zinginary
JF-Expert Member
- Dec 18, 2015
- 2,467
- 1,687
AhaahahahNahisi ukifa SAA 1 hapa kwa SAA ya kifo huwa imepagwa hivyo ukirudishwa rwanda utaishi SAA moja ndio ufe tena
AhaahahahNahisi ukifa SAA 1 hapa kwa SAA ya kifo huwa imepagwa hivyo ukirudishwa rwanda utaishi SAA moja ndio ufe tena
Hahahaha mkuu umetishawakuu asalaamu?
watu wengi hapa jf walishawahi kutoa michango yao kuhusu kurudi nyuma ya wakati yaani "back in time"
na mimi kwa mawazo yangu nahisi kama inawezekana!
mfano, nchi ya Rwanda iko nyuma ya Tanzania kwa saa moja , ikiwa Rwanda ni saa 12 asubuhi, basi Tanzania ni saa moja .
je ukifa Tanzania tarehe 1 january huwezi kuzikwa Rwanda tarehe 31 disemba.
wajuvi wa mambo nipeni ufafanuzi. !!