Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 8,457
- 26,591
UmeniwahiHalafu risiti za kupokelea mizigo yeye alikuwa anazipataje?
Hata mm nimewaza delivery note anapatia wapi? Mzigo kama Tv unachukuliwa kizembe hvo
UmeniwahiHalafu risiti za kupokelea mizigo yeye alikuwa anazipataje?
Naijua hiyoNamba badilisha kuna siku utatamani vibe zake kitandani utamtafuta tu hasa ikiwa siku mmekojozana akafuta kwenye kitambaa ogopa
Hili nalo nenoRisiti zimo ndani ya box sawa, mzigo ukishatumwa huwa unajulishwa kwa njia gani?
Njia hizo zilikuwa zina leak vipi mpaka yeye ajue na kuwahi kupokea mzigo?
Hilo ndiyo swali la msingi ungeweza kunijibu.
Hakuna tofauti na kuagiza mtuUmeniwahi
Hata mm nimewaza delivery note anapatia wapi? Mzigo kama Tv unachukuliwa kizembe hvo
Broo umerudi hongera.Hongera Kwa kuli kwepa bomu linalo tembea 😆🤓
ana pen ball nzuri, sema Kuna mistake ziko wazi kazi fanya.Natamani ulete thread ingine..
Story telling yako iko very interesting
Pamoja sana kiroho safiBroo umerudi hongera.
Na hicho chumba kimoja umekijenga masaki mkuu?
Ila sio mbaya huyo njaa Kali ,but next time mkomeshe umeombe 0712..... Kama wew ni muumini but sometimes it's better to try a new things😁😁😁
Kunguru wa zanzibari🤣🤣🤣Wavulana mkishapewa nyabe, mnajuaga sana kujitetea kitoto....😜
Bado shida ipo kwako, anajuaje kwa mfano kama umenunua blender na imetumwa Kuja kwako.? Ilitakiwa vitu vingine unavituma kimya kimya avikute tu ghetto.Mizigo ikipokelewa ofisini huwa wanatoa taarifa kupitia namba ambazo zimeandikwa. Kutokana na mazoea ikitokea hali ya kubeba mizigo na kuichukulia kwake. Pitia maelezo hapo juu mkuu
Hahahaakachana na mwanamke anayependa hela ni sawa na kumaliza mkopo benki.
Hongera mkuu
Hili nalo nenoBado shida ipo kwako, anajuaje kwa mfano kama umenunua blender na imetumwa Kuja kwako.? Ilitakiwa vitu vingine unavituma kimya kimya avikute tu ghetto.