Dereva Mzembe asababisha vifo vya watu 10 baada ya lori kusombwa na maji kwenye mto uliofurika

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,852
109,552
Ingekuwa ni Tanzania haki ya Mungu huyu Dereva wa hili Lori ningegawana nae Majengo ya Serikali kwani ni mpumbavu sijapata kuona.

Yaani anaona kabisa mto umefurika na watu wa pande zote mbili wanamuonya asilipitishe lori lake ambalo pia lilikuwa limebeba nadhani mchanga na matofali ila kwa ujeuri wake akaendelea kutaka Kuvuka na hatimaye lori Kusombwa.

Inasikitisha na inakera mno tu.

 
Ingekuwa ni Tanzania haki ya Mungu huyu Dereva wa hili Lori ningegawana nae Majengo ya Serikali kwani ni mpumbavu sijapata kuona.

Yaani anaona kabisa mto umefurika na watu wa pande zote mbili wanamuonya asilipitishe lori lake ambalo pia lilikuwa limebeba nadhani mchanga na matofali ila kwa ujeuri wake akaendelea kutaka Kuvuka na hatimaye lori Kusombwa.

Inasikitisha na inakera mno tu.

View attachment 2975159
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...
 
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...
Hivi kwa Utaalam wako Mkuu unadhani kati ya hao Raia unaowaona Wamezama Majini Mtoni kutakuwa na Aliyepona hapo?
 
Hivi kwa Utaalam wako Mkuu unadhani kati ya hao Raia unaowaona Wamezama Majini Mtoni kutakuwa na Aliyepona hapo?
Wapo waliopona naamini, nikiwatazama waliokuwa wanaelea baada ya lorry kuzama naona wengi vichwa vyao vipo juu ya maji, kama wali maintain hiyo hali mbele kidogo naona wingi wa maji ulikuwa unapungua maji yalikuwa yanasambaa zaidi.
 
Nawewe unakua mpumbafu kama wakenya?¿

Hujui gari linatembea tairi na tairi zina upepo though zinaelea??

Watanzania hatuko hivi
Sababu ninayoiona mimi hapa ni tofauti na hii uliyoandika, hilo lorry kutembea juu ya mchanga wa mtoni ndio sababu yake kuanguka na kuzama.

Kwasababu licha ya uzito wa lorry, lakini kawaida nature ya mchanga haiwezi kuhimili kitu kizito { mchanga unamomonyoka kirahisi} hivyo tairi za lorry zikakosa balance zilizohitaji chini ya maji ili ziendelee kujishika chini na lorry kuendelea na safari, ndio maana lorry likasogezwa mpaka kwenye kingo ya mto na hatimaye kuanguka.

■ Hapa ni sawa na wewe ukiwa unazama mahali, lazima utafute kitu chenye kuendana na uzito wako ili kikupe support usichukuliwe na maji, lakini ukijishika kwenye kitu kisicho na uzito sawa na wako, lazima utazama.

Sababu uliyoitoa wewe ningeiamini endapo hilo lorry lingekuwa linatembea juu ya barabara ya lami pamoja na huo uzito wake, kisha nione kama lingezama, au kama unao huo mfano niwekee hapa niuone.
 
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...
Ina mana hamjawahi kujua kwamba matairi na maboya hayana tofauti!???hata kama gari Ina mzigo kiasi Gani, ikiingia kwenye maji tairi zinaanza fanya kazi yake kama boya, ni lazima zielee
 
Uzembe Ni Mamlaka husika kutoifunga hiyo barabara Kwa mafuriko. Constructive manslaughter/ corporate manslaugher inawahusu Kama kweli tupo serious Na uhai wa watu
 
Dereva ni mzembe sana kwa kweli, na waliokubali kupanda pia ni waajabu sana kifikra.....Kwa waliopoteza maisha RIP. ila najiuliza sana.....hivi kwa nini waafrica hatutaki kufanya swala la kujua kuogelea kuwa ni moja ya ujuzi muhimu kwa kila mtu kua nao.... Binafsi ningelikua miongoni mwa hao jamaa, baada ya gari kunituma majini basi ningeanza tu kuzichapa kasia za mikono taratibu huku mara moja moja nikipiga (kantundu), yani ile unazama kabisa chini ya maji na kupiga kasia za chinichini na mwisho nakua nimevuka kiulaini kabisa.
 
Hao jamaa juu ya lori mbona hawakuruka
Na wao ni Wapumbavu hivi unaona kabisa Mto umefurika halafu bado tu upo katika Lori. Sometimes wanaokufa Kizembe hivi tusiwe tunawaonea Huruma bali tuacheni tu waende kwani inakera kama siyo kuudhi pia. Umeona hapo hizo Njemba mbili zilizokuwa zikidandia Lori awali baadae zilipoona Mochwari inakaribia Kwao wakaachia na kuwaacha hao Majuha wakamwage Mtoni?
 
Ingekuwa ni Tanzania haki ya Mungu huyu Dereva wa hili Lori ningegawana nae Majengo ya Serikali kwani ni mpumbavu sijapata kuona.

Yaani anaona kabisa mto umefurika na watu wa pande zote mbili wanamuonya asilipitishe lori lake ambalo pia lilikuwa limebeba nadhani mchanga na matofali ila kwa ujeuri wake akaendelea kutaka Kuvuka na hatimaye lori Kusombwa.

Inasikitisha na inakera mno tu.

View attachment 2975159
Nature huwachukua mapema wajinga
 
Na wao ni Wapumbavu hivi unaona kabisa Mto umefurika halafu bado tu upo katika Lori. Sometimes wanaokufa Kizembe hivi tusiwe tunawaonea Huruma bali tuacheni tu waende kwani inakera kama siyo kuudhi pia. Umeona hapo hizo Njemba mbili zilizokuwa zikidandia Lori awali baadae zilipoona Mochwari inakaribia Kwao wakaachia na kuwaacha hao Majuha wakamwage Mtoni?
Yaani wanaona kabisa ngoma inaelekea kuzama wanakaa kusubiri, mi ningeruka maama naona kwenye barabara washikaji wanatembea tu fresh. Watu wanachoshindwa kujua maji hata kama ni kidogo ikiwa hahajatuama ni shida, matairi hayagusi ardhi
 
Uzembe Ni Mamlaka husika kutoifunga hiyo barabara Kwa mafuriko. Constructive manslaughter/ corporate manslaugher inawahusu Kama kweli tupo serious Na uhai wa watu
Acheni kila Kitu kutupia tu lawama Mamlaka / Serikali sawa? Kwahiyo ukiambiwa kuwa Demu fulani ana UKIMWI na Usimkaze Wewe utataka hadi Waziri wa Afya / Rais wa Nchi aje Chumbani Kwako Ghettoni akuzuie Usimbandue huyo Demu? Siku zingine jitahidi ujue Kufikiri vyema kwani kwa leo Umechemsha mno Kifikra hapa.
 
Dereva ni mzembe sana kwa kweli, na waliokubali kupanda pia ni waajabu sana kifikra.....Kwa waliopoteza maisha RIP. ila najiuliza sana.....hivi kwa nini waafrica hatutaki kufanya swala la kujua kuogelea kuwa ni moja ya ujuzi muhimu kwa kila mtu kua nao.... Binafsi ningelikua miongoni mwa hao jamaa, baada ya gari kunituma majini basi ningeanza tu kuzichapa kasia za mikono taratibu huku mara moja moja nikipiga (kantundu), yani ile unazama kabisa chini ya maji na kupiga kasia za chinichini na mwisho nakua nimevuka kiulaini kabisa.
Kwangu Mimi Dereva na Waliopanda ( hata kama Wamekufa ) wote ni Wapumbavu tu na wala sioni Aibu kuwaita hivi.
 
Back
Top Bottom