Dereva Mzembe asababisha vifo vya watu 10 baada ya lori kusombwa na maji kwenye mto uliofurika

Sababu ninayoiona mimi hapa ni tofauti na hii uliyoandika, hilo lorry kutembea juu ya mchanga wa mtoni ndio sababu yake kuanguka na kuzama.

Kwasababu licha ya uzito wa lorry, lakini kawaida nature ya mchanga haiwezi kuhimili kitu kizito { mchanga unamomonyoka kirahisi} hivyo tairi za lorry zikakosa balance zilizohitaji chini ya maji ili ziendelee kujishika chini na lorry kuendelea na safari, ndio maana lorry likasogezwa mpaka kwenye kingo ya mto na hatimaye kuanguka.

■ Hapa ni sawa na wewe ukiwa unazama mahali, lazima utafute kitu chenye kuendana na uzito wako ili kikupe support usichukuliwe na maji, lakini ukijishika kwenye kitu kisicho na uzito sawa na wako, lazima utazama.

Sababu uliyoitoa wewe ningeiamini endapo hilo lorry lingekuwa linatembea juu ya barabara ya lami pamoja na huo uzito wake, kisha nione kama lingezama, au kama unao huo mfano niwekee hapa niuone.
Umeongea mengi lakini ukweli ni Tairi kuwa na upepo kama mdau alivyokwisha elezea. Zaidi tembelea mtandaoni ukajifunze.
 
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...
Mkuu,
Mataili ya magar Yana UPEPO kwenye maji yanakua boya (Yana elea juu juu) so its obvious kupelekwa na maji
 
Poti Akili zako za Kufikiri umeziacha Chumbani kwa Mkeo au? Serikali katika huu Upuuzi wa Dereva wa Lori na hao Waliokufa inaingiaje? Sehemu zingine Hatarishi za Kijamii huwa pia tunasubiri Maelekezo ya Serikali / Mamlaka kutuongoza na kutusimamia? Unaniaibisha mno mwana Mkoa wa Mara ( Poti ) Mwenzako sawa Mkuu? Acheni wafe tu hakuna namna na GENTAMYCINE huwa sina Huruma kwa Wapumbavu wa Mfano wao na huyo Dereva wao pia.
Nimekupata, ngoja wafe ndio Akili ziwaingie
 
Ingeweza kupita kama barabara ingekuwa ni ya lami,lakini ikiwa ni ya mchanga kila tairi linapokanyaga maji yanafukua chini, yake kwahiyo kinachofuata ni gari kupoteza muelekeo...
Wewe ndie mwenye akili zaidi ya wote waliochangia huu uzi. BIG Up.

Na inawezekana kabisa, wazo la kudhani gari ingepita dereva alikuwa nalo kwa kutumia experience ya barabara ya lami, asijue pale alikuwa anatembea kwenye mchanga..

Ajabu unaona ndezi mwingine anakuja hapa na habari ya meli haizami shilingi inazama..
 
Upthrust Theory si ndiyo Mkuu au? Sikuwa vibaya sana katika Physics japo nilichukua Masomo ya wenye Akili kubwa ya Arts.

1. Mkuu "Fluid dynamics, Fluid mechanics" ni taaluma pana zinazamiwa na hata kubobewa!

2. Ngoja nielimishe chawa huyu, mjini ataolewa! Uchawa wake kama mwingine wowote ni kazi ya laana!
 
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...
Traction contact is reduced to almost zero. So the buoyacy takes place
Ingekuwa ni Tanzania haki ya Mungu huyu Dereva wa hili Lori ningegawana nae Majengo ya Serikali kwani ni mpumbavu sijapata kuona.

Yaani anaona kabisa mto umefurika na watu wa pande zote mbili wanamuonya asilipitishe lori lake ambalo pia lilikuwa limebeba nadhani mchanga na matofali ila kwa ujeuri wake akaendelea kutaka Kuvuka na hatimaye lori Kusombwa.

Inasikitisha na inakera mno tu.

View attachment 2975159
Ingekuwa ni Tanzania haki ya Mungu huyu Dereva wa hili Lori ningegawana nae Majengo ya Serikali kwani ni mpumbavu sijapata kuona.

Yaani anaona kabisa mto umefurika na watu wa pande zote mbili wanamuonya asilipitishe lori lake ambalo pia lilikuwa limebeba nadhani mchanga na matofali ila kwa ujeuri wake akaendelea kutaka Kuvuka na hatimaye lori Kusombwa.

Inasikitisha na inakera mno tu.

View attachment 2975159
The reason is, the traction is reduced to almost zero. So the buoyacy effect takes place.
 
Yaani unataka Watu wapoteze muda kuwaokoa Wapumbavu wa Kujitakia Shida na Umauti wa wazi wazi Wenyewe Mkuu?
Uhai hauna repair mkuu, waokolewa hata kama ni wapumbavu.

Kama kulikua na uwezekano wa kuokolewa na waokolewe.
Yaani wafe kisa tu ni wapumbavu, hiyo sio sawa.
 
Kwangu Mimi Dereva na Waliopanda ( hata kama Wamekufa ) wote ni Wapumbavu tu na wala sioni Aibu kuwaita hivi.
Wapuuzi sana, dereva alikuwa kasimamisha gari ila kuna jingine likapita ndio huyo akaamua kuiga, wengi wa walikuwa nyuma walipandia Hilo gari hapohapo
 
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...
Umesomea chuo gani udereva? Mbona inafahamika maji yakiwa na kina cha 30 Centimetre(urefu wa rula) yanaweza kuondosha gari! ...maana matairi ya gari yanakuwa kama Boya kwenye maji
 
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...
Hahahahaaa

Wewe ulikua unadoji masomo ya archimedes.

Matairi ya kwenye gari yana-act kama maboya, no matter uzito wa gari, volume ya maji ikizidi tu ngoma inaelea na inafuata direction ya maji.
 
Wapuuzi sana, dereva alikuwa kasimamisha gari ila kuna jingine likapita ndio huyo akaamua kuiga, wengi wa walikuwa nyuma walipandia Hilo gari hapohapo
Acheni Wafe mnawaonea Huruma ya nini? Hivi ilihitaji Degree hapo kujua kuwa Maji hayo ya Mto ni mengi na Hatarishi Kwao? Wala sisikitiki kwa huko Kuzama na Kufa Kwao kwani kwa 100% ni kama vile Walishapanga kuwa wanataka Kufa katika Mafuriko hayo labda ili wakapumzike na Maisha magumu waliyonayo duniani.
 
Madereva wazembe, walevi, wabeba murungi miraa n.k inabidi wapigiwe wimbo huu redioni KBC, RADIO MAISHA, Jalang'o FM, Jaluo dot Kom n.k kila siku kuhusu umuhimu wa usalama kazini na kuendesha kwa maarifa makubwa.....

MADEREVA WENYE FUJO
2022 31 January video from Ben Nkonya

View: https://m.youtube.com/watch?v=5NI7lDRYQaM
 
Uzembe Ni Mamlaka husika kutoifunga hiyo barabara Kwa mafuriko. Constructive manslaughter/ corporate manslaugher inawahusu Kama kweli tupo serious Na uhai wa watu
Huu mchezo wa kutaka kulaumu serikali kila saa bila kuangalia wajibu wetu utatuua wa Africa sanaa, yan wew unaona hio barabara ilivyo hivo na maji bado unataka watu waje waweke magogo kuifunga usipite ? Umekuwa kuku wew ? Kwamba huwez tumia akili kuona hapo hapapitiki ? Mamlaka hazina kosa hapo, ni upuuzi wa waliokuwepo hapo
 
Back
Top Bottom