Dr. Mwigulu Lameck Nchemba tumia elimu uliyonayo, okoa uchumi wa nchi. Hali sio hali

Aug 4, 2011
88
95
Hali sio hali nchini hususani kwenye uchumi wa nchi na mauzo na manunuzi. Gharama ya bidhaa iko juu sana, vyakula na bidhaa nyingine iko juu kupindukia. Ukienda kila kona ya nchi hali ni mbaya.

Kodi ni kubwa sana. Watu wanashindwa kufanya biashara. Biashara inafungwa, watu wanahifadhi pesa zao katika mfumo wa dola na kuficha pesa zao na sio Benki bali sehemu nyingine kusikojulikana ili kulinda mitaji yao.

Watu wanafanya biashara, kiwango cha faida katika biashara kimepungua kwa kiasi kikubwa hadi kupelekea watu kupoteza muda katika biashara isiyo na tija.

Ukirudi kwenye ubadilishanaji wa Dola ndo usiseme. Ukienda kwenye maduka ya kubadilishanaji fedha za kigeni, kupata dola ni shida, unawekewa kiwango cha kubadilisha fedha. Zaidi ya hapo hupati huduma.

Thamani ya fedha yetu ya kitanzania inashuka kwa kasi kubwa mno. Linganisha pesa ya Tanzania na Uganda, pesa yetu ilikuwa na thamani kubwa sana dhidi ya pesa ya Uganda, angalia kwa sasa katika exchange rate kwa sasa inaifukuza pesa yetu kwa kasi kubwa. Pesa ya Kenya(KSHS) hatuifati hata kidogo.

Tunakwama wapi katika hili? Tujiulize kama watanzania. Je ni uchumi wa dunia ndo umevurugika? Au ni kuyumba kwa uchumi wa nchi? Au washindani wetu wamekuza chumi zetu?

Mungu ibariki Tanzania
 
Hali sio hali nchi hususani kwenye uchumi wa nchi na mauzo na manunuzi. Ghalama ya bidhaa iko juu sana, vyakula na bidhaa nyingine iko juu kupindukia. Ukienda kila kona ya nchi hali ni mbaya.
Kodi ni kubwa sana. Watu wanashindwa kufanya biashara. Biashara inafungwa, watu wanahifadhi pesa zao katika mfumo wa dola na kuficha pesa zao na sio Benk bali sehemu nyingine kusikojulikana ili kulinda mitaji yao.
Watu wanafanya biashara, kiwango cha faida katika biashara kimepungua kwa kiasi kikubwa hali kupelekea watu kupoteza muda katika biashara isiyo na tija.
Ukirudi kwenye ubadilishanaji wa Dola ndo usiseme. Ukienda kwenye maduka ya kubadilishanaji fedha za kigeni, kuopata dola ni shida, unawekewa kiwango cha kubadilisha fedha. Zaidi ya hapo hupati huduma.
Thamani ya fedha yetu ya kitanzania inashuka kwa kasi kibwa mno. Linganisha pesa ya Tanzania na Uganda, pesa yetu ilikuwa na thamani kubwa sana dhidi ya pesa ya Uganda, angalia kwa sasa katika exchange rate kwa sasa inaifukuza pesa yetu kwa kasi kubwa. Pesa ya Kenya(KSHS) hatuifati hata kidogo.
Tunakwama wapi katika hili? Tujiulize kama watanzania. Je ni uchumi wa dunia ndo umavurugika?au ni kuyumba kwa uchumi wa nchi? Au washindani wetu wamekuza chumi zetu?
Mungu ibariki Tanzania
Anakwambia anapishana na gari zenye E hivyo uchumi uko sawa
 
Hali sio hali nchi hususani kwenye uchumi wa nchi na mauzo na manunuzi. Ghalama ya bidhaa iko juu sana, vyakula na bidhaa nyingine iko juu kupindukia. Ukienda kila kona ya nchi hali ni mbaya.
Kodi ni kubwa sana. Watu wanashindwa kufanya biashara. Biashara inafungwa, watu wanahifadhi pesa zao katika mfumo wa dola na kuficha pesa zao na sio Benk bali sehemu nyingine kusikojulikana ili kulinda mitaji yao.
Watu wanafanya biashara, kiwango cha faida katika biashara kimepungua kwa kiasi kikubwa hali kupelekea watu kupoteza muda katika biashara isiyo na tija.
Ukirudi kwenye ubadilishanaji wa Dola ndo usiseme. Ukienda kwenye maduka ya kubadilishanaji fedha za kigeni, kuopata dola ni shida, unawekewa kiwango cha kubadilisha fedha. Zaidi ya hapo hupati huduma.
Thamani ya fedha yetu ya kitanzania inashuka kwa kasi kibwa mno. Linganisha pesa ya Tanzania na Uganda, pesa yetu ilikuwa na thamani kubwa sana dhidi ya pesa ya Uganda, angalia kwa sasa katika exchange rate kwa sasa inaifukuza pesa yetu kwa kasi kubwa. Pesa ya Kenya(KSHS) hatuifati hata kidogo.
Tunakwama wapi katika hili? Tujiulize kama watanzania. Je ni uchumi wa dunia ndo umavurugika?au ni kuyumba kwa uchumi wa nchi? Au washindani wetu wamekuza chumi zetu?
Mungu ibariki Tanzania
Kwa bahati mbaya Mwigulu hana hiyo elimu.
 
Hali sio hali nchi hususani kwenye uchumi wa nchi na mauzo na manunuzi. Ghalama ya bidhaa iko juu sana, vyakula na bidhaa nyingine iko juu kupindukia. Ukienda kila kona ya nchi hali ni mbaya.
Kodi ni kubwa sana. Watu wanashindwa kufanya biashara. Biashara inafungwa, watu wanahifadhi pesa zao katika mfumo wa dola na kuficha pesa zao na sio Benk bali sehemu nyingine kusikojulikana ili kulinda mitaji yao.
Watu wanafanya biashara, kiwango cha faida katika biashara kimepungua kwa kiasi kikubwa hali kupelekea watu kupoteza muda katika biashara isiyo na tija.
Ukirudi kwenye ubadilishanaji wa Dola ndo usiseme. Ukienda kwenye maduka ya kubadilishanaji fedha za kigeni, kuopata dola ni shida, unawekewa kiwango cha kubadilisha fedha. Zaidi ya hapo hupati huduma.
Thamani ya fedha yetu ya kitanzania inashuka kwa kasi kibwa mno. Linganisha pesa ya Tanzania na Uganda, pesa yetu ilikuwa na thamani kubwa sana dhidi ya pesa ya Uganda, angalia kwa sasa katika exchange rate kwa sasa inaifukuza pesa yetu kwa kasi kubwa. Pesa ya Kenya(KSHS) hatuifati hata kidogo.
Tunakwama wapi katika hili? Tujiulize kama watanzania. Je ni uchumi wa dunia ndo umavurugika?au ni kuyumba kwa uchumi wa nchi? Au washindani wetu wamekuza chumi zetu?
Mungu ibariki Tanzania
Je! Pesa mtaani ipo haipo!??
 
Tatizo elimu zao ni fake.wangekuwa na elimu halali wangekuwa wamechukua hatua mapema kudhibiti uporomokaji wa uchumi wa Tanzania.hizo PhD wanapata baada ya kuwanufaisha mabeberu na kuwafilisi wazawa.kwa Sasa nchi majirani wanaotuzunguka wote wametupita kimaendeleo Kila kitu.
 
Yako fixed, ukikataa mojawapo mkopo hupati, Nyerere yalimshinda akaamua kung'atuka
Hayako fixed, ndiyo maana ya negotiating table. Wanakuja wakiwa maili tano na wewe maili tano basi mnakatiana hadi mnakutana katikati. Nyerere hakutaka hiyo ya kukatiana lakini dunia ya leo ni kukatiana.
 
Hali sio hali nchi hususani kwenye uchumi wa nchi na mauzo na manunuzi. Ghalama ya bidhaa iko juu sana, vyakula na bidhaa nyingine iko juu kupindukia. Ukienda kila kona ya nchi hali ni mbaya.
Kodi ni kubwa sana. Watu wanashindwa kufanya biashara. Biashara inafungwa, watu wanahifadhi pesa zao katika mfumo wa dola na kuficha pesa zao na sio Benk bali sehemu nyingine kusikojulikana ili kulinda mitaji yao.
Watu wanafanya biashara, kiwango cha faida katika biashara kimepungua kwa kiasi kikubwa hali kupelekea watu kupoteza muda katika biashara isiyo na tija.
Ukirudi kwenye ubadilishanaji wa Dola ndo usiseme. Ukienda kwenye maduka ya kubadilishanaji fedha za kigeni, kuopata dola ni shida, unawekewa kiwango cha kubadilisha fedha. Zaidi ya hapo hupati huduma.
Thamani ya fedha yetu ya kitanzania inashuka kwa kasi kibwa mno. Linganisha pesa ya Tanzania na Uganda, pesa yetu ilikuwa na thamani kubwa sana dhidi ya pesa ya Uganda, angalia kwa sasa katika exchange rate kwa sasa inaifukuza pesa yetu kwa kasi kubwa. Pesa ya Kenya(KSHS) hatuifati hata kidogo.
Tunakwama wapi katika hili? Tujiulize kama watanzania. Je ni uchumi wa dunia ndo umavurugika?au ni kuyumba kwa uchumi wa nchi? Au washindani wetu wamekuza chumi zetu?
Mungu ibariki Tanzania

Uwezo wake mdogo sana, haya mambo yanahitaji maarifa kiongozi sio hawa jamaa wa mwisho wa mwezi wakakinge na kusubiri uchaguzi mwingine. Phd za kukariri na kucopy haziwezi kutatua matatizo zaidi ya kuyaanzisha, ukimchokonoa zaidi atataka kuongeza matozo zaidi ndo akili ilipoishia bahati mbaya!
 
Hah et Dr!

Nakikumbuka kitabu cha A man of the people vile namna viongozi walikuwa wanapata Doctorate kisa wapo serikalini!
 
Hali sio hali nchini hususani kwenye uchumi wa nchi na mauzo na manunuzi. Gharama ya bidhaa iko juu sana, vyakula na bidhaa nyingine iko juu kupindukia. Ukienda kila kona ya nchi hali ni mbaya.

Kodi ni kubwa sana. Watu wanashindwa kufanya biashara. Biashara inafungwa, watu wanahifadhi pesa zao katika mfumo wa dola na kuficha pesa zao na sio Benki bali sehemu nyingine kusikojulikana ili kulinda mitaji yao.

Watu wanafanya biashara, kiwango cha faida katika biashara kimepungua kwa kiasi kikubwa hadi kupelekea watu kupoteza muda katika biashara isiyo na tija.

Ukirudi kwenye ubadilishanaji wa Dola ndo usiseme. Ukienda kwenye maduka ya kubadilishanaji fedha za kigeni, kupata dola ni shida, unawekewa kiwango cha kubadilisha fedha. Zaidi ya hapo hupati huduma.

Thamani ya fedha yetu ya kitanzania inashuka kwa kasi kubwa mno. Linganisha pesa ya Tanzania na Uganda, pesa yetu ilikuwa na thamani kubwa sana dhidi ya pesa ya Uganda, angalia kwa sasa katika exchange rate kwa sasa inaifukuza pesa yetu kwa kasi kubwa. Pesa ya Kenya(KSHS) hatuifati hata kidogo.

Tunakwama wapi katika hili? Tujiulize kama watanzania. Je ni uchumi wa dunia ndo umevurugika? Au ni kuyumba kwa uchumi wa nchi? Au washindani wetu wamekuza chumi zetu?

Mungu ibariki Tanzania
FINANCIAL INSTITUTIONS ziko too commercial.

Banks za Taifa zinapaswa kuwa na Strategic Lending lakini HAZINA MITAJI.

Kwa hivo ni vigumu kujenga Strong Economy wakati wananchi wako huwezi kujua ni wangapi wanashiriki Kwenye ukuaji wa Uchumi na kwa Kiasi gani!

Bank za Serikali zingetafutiwa Pesa kwa Makusudi na Wivu Mkubwa.

Kama ilivyo kwenye REA ni Afadhali tukubali kila lita tuweke 50/=kwa ajili ya kuraise Capital kwa Mabank yetu!

Areas of Lending or Invest Heavily:
1.Manufacturing(especially Natives)
2.Moder Agriculture and Livestock Keeping
3.Construction Indudtry
4.Minerals
5.Tourism
6 Renewable Energies
7.Research AND INNOVATION.

Serikali ikiwekeza kwenye Maendeleo hayo kwa Makusudi itatuchukua miaka 5 tu na Nchi itakuwa very Stable Economically!



Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Hali sio hali nchini hususani kwenye uchumi wa nchi na mauzo na manunuzi. Gharama ya bidhaa iko juu sana, vyakula na bidhaa nyingine iko juu kupindukia. Ukienda kila kona ya nchi hali ni mbaya.

Kodi ni kubwa sana. Watu wanashindwa kufanya biashara. Biashara inafungwa, watu wanahifadhi pesa zao katika mfumo wa dola na kuficha pesa zao na sio Benki bali sehemu nyingine kusikojulikana ili kulinda mitaji yao.

Watu wanafanya biashara, kiwango cha faida katika biashara kimepungua kwa kiasi kikubwa hadi kupelekea watu kupoteza muda katika biashara isiyo na tija.

Ukirudi kwenye ubadilishanaji wa Dola ndo usiseme. Ukienda kwenye maduka ya kubadilishanaji fedha za kigeni, kupata dola ni shida, unawekewa kiwango cha kubadilisha fedha. Zaidi ya hapo hupati huduma.

Thamani ya fedha yetu ya kitanzania inashuka kwa kasi kubwa mno. Linganisha pesa ya Tanzania na Uganda, pesa yetu ilikuwa na thamani kubwa sana dhidi ya pesa ya Uganda, angalia kwa sasa katika exchange rate kwa sasa inaifukuza pesa yetu kwa kasi kubwa. Pesa ya Kenya(KSHS) hatuifati hata kidogo.

Tunakwama wapi katika hili? Tujiulize kama watanzania. Je ni uchumi wa dunia ndo umevurugika? Au ni kuyumba kwa uchumi wa nchi? Au washindani wetu wamekuza chumi zetu?

Mungu ibariki Tanzania
Huyo ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom