Je unaweza kufa 2016 na kuzikwa 2015?

Angekuwa na speed ya mwanga, kwake kusingekuwa na future, time inge freeze, past, present na future yote ingekuwa kitu kimoja.

Akipita speed ya mwanga angeweza kujiona alivyokuwa zamani kutoka future, kwa sababu angeweza kufika future kabla mwanga wake haujafika, halafu akakaa na kuuangalia mwanga wake kutoka future.

Ni kama Usain Bolt akiweza kukimbia Zaidi ya spidi ya mwanga aweze kufika kwenye finish line kabla mwanga wake haujafika kwenye finish line, halafu akifika kwenye finish line, kwa sababu kashafika kwenye finish line kabla mwanga wake haujafika kwenye finish line, aweze kugeuka na kujiangalia jinsi alivyokuwa anakimbia kufika kwenye finish line.
sasa mkiu muda ni nini ni matendo tunayotenda ni dunia inavyojizungusha na kuzunguka jua au ni kitu gani
 
sasa mkiu muda ni nini ni matendo tunayotenda ni dunia inavyojizungusha na kuzunguka jua au ni kitu gani
Muda ni mauzauza yanatotokana na mwendo wa vitu tofauti, muda si kitu halisi kilichopo nje ya mauzauza haya.

Ukisimamisha kila kitu, kutakuwa hakuna muda.

Ukiweza kwenda kwa speed ya mwanga utaweza kuusimamisha muda.

Lakini, kitu chochote chenye uzito, hata mdogo vipi, hakiwezi kufikisha speed ya mwanga.
 
Muda ni mauzauza yanatotokana na mwendo wa vitu tofauti, muda si kitu halisi kilichopo nje ya mauzauza haya.

Ukisimamisha kila kitu, kutakuwa hakuna muda.

Ukiweza kwenda kwa speed ya mwanga utaweza kuusimamisha muda.

Lakini, kitu chochote chenye uzito, hata mdogo vipi, hakiwezi kufikisha speed ya mwanga.
mkuu kiranga vipi kuhusu umeme speed.yake haiwezi kukaribia mwanga sababu tunaona mtu anaweza kuwasha switch akiwa labda ubungo na sekunde hiyohiyo aliyepo kibaha akapigwa shoti
 
Mtoa mada iyo inawezekana ila kama unataka fanya hivi;
Sasa ni saa 16h11 - Tanzania
ni saa 23h11 - Sydney Australia = 7hrs behind
na ni saa 09h11 - New york Marekani = 7hrs ahead


nenda kafie Australia uwaambie wakuzikie Marekani.
Hahahaha
 
Mtoa mada iyo inawezekana ila kama unataka fanya hivi;
Sasa ni saa 16h11 - Tanzania
ni saa 23h11 - Sydney Australia = 7hrs behind
na ni saa 09h11 - New york Marekani = 7hrs ahead


nenda kafie Australia uwaambie wakuzikie Marekani.
Ah ah ah ah ah daah
 
Inaweza kuwa ndani ya solar system yetu, lakini zaidi kwenye deep space. Ukiwa kwenye chombo kinachosafiri kwa kasi sana (karibia ile ya mwanga), then una-slow down time. Hii ina maana kwamba wewe umri wako utasogea taratibu sana kuliko mtu uliyezaliwa nae siku moja ambaye umemuacha duniani. (Approaching the speed of light, a person inside a spaceship would age MUCH slower than his twin at home/duniani). Habari ya kuzaliwa sayari nyingine haina uhusiano na hii theory.

Maana yake ni kwamba, ukiwa kwenye hicho chombo, siku moja ndani ya hicho chombo inaweza kuwa sawa na miaka kadhaa duniani. Hivyo utakaporudi duniani baada ya siku chache unaweza kuta wadogo zako ni wazee sana wakati wewe bado kijana mbichi (hehehe).

NB// Hii ni complex theory ya watu wenye akili zilizopitiliza, kwa mbali sana wanasayansi wameanza kuona ukweli wa hii kitu
Hii kitu nataman.niilewe lkn bado

Hv kuna.ishawai.mtokea au.bado theoretically tuu

Hakika km Kipo chombo.cheny space na.speed hiyo,...watu wa dini zao utimamu utarudi
 
utazeeka slow sana, ishu ni kwamba muda utaenda pole pole, wakati wewe umeongeza mwaka mmoja, nduguyo ataongezeka miaka 100, hivyo lazima yeye ataonekana mzee sana kwako. Kwa kifupi wewe utakuwa na umri mdogo japo mmezaliwa siku moja ;););)

Another confussion :mad::mad::mad::mad:
Hv sio kwamba ndan.ya.hiyo space unazeeka.kwa muda mfupi wkt dunia unazeeka muda mrefu...yaan sijui hata nielezeja hapo


But anyway nitaja kukubaliana.na.hilo.jambo.mpk.nishuhudia kwa.macho yangu
 
Kuna concept ya time space travelling, ambayo ukisafiri kwa spidi kubwa kwenye space una-slowdown time. Hivyo siku moja in space inaweza kuwa miaka 20 dunian.

Ni complex idea, ila elewa hivyo. Watu wataenda kwenye solar systems za mbali kwa kutumia siku chache tu, lakini ni mamia ya miaka dunian. Watashangaa watakaporudi wanakuwa nyuma kwa miaka kibao na kila kitu kimebadilika sana.

Nao wanakuwa wanaishi past in present, maana wataonekana vijana wa miaka 20 kumbe wana miaka 600
Unanikimbusha series ya lost, ile movie ilikua ngumu sana kuilewa niliangalia kama mara tatu tena kwa msaada wa internet ndio nikaielewa, kuna watu waliokua kwenye future na wengine present aisee
 
kweli complex ! hata sijaelewa .

kwa maelezo hayo yawezekana hata Ibrahimu (biblical figure ) aliwahi kwenda space. kiding.
Hiyo itatokea kama utasafiri kwa speed ya mwanga,ukiweza kusafiri kwa speed ya mwanga time ina slow down au almost ina stop kabisa
 
Muda hauwezi kurudi nyuma..kwani kunahitajika infinite energy
Kufanya hivyo.
Ni sawa sawa na maji yatiririke kutoka bondeni kwenda mlimani.
Ukisafiri zaidi ya speed ya light time inarudi nyuma, unaweza ukaenda kumuua Hitler akiwa kichanga ili asilete ujinga wake
 
Inawezekana kutegemea na umbali wa maeneo husika. Kuna mfanyabiashara mmoja alielezea kwamba alitoka Marekani kukiwa tayari ni mwaka mpya yaani tarehe 1 akasafiri kwa ndege kwenda nchi nyingine na akafika kule tarehe 31 Disemba.
 
Hv sio kwamba ndan.ya.hiyo space unazeeka.kwa muda mfupi wkt dunia unazeeka muda mrefu...yaan sijui hata nielezeja hapo

But anyway nitaja kukubaliana.na.hilo.jambo.mpk.nishuhudia kwa.macho yangu

Najua kinachokupa shida, bahati mbaya hata mimi nashindwa kutoa maelezo
 
Ukisafiri zaidi ya speed ya light time inarudi nyuma, unaweza ukaenda kumuua Hitler akiwa kichanga ili asilete ujinga wake

Hiyo theory imeleta mjadala sana duniani, ipo somehow nonsense! Fikiria kuwa Hilter alikufa zamani sana, ukirudisha time ili umuue inakuwa ngumu sana, kwa sababu itafika mahali wewe unakuwa bado hujazaliwa, ukirudisha nyuma zaidi wazazi wako wanakuwa hawajaoana. Hivyo kama utaendelea kurudisha nyuma zaidi itafika mahali wazazi wako wanakuwa bado hawajazaliwa na hivyo kuongeza ugumu wa uwepo wako. Wakati huo Hilter ndo anazaliwa
 
Muda ni mauzauza yanatotokana na mwendo wa vitu tofauti, muda si kitu halisi kilichopo nje ya mauzauza haya.

Ukisimamisha kila kitu, kutakuwa hakuna muda.

Ukiweza kwenda kwa speed ya mwanga utaweza kuusimamisha muda.

Lakini, kitu chochote chenye uzito, hata mdogo vipi, hakiwezi kufikisha speed ya mwanga.
sasa mtu akienda sawa na speed ya mwanga mwili wake utakuaje yani matendo ya mwili kama vile kupumua heart beat nayo yatakua faster au yataenda kama kawaida
 
sasa mtu akienda sawa na speed ya mwanga mwili wake utakuaje yani matendo ya mwili kama vile kupumua heart beat nayo yatakua faster au yataenda kama kawaida
Haiwezekani kwa kitu chochote chenye uzito, hata ki neutron kimoja chenye uzito mdogo sana, kwenda kwa speed of light in a vacuum.

Kadiri kitu hicho kinavyosogelea speed of lich in a vacuum (c) ndivyo uzito wake unavyokaribia infinity na ukubwa wake unavyokaribia zero.

Utaona kwamba hakuna uwezekano wa chochote chenye uzito infinity na ukubwa zero kuwepo na kwenda kwa speed yoyote, achilia mbali kwenda kwa speed ya mwanga c.

Kwa hili, kuna watu wamesema kwamba speed of light in a vacuum ndiyo speed limit ya universe yetu, ingawa kuna speculations kwamba kuna particles nyingine ambazo zinaweza ku move at a speed that is only higher than that of light zinaitwa tachyons.

For more on the tachyon speculations see Tachyon - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Back
Top Bottom