Fahamu gunduzi kubwa zilizoanza kuvumbuliwa Afrika (Misri) kabla ya Wazungu

Wale wasudan waliotengwa ndo mfano wa wamisri wa dunia ya AD na chimbuko la ulimwengu wa wastaarabu saiz watu wamebaki kuvumbua makaburi ya wafalme wanajua hawawezi kukosa gold na vingine vyenye thamani
 
View attachment 1446051
Salute

Nakumbuka kipindi nipo secondary kwenye masomo yangu pendwa hasa Biology karibia kila terminology nililiyokua nasoma kwenye definition yake ilikua inaanza na maneno “it’s a Greek word”, swali kubwa nililokua nabaki nalo na mpaka sasa hua najiuliza ni kwamba..Je wagiriki ndio watu wenye akili zaidi hapa duniani maana inaonyesha kila kitu tunachotumia sasa misngi ya kitu hicho imegunduliwa ugiriki. Hata watu maarufu na wenye akili nyingi zaidi kama Euclid, Pythogras, Socrates, Plato, Achimedes, Temistokles, wanatokea huko ugiriki na muundo wa maisha tunayoishi hapa duniani imetengenezwa na hao hao wagiriki.

NB. Majina ya kiume yote ya wagirki yanaishia na herufi S ili kumuenzi mungu wao wa miungu ZEUS (ndio maana jina la Jesus laishia S pia)

Hua najiuliza ni wazungu pekee ndio wamefanya vumbuzi kubwa humu duniani sisi watu weusi hatujafanya chochote wala hakuna watu waliofanya vitu vikubwa hapa duniani? Ukweli ni kua wapo wengi wamefanya makubwa hapa duniani na kuleta Civilizations kubwa katika maeneo mengi hapa duniani.

Ukweli mchungu ambao watu weupe hawataki kuukubali ni kwamba Afrika hasa misri ya kale ndio kitovu cha ustaarabu na Elimu duniani kote.

Kwa kujua hilo ndio maana wazungu wanalazimisha kutuaminisha vizazi vya sasa tusiopenda kuchimba mambo kua wamisri wa kale walikua watu weupe/Wazungu kwa kutumia vitabu na filamu mbalimbali.

Ukweli usiopingika ni kwamba Misri ya kale ndio kitovu cha mambo mengi katika ustaarabu wa mwanadamu ila tu hawataki kukubali kua ni mtu mweusi ndio kafanya hayo sifa zote hua zinaenda kwa wagiriki, wakati mfamle temistokles wa Jiji la Athens (Ugirki) anahangaika kuhamasisha wafalme wa majiji mengine kama Queen Gogo, King Leonidas waungane wawe taifa moja wao wamisri walikua wanafanya vumbuzi kubwa kubwa zilizoacha ulimwengu kinywa wazi. Nitaorodhesha baadhi ya mambo machache ambayo yamegunduliwa na wamisri weusi kipindi hiko hata Amerika kunakaa nyani na sokwe ,Red Indian na Wamaya

Baadhi ya vitu vilivyogunduiwa na wamisri
  • Mathematics
Wakati wanasayansi kutoka ugiriki kama Euclid,Pythogras,Archimedes na ugiriki kwa ujumla wakipewa heshima ya kuvumbua hisabati lakini ukweli mchungu ni kwamba wamisri ndio wamegundua hisabati. Geometry,survey,vyote hvyo vimegunduliwa Misri.
  • Maandishi
Wamisri ndio waliogundua mfumo wa kuweka lugha yao katika maandishi, walikua na mfumo wao wa maandishi unaitwa pictograms, kutokana na picha hizo ndipo kulipozaliwa herufi mbalimbali lakini hii iliendelezwa zaidi na wagiriki’
  • Dawa ya meno
Kama meno yako ni meupe na masafi basi nenda katambikie kuheshimu mizimu ya mababu zenu wa kimisri maana bila wao tusingepata dawa ya meno.
  • Wigi, Make-Up na Vipodozi
Mnasikia kua mwanamke mzuri zaidi duniani ni Cleopatra, basi uzuri wake ulichagizwa na vipodozi na make ups za kutosha. Wewe dada waheshimu sana wamisri maana bila wao sijui ingekuaje, miaka hiyo hata Yakobo hajahamia misri..watu wa misri walikua washagundua kuvaa mawigi,kutengeneza vipodozi na kufanya make up. Wanja na kuchonga nyusi kumeanzia huko misri, mafarao ilikua sifa kwao kupaka wanja na make up..nyusi wananyoa zote. Ikumbukwe kwamba wamisri walikua hawapaki wanja kama urembo ila ilikua ni kwa ajili ya imani zao pia waliamini kufanyia macho urembo kulikua kunawasaidia kuwakinga na magonjwa ya macho.
  • Wino Mweusi, Karatasi na Meza
Juhudi za watu weusi ndio zinafanya wazungu waweze kukaa na kuandika propaganda zao kuhusu watu weusi.wamisri ndio wamegundua wino mweusi kwa ajili ya kuandikia na kutengeneza meza. Wakati wazungu na watu wa jamii zingine wakitumia mbao,mawe na ngozi katika kuandika Wao wamisri walivumbua Karatasi za kuandikia zilikua zinaitwa “papylus sheets”. Baadae wagiriki waliziboresha na kuziita paper kutokana na neno Papyrus.
  • Mashine za kuvuna na kusaga nafaka na kilimo cha umwagiliaji
Wao ndio walivumbua mashine za kuvuna na kusaga/kukoboa nafaka hasa ngano, miaka hii Israel ndio inasifika kwa kilimo cha umwagiliaji na kua sehemu ya tafiti za kilimo cha umwagiliaji duniani lakini ukweli ni kwamba misri ya kale ndio ilianza kugunda kilimo cha umwagiliaji. Wamisr wa kale walijenga mifereji mingi kusambaza maji kutoka mto nile kupeleka mashambani.
  • Majira na Kalenda
Wakati red Indians wa marekani wakiokota matunda nan a kuwinda wadudu kama mlo wa siku kwenye misitu mikubwa iliyokuwepo Newyork miaka ya 1300AD, Miaka karibia elfu kadhaa iliyopita kabla ya Kristo wazee wa Afrika kutoka misri walikua wameshagundua jinsi ya kutambua saa za siku na kutengeneza kalenda ya kuonyesha majira ya mwaka. Kalenda yao ilikua na miezi 12 na siku 365, kila mwezi ulikua na siku 30…lakini pia walikua washatengeneza saa zao za asili ajili ya kupima masaa ya siku.
  • Kufuli
Wamisri ndio watu wa kwanza kuvumbua kufuli, unambiwa funguo za kufuli zao zilikua zinauweza kua na urefu wa futi 2. Lakini hawa mababu pia sometimes kwenye IT tunawataja kama watu wa kwanza kutengeneza codes, maana ile milango ya Pyramids kuna mingine haifunguliwi na funguo ila ni codes Fulani walizoziweka miaka zaidi ya elfu 5 iliyopita. Hivyo hata coding tunaweza sema imeanzia misri.
  • Polisi na Serikali
Kama ulikua hujui basi ndio hivyo polisi zimeanzishwa kwa mara ya kwanza misri, polisi walikua wanatumia siraha na mbwa katika kufanya doria zao. Hakuna maskini wala tajiri aliyekua juu ya sharia halafu adhabu zao ilikua kukupa kichapo, kukuhasi,kukata pua na maskio halafu ukifa ulikua huzikwi unatupwa kama mzoga. Wamisri walikua wanaamini kwamba ukizikwa kwa heshima basi kunauwezekano mkubwa wa kwenda kwenye maisha ya baadae/mbinguni/Afterlife. Mifumo hii ya serikali zetu duniani unazoziona sasa imetengenezwa na wamisri ndio maana Yosef mtoto wa Israel alikua waziri mkuu kipindi kile. Yaani wakati Abrahm Lincoln anatunga definition ya Democracy huko misri wao walikua washamaliza kia kitu kuhusu mifumo-endeshi ya serikali (ujamaa,Udikteta,ubepari nk nk)
  • Egyptian Hieroglyphics

View attachment 1446057

Hii ni michoro adhimu kabisa iliyobuniwa na wazee wa kiafrika ili kuwasiliana, pia zilikua zinatumika kueleza matukio yaliyopita na yajayo..so ilitumika kuweka rekodi za jamii ya watu wa misri. Unaweza kuona mchorouiliochorwa miaka zaidi ya elfu tano iliyopita ukionyesha image ya aeroplane ni ile ie iliyochorwa na Davinci miaka ya 1600sBC. Michoro hii hakuna wengine walioweza utengeeneza kama wamisri walivyofanya japo na wamaya walijitahidi kiasi chao kwenye ustaarabu wao.. mpaka leo zimebaki kama alama ya kutambulisha falme ya misri

  • Vifaa vya upasuaji
Mikasi inayotumika hospital kufanya upauaji imegunduliwa kwa mara ya kwanza nchini misri miaka na miaka iliyopita. Watafiti wa mambo ya kale wamekuta documents za miaka mingi sana iliyopita ikielezea jinsi ya kufanya upasuaji wa kichwa,mabega,shingo,maziwa,kifua. Jinsi ya kushona kidonda kwa kutumia sindano na uzi. Jumba la makumbusho lilipo Cairo lina mkusanyo wa vitu vilivyotumika katika upasuaji kama vile scalpels, scissors, copper needles, forceps, spoons, lancets, hooks, probes ana pincers

  • Mummification

View attachment 1446058

Hii ndio moja ya teknoljia kubwa sana kwa kipindi hicho ambayo imetengenezwa na wamisri, hii ilikua teknoljia ya kuhifadhi miili ya marehemu hasa wafalme. Kwa kutumia njia hii inawezesha kugundua ugonjwa uliomua hata baada ya miaka 1000. Hukojuu nimesema kua wamisri waliamini kuzika watu kwa heshima kunaweza kuwafanya wakaenda mbinguni, hivyo kwa upande wa wafalme au watu wenye heshima mjini enzi hizo walifanya hii mummification. Walikua wakizikwa wanazikwa na vyakula,nguo safi mabegi kadhaa, masanduku ya dhahabu na vitu vya thamani.waliamini kua siku wakifufuka watavitumia ila cha kufurahisha zaidi ni kwamba kuna watu walikua wanajitolea kuwasindikiza marehemu wwakiwa wazima kabisa tena walikua wanagombania hiyo nafasi kweli. Ndio maana unaweza kuta Farao kazikwa na watu zaidi ya mia wakiwa wazima.

Mazishi yao yalifanyika kwenye pyramids huko, moja ya vumbuzi kubwa na la ajabu kuwahi tokea duniani.

Moja ya watu muhimu kutoka misri kuwahi tokea duniani aliyefanya mambo makubwa sana hadi wagiriki walibidi wamuabudu kama Mungu wao anaweza kua binaadamu mwenye akili nyingi zaidi tutamzungumzia panapo majaliwa....

Wazungu hawatatu-Appreciate public ila kimoyo moyo wanajua sana kua bila sisi wao hawawezi kuishi humu duniani. Enzi zile kila mzungu ndoto yake kubwa ilikua kuja kusoma jijini Alexandria. Hili jiji ndio lilikua kitovu cha Elimu duniani, Topic nyingi za hisabati ulizowahi kusoma zimefanyiwa tafiti hapo.
Itaendelea....

~Da’Vinci

Mkuu mimi naomba kujua kuwa umetumia marejeo gani kujua kuwa hawa ni waafrica ?
 
Walifanya mtima nyongo! weusi ndivo mlivo, hamrithishi wajukuu! ukifa tajiri unakufa na mbinu zako! mwana Malundi naye alikufanya juzi juizi hakuacha Legacy
 
realy Africa n chimbuko nla vitu vingi ila wazungu wanafanya kutu dumaza na historia y uwongo waliotengeneza uku wakipoteza historia halisi iliyo kuwa africa
 
Binafsi huwa siwahesabu wamisri kama sehemu ya Afrika hata ngozi yao ya mwili hujieleza kuwa wao si wa huku.

Kuanzia Misri, Morocco,Tunisia etc.
Race iliyilokuwa inaishi misri ya kale walikuwa Ni watu weusi wakati huo misri ilikuwa inafahamika kwa jina la kemeti ... Hapo Ni kabla ya kemeti (,misri ) kuvamiwa na Alexander the great toka ugiriki ...

wagiriki walivyo ingia misri na baadhi kuweka makazi hapo nchi ya misri ikapata kuwa na kizazi chotara na cha watu weusi pia Ni Kama jinsi ambavyo tunavyoona Leo hii wachina na waturuki wanavyo zaliana na dada zetu miaka inavyozidi kwenda taifa letu linaweza kuja kuwa na machotara wengi kuliko hata sisi weusi '

Pia baada ya utawala wa ugiriki kuanguka na kupoteza ushawishi wake duniani waarabu walivamia nchi za ukanda huo na wakasababisha race yao kuweza kusambaa na hatimae wakafanikiwa kutokomeza race ya watu weusi waliokuwepo maeneo hayo .... Ila kiuhalisia misri Ni taifa la watu weusi Ni Kama jinsi ilivyo tawaliwa Zanzibar tu na sultan
 
View attachment 1446051
Salute

Nakumbuka kipindi nipo secondary kwenye masomo yangu pendwa hasa Biology karibia kila terminology nililiyokua nasoma kwenye definition yake ilikua inaanza na maneno “it’s a Greek word”, swali kubwa nililokua nabaki nalo na mpaka sasa hua najiuliza ni kwamba..Je wagiriki ndio watu wenye akili zaidi hapa duniani maana inaonyesha kila kitu tunachotumia sasa misngi ya kitu hicho imegunduliwa ugiriki. Hata watu maarufu na wenye akili nyingi zaidi kama Euclid, Pythogras, Socrates, Plato, Achimedes, Temistokles, wanatokea huko ugiriki na muundo wa maisha tunayoishi hapa duniani imetengenezwa na hao hao wagiriki.

NB. Majina ya kiume yote ya wagirki yanaishia na herufi S ili kumuenzi mungu wao wa miungu ZEUS (ndio maana jina la Jesus laishia S pia)

Hua najiuliza ni wazungu pekee ndio wamefanya vumbuzi kubwa humu duniani sisi watu weusi hatujafanya chochote wala hakuna watu waliofanya vitu vikubwa hapa duniani? Ukweli ni kua wapo wengi wamefanya makubwa hapa duniani na kuleta Civilizations kubwa katika maeneo mengi hapa duniani.

Ukweli mchungu ambao watu weupe hawataki kuukubali ni kwamba Afrika hasa misri ya kale ndio kitovu cha ustaarabu na Elimu duniani kote.

Kwa kujua hilo ndio maana wazungu wanalazimisha kutuaminisha vizazi vya sasa tusiopenda kuchimba mambo kua wamisri wa kale walikua watu weupe/Wazungu kwa kutumia vitabu na filamu mbalimbali.

Ukweli usiopingika ni kwamba Misri ya kale ndio kitovu cha mambo mengi katika ustaarabu wa mwanadamu ila tu hawataki kukubali kua ni mtu mweusi ndio kafanya hayo sifa zote hua zinaenda kwa wagiriki, wakati mfamle temistokles wa Jiji la Athens (Ugirki) anahangaika kuhamasisha wafalme wa majiji mengine kama Queen Gogo, King Leonidas waungane wawe taifa moja wao wamisri walikua wanafanya vumbuzi kubwa kubwa zilizoacha ulimwengu kinywa wazi. Nitaorodhesha baadhi ya mambo machache ambayo yamegunduliwa na wamisri weusi kipindi hiko hata Amerika kunakaa nyani na sokwe ,Red Indian na Wamaya

Baadhi ya vitu vilivyogunduiwa na wamisri
  • Mathematics
Wakati wanasayansi kutoka ugiriki kama Euclid,Pythogras,Archimedes na ugiriki kwa ujumla wakipewa heshima ya kuvumbua hisabati lakini ukweli mchungu ni kwamba wamisri ndio wamegundua hisabati. Geometry,survey,vyote hvyo vimegunduliwa Misri.
  • Maandishi
Wamisri ndio waliogundua mfumo wa kuweka lugha yao katika maandishi, walikua na mfumo wao wa maandishi unaitwa pictograms, kutokana na picha hizo ndipo kulipozaliwa herufi mbalimbali lakini hii iliendelezwa zaidi na wagiriki’
  • Dawa ya meno
Kama meno yako ni meupe na masafi basi nenda katambikie kuheshimu mizimu ya mababu zenu wa kimisri maana bila wao tusingepata dawa ya meno.
  • Wigi, Make-Up na Vipodozi
Mnasikia kua mwanamke mzuri zaidi duniani ni Cleopatra, basi uzuri wake ulichagizwa na vipodozi na make ups za kutosha. Wewe dada waheshimu sana wamisri maana bila wao sijui ingekuaje, miaka hiyo hata Yakobo hajahamia misri..watu wa misri walikua washagundua kuvaa mawigi,kutengeneza vipodozi na kufanya make up. Wanja na kuchonga nyusi kumeanzia huko misri, mafarao ilikua sifa kwao kupaka wanja na make up..nyusi wananyoa zote. Ikumbukwe kwamba wamisri walikua hawapaki wanja kama urembo ila ilikua ni kwa ajili ya imani zao pia waliamini kufanyia macho urembo kulikua kunawasaidia kuwakinga na magonjwa ya macho.
  • Wino Mweusi, Karatasi na Meza
Juhudi za watu weusi ndio zinafanya wazungu waweze kukaa na kuandika propaganda zao kuhusu watu weusi.wamisri ndio wamegundua wino mweusi kwa ajili ya kuandikia na kutengeneza meza. Wakati wazungu na watu wa jamii zingine wakitumia mbao,mawe na ngozi katika kuandika Wao wamisri walivumbua Karatasi za kuandikia zilikua zinaitwa “papylus sheets”. Baadae wagiriki waliziboresha na kuziita paper kutokana na neno Papyrus.
  • Mashine za kuvuna na kusaga nafaka na kilimo cha umwagiliaji
Wao ndio walivumbua mashine za kuvuna na kusaga/kukoboa nafaka hasa ngano, miaka hii Israel ndio inasifika kwa kilimo cha umwagiliaji na kua sehemu ya tafiti za kilimo cha umwagiliaji duniani lakini ukweli ni kwamba misri ya kale ndio ilianza kugunda kilimo cha umwagiliaji. Wamisr wa kale walijenga mifereji mingi kusambaza maji kutoka mto nile kupeleka mashambani.
  • Majira na Kalenda
Wakati red Indians wa marekani wakiokota matunda nan a kuwinda wadudu kama mlo wa siku kwenye misitu mikubwa iliyokuwepo Newyork miaka ya 1300AD, Miaka karibia elfu kadhaa iliyopita kabla ya Kristo wazee wa Afrika kutoka misri walikua wameshagundua jinsi ya kutambua saa za siku na kutengeneza kalenda ya kuonyesha majira ya mwaka. Kalenda yao ilikua na miezi 12 na siku 365, kila mwezi ulikua na siku 30…lakini pia walikua washatengeneza saa zao za asili ajili ya kupima masaa ya siku.
  • Kufuli
Wamisri ndio watu wa kwanza kuvumbua kufuli, unambiwa funguo za kufuli zao zilikua zinauweza kua na urefu wa futi 2. Lakini hawa mababu pia sometimes kwenye IT tunawataja kama watu wa kwanza kutengeneza codes, maana ile milango ya Pyramids kuna mingine haifunguliwi na funguo ila ni codes Fulani walizoziweka miaka zaidi ya elfu 5 iliyopita. Hivyo hata coding tunaweza sema imeanzia misri.
  • Polisi na Serikali
Kama ulikua hujui basi ndio hivyo polisi zimeanzishwa kwa mara ya kwanza misri, polisi walikua wanatumia siraha na mbwa katika kufanya doria zao. Hakuna maskini wala tajiri aliyekua juu ya sharia halafu adhabu zao ilikua kukupa kichapo, kukuhasi,kukata pua na maskio halafu ukifa ulikua huzikwi unatupwa kama mzoga. Wamisri walikua wanaamini kwamba ukizikwa kwa heshima basi kunauwezekano mkubwa wa kwenda kwenye maisha ya baadae/mbinguni/Afterlife. Mifumo hii ya serikali zetu duniani unazoziona sasa imetengenezwa na wamisri ndio maana Yosef mtoto wa Israel alikua waziri mkuu kipindi kile. Yaani wakati Abrahm Lincoln anatunga definition ya Democracy huko misri wao walikua washamaliza kia kitu kuhusu mifumo-endeshi ya serikali (ujamaa,Udikteta,ubepari nk nk)
  • Egyptian Hieroglyphics

View attachment 1446057

Hii ni michoro adhimu kabisa iliyobuniwa na wazee wa kiafrika ili kuwasiliana, pia zilikua zinatumika kueleza matukio yaliyopita na yajayo..so ilitumika kuweka rekodi za jamii ya watu wa misri. Unaweza kuona mchorouiliochorwa miaka zaidi ya elfu tano iliyopita ukionyesha image ya aeroplane ni ile ie iliyochorwa na Davinci miaka ya 1600sBC. Michoro hii hakuna wengine walioweza utengeeneza kama wamisri walivyofanya japo na wamaya walijitahidi kiasi chao kwenye ustaarabu wao.. mpaka leo zimebaki kama alama ya kutambulisha falme ya misri

  • Vifaa vya upasuaji
Mikasi inayotumika hospital kufanya upauaji imegunduliwa kwa mara ya kwanza nchini misri miaka na miaka iliyopita. Watafiti wa mambo ya kale wamekuta documents za miaka mingi sana iliyopita ikielezea jinsi ya kufanya upasuaji wa kichwa,mabega,shingo,maziwa,kifua. Jinsi ya kushona kidonda kwa kutumia sindano na uzi. Jumba la makumbusho lilipo Cairo lina mkusanyo wa vitu vilivyotumika katika upasuaji kama vile scalpels, scissors, copper needles, forceps, spoons, lancets, hooks, probes ana pincers

  • Mummification

View attachment 1446058

Hii ndio moja ya teknoljia kubwa sana kwa kipindi hicho ambayo imetengenezwa na wamisri, hii ilikua teknoljia ya kuhifadhi miili ya marehemu hasa wafalme. Kwa kutumia njia hii inawezesha kugundua ugonjwa uliomua hata baada ya miaka 1000. Hukojuu nimesema kua wamisri waliamini kuzika watu kwa heshima kunaweza kuwafanya wakaenda mbinguni, hivyo kwa upande wa wafalme au watu wenye heshima mjini enzi hizo walifanya hii mummification. Walikua wakizikwa wanazikwa na vyakula,nguo safi mabegi kadhaa, masanduku ya dhahabu na vitu vya thamani.waliamini kua siku wakifufuka watavitumia ila cha kufurahisha zaidi ni kwamba kuna watu walikua wanajitolea kuwasindikiza marehemu wwakiwa wazima kabisa tena walikua wanagombania hiyo nafasi kweli. Ndio maana unaweza kuta Farao kazikwa na watu zaidi ya mia wakiwa wazima.

Mazishi yao yalifanyika kwenye pyramids huko, moja ya vumbuzi kubwa na la ajabu kuwahi tokea duniani.

Moja ya watu muhimu kutoka misri kuwahi tokea duniani aliyefanya mambo makubwa sana hadi wagiriki walibidi wamuabudu kama Mungu wao anaweza kua binaadamu mwenye akili nyingi zaidi tutamzungumzia panapo majaliwa....

Wazungu hawatatu-Appreciate public ila kimoyo moyo wanajua sana kua bila sisi wao hawawezi kuishi humu duniani. Enzi zile kila mzungu ndoto yake kubwa ilikua kuja kusoma jijini Alexandria. Hili jiji ndio lilikua kitovu cha Elimu duniani, Topic nyingi za hisabati ulizowahi kusoma zimefanyiwa tafiti hapo.
Itaendelea....

~Da’Vinci
Historia ni eneo langu la kujidai.

Tafuta pia history ya Tumbuktu ambapo we had something even before Egypt triumphy

Msanii Picasso alikuwa ni realismist hafi alipokutana na carving skmculptures za west Afrika akaziadopt onto his arthand to create abstract figures
 
Sasa tulikuja kukwama wapi??


Sent using Jamii Forums mobile app
Historia inapotoshwa sana ugunduzi wote wa Misri ulifanyika kipindi wayahudi wakiwa watumwa Misri

Wagunduzi hawakuwa waafrika walikuwa wayahudi kuanzia mwandishi na kila kitu

Walipoondoka wayahudi wote kwenda kwenda Israel na ugunduzi ukakoma Misri

Ni kama leo waondoke Makaburu wote Afrika ya kusini warudi kwao walikotokea Holland Afrika kusini haitakiwa tofauti na Buguruni kwa Kimbengele kwa mfuga mbwa
 
Historia inapotoshwa sana ugunduzi wote wa Misri ulifanyika kipindi wayahudi wakiwa watumwa Misri

Wagunduzi hawakuwa waafrika walikuwa wayahudi kuanzia mwandishi na kila kitu

Walipoondoka wayahudi wote kwenda kwenda Israel na ugunduzi ukakoma Misri

Ni kama leo waondoke Makaburu wote Afrika ya kusini warudi kwao walikotokea Holland Afrika kusini haitakiwi.tofauti na Buguruni kwa Kimbengele kwa mfuga mbwa
Na hao Wayahudi hawakuwa wazungu!
 
Back
Top Bottom