Je unaweza kufa 2016 na kuzikwa 2015?

wakuu asalaamu?

watu wengi hapa jf walishawahi kutoa michango yao kuhusu kurudi nyuma ya wakati yaani "back in time"
na mimi kwa mawazo yangu nahisi kama inawezekana!

mfano, nchi ya Rwanda iko nyuma ya Tanzania kwa saa moja , ikiwa Rwanda ni saa 12 asubuhi, basi Tanzania ni saa moja .

je ukifa Tanzania tarehe 1 january huwezi kuzikwa Rwanda tarehe 31 disemba.

wajuvi wa mambo nipeni ufafanuzi. !!
Hahahaha mkuu umetisha
 
Back
Top Bottom