijui mliwaza nini kumbatiza jina jamaa
😂😂Maisha bila unafiki hayaendi.......Iryn anasema “kilichotokea kati yetu ni ajali tu mana mama j ni rafiki yangu” at the same time anamwonea wivu bwana insider kukaa na demu bar
Kweli wanawake hatujui tunataka nn na kuna muda tuna kaunafki sana eniweiii tuwe makini na hawa watu wanaosema ni marafiki zetu
BADO UPO MBALI, ENDELEA KUSOMA MAJIBU YAPO KTK EPISODE ZA MBELEKwahio huyo mjane ulimtapeli gari lake? INSIDER MAN
Alafu kabla stori haijaisha kuna kipengele naomba nikukumbushe ulituahidi utatuweka wazi kuhusu mzeeee Pama mpaka akawa na trust ZAIDI kwako......Nitafungua Code. 70 itakuwa mwisho
Upo bosi? Nikajua ulikufaga na Magufuli ukaja ukazikwa na Makonda. Umeadimika ajuza?
Haya mkuu. Kuwa na jioni njema.Hayo yote yanakuhusu wewe na yawe kivyako. Umebadili ID 😂😂😂 sikushangai ajuza wewe.. maana futi sita yenu inajifunika kila mara
Ungesoma Kila post ajuza ungenisoma.. nipo kama kawa
Kazi iendeleee..
Kwakua alikuwa anavaa Pama, basi ukajiongeza ni yeye,ila yule hakufia nje hata kama ni yeye hawezi kusema 😂Code nyingi tushazifungua wenyewe kwa Mfano Kwa Utafiti Wangu Mzee Pama Alizikwa Iringa Na Sio Tabora Na Alikua Mzee Mmoja White Hivi Suriama wa kijerumani INSIDER MAN@INSIDER MAN prove me wrong
Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
Leo bado hatujaona 66 hapaHivi ameshaweka leo au ndio mpaka jumapili?
Tumpe mudaLeo bado hatujaona 66 hapa
kwa upande mwingine niko nasubiria next episode kwa hamu sana.Kwa upande mwingine niliishia kusoma story na kwa upande wangu nikaona bora nicomment na nikaishia kufurahi tuu. Kwa upande mwingine wadau wanaishia kuifurahia story nasubiri kuona kwa upande wa wanaosema hii ni chai wanaendeleaje.
Thread ikiwekwa humu siyo mali yake tena ni mali ya uma, otherwise angeweka chumbani kwake. Halafu ficha aibu zako, don't drag me to your level.Sio mali yake sasa unafanya nini kwenye thread yake? Au unataka kutongozwa? alishawai kukutag hapa si ulijeta mwenyewe?. Unakuta mwanaume mzima ba ndevu unalilia Epsode
Andika na wewe yako tuisome sio kumpangia mtu afanye unavyotaka wewe, akili zako hazina utofauti na SumaiyaThread ikiwekwa humu siyo mali yake tena ni mali ya uma, otherwise angeweka chumbani kwake. Halafu ficha aibu zako, don't drag me to your level.
RubbishBabe Iryn anataka Tena kuikalia kwa juu.
Anyway mkule tu na sisi huku tutakuula stori na nyetoo.