Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,445
- 13,133
Bila shaka duka la mangi ndilo la pili kuajiri watanzaniw wengi baada ya kilimo. Karibu kila mtaa utakuta kuna maduka ya Mangi kuanzia mawili na kuendelea.
Umbali wa dakika tano toka hapo ulipo kuna maduka ya mangi mangapi? Watu wengi sana nchi hii wanaendesha maisha kwa kutegemea duka la mangi. Tena maduka mengi utakuta hayana muuzaji mmoja, mara mara nyingi utakuta wauzaji wawili.
Kama tunataka watu wakimaliza shule waweze kujiajiri, basi tuwape elimu kulingana na mazingira watakayoenda kuishi. Mojawapo ni elimu ya kuendesha duka la mangi.
Umbali wa dakika tano toka hapo ulipo kuna maduka ya mangi mangapi? Watu wengi sana nchi hii wanaendesha maisha kwa kutegemea duka la mangi. Tena maduka mengi utakuta hayana muuzaji mmoja, mara mara nyingi utakuta wauzaji wawili.
Kama tunataka watu wakimaliza shule waweze kujiajiri, basi tuwape elimu kulingana na mazingira watakayoenda kuishi. Mojawapo ni elimu ya kuendesha duka la mangi.