Dr. Mwigulu Lameck Nchemba tumia elimu uliyonayo, okoa uchumi wa nchi. Hali sio hali

Yaani mwigulu huyuhuyu Madelu unamuomba abadili uchumi? Hivi unavijua vichwa vya kubadli uchumi hasa level ya taifa? Madelu huyu alitakiwa kuwa na cheo kwenye chama eg mwenyekiti wa MACHAWA lakini kazi ya kitaalam Madelu ni mwupeee kama pamba
 
Dr. Mwigulu Lameck Nchemba tumia elimu uliyonayo, okoa uchumi wa nchi. Hali sio hali
Huyo jamaa na wenzake akili zao zimefika mwisho hawana jipya. Ingefaa awe tayari ashapumzishwa lakini mtumbuaji haoni.
Kutegemea utatuzi wa matatizo kutoka kwa aliyesababisha hayo matatizo siyo sawa
 
Kinachoniuma zaidi ni kitendo cha sa100 kufikiria kugombea awamu ijayo, kwakweli kama Taifa tutakula hasara miaka mingine mi5!
CCM ihurumieni hii nchi...sa100 hatoshi kabisaa kwenye urais, hiyo miaka 3 ya kumalizia kipindi cha Jiwe inamtosha!.
Biashara na nchi majirani inakufa kabisa kwasabb pesa yetu imeporomoka mno thamani.
 
Hana mpango huo wanasiasa bongo wapo kwa manufaa yao, hilo mkae mkijua. Hawana maumivu na tz ya kesho, huenda wao wasiwepo na watoto wao wamewatengenezea kesho yenye uhakika.
 
Kama ilivyo kwenye REA ni Afadhali tukubali kila lita tuweke 50/=kwa ajili ya kuraise Capital kwa Mabank yetu!
Haya mambo ya kuongeza TOZO kila wakati hayana tija na ndiyo yametufikisha hapa.

Na mwigulu huwa ana mikakati miwili tu ya kukuza uchumi wa nchi - Tozo na Mikopo.

Kuna nchi zinaagiza na kupokea mafuta kupitia bandari ya Dar na kisha kuyasafirisha umbali mrefu, lakini mafuta ni cheap huko kwao kuliko Dar kwa kuwa hawana utitiri wa tozo na kodi!

Kupandisha bei ya mafuta huathiri negatively sekta nyingi za kiuchumi. Kupanga kuleta maendeleo kwa njia ya kuongeza tozo ni kujidanganya
 
Hali sio hali nchini hususani kwenye uchumi wa nchi na mauzo na manunuzi. Gharama ya bidhaa iko juu sana, vyakula na bidhaa nyingine iko juu kupindukia. Ukienda kila kona ya nchi hali ni mbaya.

Kodi ni kubwa sana. Watu wanashindwa kufanya biashara. Biashara inafungwa, watu wanahifadhi pesa zao katika mfumo wa dola na kuficha pesa zao na sio Benki bali sehemu nyingine kusikojulikana ili kulinda mitaji yao.

Watu wanafanya biashara, kiwango cha faida katika biashara kimepungua kwa kiasi kikubwa hadi kupelekea watu kupoteza muda katika biashara isiyo na tija.

Ukirudi kwenye ubadilishanaji wa Dola ndo usiseme. Ukienda kwenye maduka ya kubadilishanaji fedha za kigeni, kupata dola ni shida, unawekewa kiwango cha kubadilisha fedha. Zaidi ya hapo hupati huduma.

Thamani ya fedha yetu ya kitanzania inashuka kwa kasi kubwa mno. Linganisha pesa ya Tanzania na Uganda, pesa yetu ilikuwa na thamani kubwa sana dhidi ya pesa ya Uganda, angalia kwa sasa katika exchange rate kwa sasa inaifukuza pesa yetu kwa kasi kubwa. Pesa ya Kenya(KSHS) hatuifati hata kidogo.

Tunakwama wapi katika hili? Tujiulize kama watanzania. Je ni uchumi wa dunia ndo umevurugika? Au ni kuyumba kwa uchumi wa nchi? Au washindani wetu wamekuza chumi zetu?

Mungu ibariki Tanzania
Shida ni maccm yamejimilikisha njia 1.kuu za uchumi

Migodi ni mkapa na jamaa zake

Maliasli ni za kinana

Real estate ni ya familia ya lowasa

Bandari kachukua mama Abdul

Gas ni ya kikewtr

Uwanja wa ndege kia ni wa Anna mkapo

Mafuta ni ya ridhiwani

Usafarishaji ni.....

Mbolea ni ya..

Ranchi ni za magufuli

Sukari kachukua abdul

Kwa Hali hii mwigulu atafanya Nini bila kueliminate kwanza Hawa watu na kuandika katiba mpya
 
Hali sio hali nchini hususani kwenye uchumi wa nchi na mauzo na manunuzi. Gharama ya bidhaa iko juu sana, vyakula na bidhaa nyingine iko juu kupindukia. Ukienda kila kona ya nchi hali ni mbaya.

Kodi ni kubwa sana. Watu wanashindwa kufanya biashara. Biashara inafungwa, watu wanahifadhi pesa zao katika mfumo wa dola na kuficha pesa zao na sio Benki bali sehemu nyingine kusikojulikana ili kulinda mitaji yao.

Watu wanafanya biashara, kiwango cha faida katika biashara kimepungua kwa kiasi kikubwa hadi kupelekea watu kupoteza muda katika biashara isiyo na tija.

Ukirudi kwenye ubadilishanaji wa Dola ndo usiseme. Ukienda kwenye maduka ya kubadilishanaji fedha za kigeni, kupata dola ni shida, unawekewa kiwango cha kubadilisha fedha. Zaidi ya hapo hupati huduma.

Thamani ya fedha yetu ya kitanzania inashuka kwa kasi kubwa mno. Linganisha pesa ya Tanzania na Uganda, pesa yetu ilikuwa na thamani kubwa sana dhidi ya pesa ya Uganda, angalia kwa sasa katika exchange rate kwa sasa inaifukuza pesa yetu kwa kasi kubwa. Pesa ya Kenya(KSHS) hatuifati hata kidogo.

Tunakwama wapi katika hili? Tujiulize kama watanzania. Je ni uchumi wa dunia ndo umevurugika? Au ni kuyumba kwa uchumi wa nchi? Au washindani wetu wamekuza chumi zetu?

Mungu ibariki Tanzania
Elimu debatable?
 
Anakwambia anapishana na gari zenye E hivyo uchumi uko sawa
Huo ni wizi ..ww pesa za srikal miradi mingi ya srikali kama sgr .na stiglar na tanesco watu wamechota pesa za maana huko ndo wanabadikisha magari kila aina huo sio uchumi kama tukiindekeza huo ujambazi
 
Shida ni maccm yamejimilikisha njia 1.kuu za uchumi

Migodi ni mkapa na jamaa zake

Maliasli ni za kinana

Real estate ni ya familia ya lowasa

Bandari kachukua mama Abdul

Gas ni ya kikewtr

Uwanja wa ndege kia ni wa Anna mkapo

Mafuta ni ya ridhiwani

Usafarishaji ni.....

Mbolea ni ya..

Ranchi ni za magufuli

Sukari kachukua abdul

Kwa Hali hii mwigulu atafanya Nini bila kueliminate kwanza Hawa watu na kuandika katiba mpya
Duh,
Hao mafisadi watafanya Tanzania ipoteze mwelekeo mazima kama Somalia, DRC..
 
Back
Top Bottom