Je unaweza kufa 2016 na kuzikwa 2015?

Hiyo theory imeleta mjadala sana duniani, ipo somehow nonsense! Fikiria kuwa Hilter alikufa zamani sana, ukirudisha time ili umuue inakuwa ngumu sana, kwa sababu itafika mahali wewe unakuwa bado hujazaliwa, ukirudisha nyuma zaidi wazazi wako wanakuwa hawajaoana. Hivyo kama utaendelea kurudisha nyuma zaidi itafika mahali wazazi wako wanakuwa bado hawajazaliwa na hivyo kuongeza ugumu wa uwepo wako. Wakati huo Hilter ndo anazaliwa
Hapa umeua yote mkuu
cc Kiranga
 
peole are trying to put a difference of 1hr or 30 mins... ni approximation tu, but in reality.. every 15degree ni 1 hour difference and every 1 degree ni sawa na 4mins...1 degree ni sawa na umbali wa km 111 hivi... sasa imagine kwa gari km 111 ni sawa na mwendo wa 1hr to 1.30hr... je hizi dk nne.. unawezaje kuzitumia kucover such a distance... practically impossible. Concept iliyopo ni kwamba kama unataka kwenda back in time basi u need to go very fast than the speed of light because... sekunde unayoichukulia kiwepesi kwa mwanga unakwenda 300,000km. Ili uwe nje ya muda u have go beyond that distance in a second. Unaona jinsi gani ilivyokuwa ngumu according to einsten kama utazunguka mti kwa speed hiyo basi utajikuta unajipiga miti mwenyewe.
 
Time is there because of our solar system.....
the question is what would happen if there was no solar system???..
 
wakuu asalaamu?

watu wengi hapa jf walishawahi kutoa michango yao kuhusu kurudi nyuma ya wakati yaani "back in time"
na mimi kwa mawazo yangu nahisi kama inawezekana!

mfano, nchi ya Rwanda iko nyuma ya Tanzania kwa saa moja , ikiwa Rwanda ni saa 12 asubuhi, basi Tanzania ni saa moja .

je ukifa Tanzania tarehe 1 january huwezi kuzikwa Rwanda tarehe 31 disemba.

wajuvi wa mambo nipeni ufafanuzi. !!
Rwanda hatutofautiani masaa, labda ufe ukiwa nchi za asia kama china au singapore then wakukimbize na jet waje wakuzike hapa, au ufie hapa wakukimbize na supersonic jet wakakuzike marekani ina maana utazikwa siku moja nyuma
 
peole are trying to put a difference of 1hr or 30 mins... ni approximation tu, but in reality.. every 15degree ni 1 hour difference and every 1 degree ni sawa na 4mins...1 degree ni sawa na umbali wa km 111 hivi... sasa imagine kwa gari km 111 ni sawa na mwendo wa 1hr to 1.30hr... je hizi dk nne.. unawezaje kuzitumia kucover such a distance... practically impossible. Concept iliyopo ni kwamba kama unataka kwenda back in time basi u need to go very fast than the speed of light because... sekunde unayoichukulia kiwepesi kwa mwanga unakwenda 300,000km. Ili uwe nje ya muda u have go beyond that distance in a second. Unaona jinsi gani ilivyokuwa ngumu according to einsten kama utazunguka mti kwa speed hiyo basi utajikuta unajipiga miti mwenyewe.
Zamani china ilikuwa intofautiana muda sehemu hadi sehemu, wakaamua ssehemu zote ziwe na muda sawa na Beijing maana CHina ni nchi ambayo ina time zones zote
 
wakuu asalaamu?

watu wengi hapa jf walishawahi kutoa michango yao kuhusu kurudi nyuma ya wakati yaani "back in time"
na mimi kwa mawazo yangu nahisi kama inawezekana!

mfano, nchi ya Rwanda iko nyuma ya Tanzania kwa saa moja , ikiwa Rwanda ni saa 12 asubuhi, basi Tanzania ni saa moja .

je ukifa Tanzania tarehe 1 january huwezi kuzikwa Rwanda tarehe 31 disemba.

wajuvi wa mambo nipeni ufafanuzi. !!
Bro ukiwa na uwezo mdogo wa kufikiri usijilazimishe kuzifaham fikra za daraja lisilo lako...fikra hii ya Albert ni ya ulimwengu tofauti na huu tulionao.na sio kwamba ni wakusadikika...la hashaa ulimwengu huo upo na niwadaraja la juu kabisa la Imani...katika kuamini Visivyoaminika... Kwa hio ndio kusema kwamba kiwango chako huru cha fikra kikiwa cha chini ...Abadani hutoweza kumuelewa Albert.
Kuna vitu viwili watu tulio wengi tunavichanganya.vitu hivyo ni matumizi ya muda na Wakati.
Siku ni kiumbe ambacho umri waka wa kuishi na (muda....24hrs).
Ndani ya muda huo 24hrs ndio kunapatikana (wakati),na wakati (nyakati) hizo zipo 5, na ndani ya nyakati hizo ndimo kunapatikana njia za kutembea katika muda. Kiufupi jambo hili la kutembea katika muda ni mahususi kwa kwa watu wenye "Viini huru vya Akili",.
Usilazimishe kujifikirisha kama wewe si mlengwa wa .Jambo hili...utaishia kutoelewa na kupinga kwa hoja dhaifu.
 
Ngumu kumeza......inamaana kwamba nizaliwe kesho lakin tayar leo nipo means kwamba nizaliwe 2016 lkn 2015 tayar yaan ule mda wa kutok tumbon bado haujafika alafu mm tayari npo dunian??? Wakuu nisaidien hapo...nashindwa ata kunyoosha maelezo ya swali langu maan ubungo unaukakasi moja haikai mbili haiingii tatu inazima...natumai japo kwa maelez hayo nimeelewek japo kwa taabu. Nitaandaa swal lang vzr kpnd kijacho ila kwa sasa nawakilisha
 
kila mwaka kuna watu wanasherehekea mwaka mpya mara 2, yaani wakiwa japan wanasherekea kuingia mwaka mpya then wanaenda zao USA kusherehekea mwaka mpya tena.
Google tofauti ya masaa ya Japan na USA then umbali wake, uone inakuwaje
 
Inawezekana lakini si kwa maana halisi ya ulichoandika kwakuwa tofauti ya muda duniani haiweZi kuzidi saa 72 lakini pia kwa tafsiri ya ulimwengu roho hakuna kitu kama hicho
Kwenye ulimwengu wa kiroho tunakufa masaa si chini ya 12 kabla kifo kamili kutokea
-mgonjwa aliye mahututi anapata nafuu ghafla na kula vizuri tuu huyo hamalizi 12 alishakufa
-mtu anasita kwa mfano kusafiri lakini anazalizimisha, ndani ya masaa 12 anapata ajali na kufa
-mtoto mke jamaa au rafiki anakuzuia kufanya jambo fulani hasa safari kwa vilio(mtoto)au maneno kwa watu wazima lakini unalazimisha...kama umeshakufa hutakubali ushauri wao na kifo halisi kitatokea ndani ya masaa 12
Mshana,Katika Multi dimensional universe,Wakati ni kama mlima fulani so mtu unaweza kutoka hapa ukapanda mlima wa future ukarudi ukapanda wa present na kuendelea.Yaani ni aina fulani ya science ambayo ipo ila bado tu haijaelewe.
 
Hiyo siyo "definition" sahihi ya jana. "Jana" ni siku iliyotangulia ("preceding") "leo".

Kama kuna mtu aliyekufa saa 4 usiku wa Jumatatu na nikakutana nawe saa 1 asubuhi Jumanne hutasema kafa jana? Masaa yaliyopita siyo 24, ni 9 tu.

Umenifanya nifikiri zaidi! Haswa mfumo wa masaa ya jela!
 
Angekuwa na speed ya mwanga, kwake kusingekuwa na future, time inge freeze, past, present na future yote ingekuwa kitu kimoja.

Akipita speed ya mwanga angeweza kujiona alivyokuwa zamani kutoka future, kwa sababu angeweza kufika future kabla mwanga wake haujafika, halafu akakaa na kuuangalia mwanga wake kutoka future.

Ni kama Usain Bolt akiweza kukimbia Zaidi ya spidi ya mwanga aweze kufika kwenye finish line kabla mwanga wake haujafika kwenye finish line, halafu akifika kwenye finish line, kwa sababu kashafika kwenye finish line kabla mwanga wake haujafika kwenye finish line, aweze kugeuka na kujiangalia jinsi alivyokuwa anakimbia kufika kwenye finish line.

Inafikirisha!!

What is Mwanga??(I know it’s Light) but really what is it?

Seems like it’s the magnificent of all reality?!!

Sijawahi kumsoma Tesla kiundani hata Einstein.
 
Kuna concept ya time space travelling, ambayo ukisafiri kwa spidi kubwa kwenye space una-slowdown time. Hivyo siku moja in space inaweza kuwa miaka 20 dunian.

Ni complex idea, ila elewa hivyo. Watu wataenda kwenye solar systems za mbali kwa kutumia siku chache tu, lakini ni mamia ya miaka dunian. Watashangaa watakaporudi wanakuwa nyuma kwa miaka kibao na kila kitu kimebadilika sana.

Nao wanakuwa wanaishi past in present, maana wataonekana vijana wa miaka 20 kumbe wana miaka 600
Mate filam za hollwood zinakupeleka mbali na ukweli. Hii dunia ina watu na viumbe wengine ambao tunaishi pamoja lkn mazingira tofauti..wakati mwingine maisha ya viumbe wengine yanaposimuliwa kwetu wanaadam hutustajabisha mnoo..na kutufikirisha kwa kiwango ambacho tunakosa majibu na kubaki kukanusha au kutoamini story hio.Muumba wa ulimwengu huu ameuumba.mfano wa series tofauti.tofauti.kuna baadhi tunauta "Kaumu" na wengine wanita "Zama",Na kimsingi kila kitu kilichopo katika uumbaji huu kipo na kimehifadhiwa na hakijacha hata chembe ya virus katika kuhifadhiwa kwake.hii ndio kusema mtu wa kwanza ambae ni Adam mpaka mtu wa mwisho ambae jina lake bado ni fumbo...Waliumbwa siku moja na mambo yao na matendo yao yalikamilishwa siku moja na kuhifadhiwa.Kimsingi chapta za series hii zenyewe zipo na zinaendelea kuplay tofaut na hizi zetu umeme ukikatika inastop. Na kwanini tunasema mtu anaweza kwenda past au future ni kwa ya hicho nilichokieleza hapo juu.kuna wateule ambao maisha yao yameishapangwa kuingia kwenye njia (hole) za kwenda past au future.Kwa hio unapokua umeingia kwenye njia hio..ukakuta sehemu hio ipo kaumu luttu.basi utaishi maisha ya kaumu luttu mpaka utakapotoka na kurudi kwenye sehemu yako ya asili.kimsingi maisha kwako yatakua yameganda hutozeeka wala kurudi utoto bali utakua kama ulivyoingia ..ila kule ulikotoka Miaka itakua imeenda mbele mnoo kwa sababu ulirudi past..na kama ungekua njia ulioingilia ni ya future miaka ungeona imerudi nyuma kupindukia..na jambo hili si kwamba linatokea bahati mbaya..ila ni kadari za mwenye Nguvu.Ambae Atakalo Hua.
 
Mate filam za hollwood zinakupeleka mbali na ukweli. Hii dunia ina watu na viumbe wengine ambao tunaishi pamoja lkn mazingira tofauti..wakati mwingine maisha ya viumbe wengine yanaposimuliwa kwetu wanaadam hutustajabisha mnoo..na kutufikirisha kwa kiwango ambacho tunakosa majibu na kubaki kukanusha au kutoamini story hio.Muumba wa ulimwengu huu ameuumba.mfano wa series tofauti.tofauti.kuna baadhi tunauta "Kaumu" na wengine wanita "Zama",Na kimsingi kila kitu kilichopo katika uumbaji huu kipo na kimehifadhiwa na hakijacha hata chembe ya virus katika kuhifadhiwa kwake.hii ndio kusema mtu wa kwanza ambae ni Adam mpaka mtu wa mwisho ambae jina lake bado ni fumbo...Waliumbwa siku moja na mambo yao na matendo yao yalikamilishwa siku moja na kuhifadhiwa.Kimsingi chapta za series hii zenyewe zipo na zinaendelea kuplay tofaut na hizi zetu umeme ukikatika inastop. Na kwanini tunasema mtu anaweza kwenda past au future ni kwa ya hicho nilichokieleza hapo juu.kuna wateule ambao maisha yao yameishapangwa kuingia kwenye njia (hole) za kwenda past au future.Kwa hio unapokua umeingia kwenye njia hio..ukakuta sehemu hio ipo kaumu luttu.basi utaishi maisha ya kaumu luttu mpaka utakapotoka na kurudi kwenye sehemu yako ya asili.kimsingi maisha kwako yatakua yameganda hutozeeka wala kurudi utoto bali utakua kama ulivyoingia ..ila kule ulikotoka Miaka itakua imeenda mbele mnoo kwa sababu ulirudi past..na kama ungekua njia ulioingilia ni ya future miaka ungeona imerudi nyuma kupindukia..na jambo hili si kwamba linatokea bahati mbaya..ila ni kadari za mwenye Nguvu.Ambae Atakalo Hua.

Mate! Asante kwa mchango wako japo ume-mix vitu vitatu, (science, fiction, na imani). Nitaisoma tena ili nikuelewe vizuri hasa kwenye kuganda kwa maisha! Sijaelewa kama maisha ndo yanaganda, au ukuaji wa mwili ndo unaganda (kutokuzeeka), au muda ndo unaganda.
 
wakuu asalaamu?

watu wengi hapa jf walishawahi kutoa michango yao kuhusu kurudi nyuma ya wakati yaani "back in time"
na mimi kwa mawazo yangu nahisi kama inawezekana!

mfano, nchi ya Rwanda iko nyuma ya Tanzania kwa saa moja , ikiwa Rwanda ni saa 12 asubuhi, basi Tanzania ni saa moja .

je ukifa Tanzania tarehe 1 january huwezi kuzikwa Rwanda tarehe 31 disemba.

wajuvi wa mambo nipeni ufafanuzi. !!

Yani rwanda iwe sa 12 huku iwe sa moja😁😁 kwamba rwanda wanawahi ona jua kabla yetu🤔 umesoma geography kweli
 
Inaweza kuwa ndani ya solar system yetu, lakini zaidi kwenye deep space. Ukiwa kwenye chombo kinachosafiri kwa kasi sana (karibia ile ya mwanga), then una-slow down time. Hii ina maana kwamba wewe umri wako utasogea taratibu sana kuliko mtu uliyezaliwa nae siku moja ambaye umemuacha duniani. (Approaching the speed of light, a person inside a spaceship would age MUCH slower than his twin at home/duniani). Habari ya kuzaliwa sayari nyingine haina uhusiano na hii theory.

Maana yake ni kwamba, ukiwa kwenye hicho chombo, siku moja ndani ya hicho chombo inaweza kuwa sawa na miaka kadhaa duniani. Hivyo utakaporudi duniani baada ya siku chache unaweza kuta wadogo zako ni wazee sana wakati wewe bado kijana mbichi (hehehe).

NB// Hii ni complex theory ya watu wenye akili zilizopitiliza, kwa mbali sana wanasayansi wameanza kuona ukweli wa hii kitu

Kwan hadi u age ni lazima uone mwanga na giza ndo uone siku imeongezeka?? Hayo ni maneno au mawazo yenu ...ukiacha pacha wako huku ukirudi mnalingana full stop
 
utazeeka slow sana, ishu ni kwamba muda utaenda pole pole, wakati wewe umeongeza mwaka mmoja, nduguyo ataongezeka miaka 100, hivyo lazima yeye ataonekana mzee sana kwako. Kwa kifupi wewe utakuwa na umri mdogo japo mmezaliwa siku moja ;););)

Another confussion :mad::mad::mad::mad:
Uliwahi ku prove ulichoandika? Inamaana kukua kwa mtu ni hadi had anaona usiku na mchana😁 think twice enyi watu unataka sema huko kwenye sipesi sijui akienda mtoto mchanga au wa mwaka mmoja lile umbo analokuwa nalo , kisha pacha wake au mwenzake wa same age abaki duniani yule wa sipesi huko atabaki vile vile ilihali mwenzake kaongeza 20yrs? Kabisa inakuingia akilini hiyo😴😴
 
Back
Top Bottom