Hali ni Tete

Bonge ameshikwa na uoga 😆😆 mwanzo alipata ujasiri baada ya kuona mwenzake amefanikiwa kuvuka, sasa ngoja achelewe alafu hilo gari lianze kusukumwa na maji ndipo akili imkae sawa 😆😆
 
Yaan kama hapo unashindwaje kujiokoa.:hivi unakuwa mwanaume hata mazoez hufanyi?? Yaan utasikia lori limeua mmoja na mmoja amepona ndio hii sasa...wanawake ni wavumilivu sana...
 
Yaan kama hapo unashindwaje kujiokoa.:hivi unakuwa mwanaume hata mazoez hufanyi?? Yaan utasikia lori limeua mmoja na mmoja amepona ndio hii sasa...wanawake ni wavumilivu sana...
Upo sawa, mazoezi ni muhimu ila usihitimishe, Hayo mazingira unaweza jifia tu na pushup zako 100 kila asubuhi, mchana na jioni.
 
Back
Top Bottom