Unafanya kazi nzuri, nimeona Tanga katika kesi mbili ulizozimaliza. Kesi ya Tahameed moja kwa moja kuna collusion ya watendaji wa idara ya ardhi.
Wanarekodi zote, haiwezekani Tahameed akajua kuwa kiwanja fulani hakina mtu. Ni kuwa wanacollude na idara ya ardhi na kufanya uhalifu huo.
1. Wanaingia eneo la mtu kwa kutumia vishoka wanapima, na kuchora ramani za mipango miji, (vishoka hawawezi kuchora ramani zikawa part ya mipango miji), it means wanashirikiana na idara ya ardhi.
Wanapima wanapata viwanja, wanauza kupitia vishoka. Ukienda unakuta eneo lako limepangiwa matumizi bila wewe kuhusika/kushirikishwa.
Leo upo Wizara ya ardhi, kesho ukiondoka inakuwaje? jenga misingi ya kudumu kumaliza migogoro hii.
Wanarekodi zote, haiwezekani Tahameed akajua kuwa kiwanja fulani hakina mtu. Ni kuwa wanacollude na idara ya ardhi na kufanya uhalifu huo.
1. Wanaingia eneo la mtu kwa kutumia vishoka wanapima, na kuchora ramani za mipango miji, (vishoka hawawezi kuchora ramani zikawa part ya mipango miji), it means wanashirikiana na idara ya ardhi.
Wanapima wanapata viwanja, wanauza kupitia vishoka. Ukienda unakuta eneo lako limepangiwa matumizi bila wewe kuhusika/kushirikishwa.
Leo upo Wizara ya ardhi, kesho ukiondoka inakuwaje? jenga misingi ya kudumu kumaliza migogoro hii.