Fahamu gunduzi kubwa zilizoanza kuvumbuliwa Afrika (Misri) kabla ya Wazungu

Kwa hiyo nchi zingine za Kiafrica tulikua bado tunacheza mdako kwa dhahabu.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Aisee msiahau huku East Africa upande wa Ethiopia kulikua na kush..
Huku ndiko chimbuko letu sisi..Akina Haile wamefanya mengi.
Ila kipindi hiko huko kaskazini ndio kulikua Newyork ya dunia
Ila sisi bana..unachza bao kwa almasi
 
Binafsi huwa siwahesabu wamisri kama sehemu ya Afrika hata ngozi yao ya mwili hujieleza kuwa wao si wa huku.

Kuanzia Misri, Morocco,Tunisia etc.
 
Ile sphinx binafsi naikumbuka picha yake kabla wazungu hawajaiharibu Ile pua..
Niliiona Tanganyika library..

Natamani Sana Ile picha niipate tena ambayo uki Google huioni ya pua ya kibantu..

Kipande kikubwa mno cha history
 
Binafsi huwa siwahesabu wamisri kama sehemu ya Afrika hata ngozi yao ya mwili hujieleza kuwa wao si wa huku.

Kuanzia Misri, Morocco,Tunisia etc.
Wale ni wavamizi kutoka mashariki ya kati, Lakini mababu wa kale wa misri walikuwa ni weusi kabisa kama sisi. hilo linathibitishwa na Professors S.O.Y. Keita na Alain Anselin kutoka England Oxford waliopima DNA za Mabaki ya mwili wa Ramesses lll na kubaini vinasaba vyake vinamatch sana na wanaume wa Africa mashariki, sudan na Ethiopia wa leo. kama haitoshi Hata ukiangalia michoro iliyopo Misri leo inawaonyesha wazi watawala wale kama walikuwa weusi.
images%20(5).jpeg


ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
 
Binafsi huwa siwahesabu wamisri kama sehemu ya Afrika hata ngozi yao ya mwili hujieleza kuwa wao si wa huku.

Kuanzia Misri, Morocco,Tunisia etc.
Wa Misri halisi ni weusi tii kama wajaluo usihadaishwe na hao wasasa, wamechakachuliwa ndio maana ujuzi wote wa mwanzo hawana.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Ile sphinx binafsi naikumbuka picha yake kabla wazungu hawajaiharibu Ile pua..
Niliiona Tanganyika library..

Natamani Sana Ile picha niipate tena ambayo uki Google huioni ya pua ya kibantu..

Kipande kikubwa mno cha history
Wajamaa walipita nayo asee. Maana wanajua kabisa ni rahisi kujua race ya mtu kwa kuangalia muundo wa pua.
Screenshot_2020-05-10-22-15-56-1.png
 
Ile sphinx binafsi naikumbuka picha yake kabla wazungu hawajaiharibu Ile pua..
Niliiona Tanganyika library..

Natamani Sana Ile picha niipate tena ambayo uki Google huioni ya pua ya kibantu..

Kipande kikubwa mno cha history
 
Ile sphinx binafsi naikumbuka picha yake kabla wazungu hawajaiharibu Ile pua..
Niliiona Tanganyika library..

Natamani Sana Ile picha niipate tena ambayo uki Google huioni ya pua ya kibantu..

Kipande kikubwa mno cha history
 
Ile sphinx binafsi naikumbuka picha yake kabla wazungu hawajaiharibu Ile pua..
Niliiona Tanganyika library..

Natamani Sana Ile picha niipate tena ambayo uki Google huioni ya pua ya kibantu..

Kipande kikubwa mno cha history
Angalia post #32
 
Ukweli usiopingika ni kwamba Misri ya kale ndio kitovu cha mambo mengi katika ustaarabu wa mwanadamu ila tu hawataki kukubali kua ni mtu mweusi ndio kafanya hayo sifa zote hua zinaenda kwa wagiriki, wakati mfamle temistokles wa Jiji la Athens (Ugirki) anahangaika kuhamasisha wafalme wa majiji mengine kama Queen Gogo, King Leonidas waungane wawe taifa moja wao wamisri walikua wanafanya vumbuzi kubwa kubwa zilizoacha ulimwengu kinywa wazi. Nitaorodhesha baadhi ya mambo machache ambayo yamegunduliwa na wamisri weusi kipindi hiko hata Amerika kunakaa nyani na sokwe ,Red Indian na Wamaya
Andiko lako linapotosha. Kuna mambo mawili hapa. Kwanza ni watu na pili ni eneo.

Mambo hayo mawili ndiyo unachanganya na hivyo unapotosha.

Katika ukweli wa maarifa, elimu na teknolojia yaani akili nyingi ni jambo linalotegemea mambo makuu matatu: moja ni Mungu yaani uwepo wa hali ya juu yenye akili ; mbili sheria ya maumbile na tatu sheria ya maadili.

Kuhusu Misri na Waafrika na maendeleo ni jambo ambalo Wafrika wenyewe wanakataa ukweli wa mambo ulivyo.

Hapa kuna suala la utawala na tawala. Jambo hili ukweli wake hausemwi, unafichwa sana. Mpaka nyakati zetu suala la utawala na tawala Afrika limekuwa ni siri.

Tusiruhusu hisia yaani mwili uongoze akili yaani ubongo, hapo ukweli hatutaujua.
 
Andiko lako linapotosha. Kuna mambo mawili hapa. Kwanza ni watu na pili ni eneo.

Mambo hayo mawili ndiyo unachanganya na hivyo unapotosha.

Katika ukweli wa maarifa, elimu na teknolojia yaani akili nyingi ni jambo linalotegemea mambo makuu matatu: moja ni Mungu yaani uwepo wa hali ya juu yenye akili ; mbili sheria ya maumbile na tatu sheria ya maadili.

Kuhusu Misri na Waafrika na maendeleo ni jambo ambalo Wafrika wenyewe wanakataa ukweli wa mambo ulivyo.

Hapa kuna suala la utawala na tawala. Jambo hili ukweli wake hausemwi, unafichwa sana. Mpaka nyakati zetu suala la utawala na tawala Afrika limekuwa ni siri.

Tusiruhusu hisia yaani mwili uongoze akili yaani ubongo, hapo ukweli hatutaujua.
Majina na maeneo gani niliyopotosha mkuu...?
 
Back
Top Bottom