Nami Nimewaza hivyo.Hilo lorry limeingiaje kwanza kwenye huo mto au walikuwa wanachimba mchanga
Wanaume tumeumbwa matesoHuyo jamaa wa mwisho kila akitaka kwenda nafsi inamsuta, anaona kabisa umauti huu hapa
mwamba katisha apo mimi nisingetoboa huaga na kizunguzungu sana kwenye maji yanayotembea
Mi ata nisingejitesamwamba katisha apo mimi nisingetoboa huaga na kizunguzungu sana kwenye maji yanayotembea
Sio kunenepa hata uwe mwambamba vipi kama huna mazoezi ya ukakamavu na hatari hatari hapo huchomoki.Hasara za kunenepa ndo huonekana kwenye mazingira kama haya.
Supu zote zile lakini hazijasaidia kabisa, nimesikia sauti hapo "eti hawezi", aisee usiombe yakukutei
Ukiwa mnene ni tatizo zaidi. Ni mara chache mno uwe mnene na uwe na mazoezi. Mara nyingi watu wanene hawana mazoezi.Sio kunenepa hata uwe mwambamba vipi kama huna mazoezi ya ukakamavu na hatari hatari hapo huchomoki.
Huyo bwana woga ndio inamtisha na sijui kama alipona
Upo sawa, mazoezi ni muhimu ila usihitimishe, Hayo mazingira unaweza jifia tu na pushup zako 100 kila asubuhi, mchana na jioni.Yaan kama hapo unashindwaje kujiokoa.:hivi unakuwa mwanaume hata mazoez hufanyi?? Yaan utasikia lori limeua mmoja na mmoja amepona ndio hii sasa...wanawake ni wavumilivu sana...
Ni kweli kabisa. Sijui nani anawambia watu kwamba ukiwa mnene huwezi kufanya mazoezi.Ukiwa mnene ni tatizo zaidi. Ni mara chache mno uwe mnene na uwe na mazoezi. Mara nyingi watu wanene hawana mazoezi.