Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,690
- 21,270
We itakuwa hufanyi mazoezi na hujui nini maana ya Push up 100.Upo sawa, mazoezi ni muhimu ila usihitimishe, Hayo mazingira unaweza jifia tu na pushup zako 100 kila asubuhi, mchana na jioni.
Ni kwambie sasa mtu anayeweza kupiga Pushup 100 hawezi kushindwa kupita kwa ile kamba.
Uzuri wa maji ukishapata pakujishikiza tu maji yanakusapoti na kupunguza uzito.
Ndio maana unaona huyo dogo aliyepita kwenye ile kamba wala haijanesa nesa sana.
You just need an ancor