Data Za Mchepuko Wako Ninazo. Jishtaki Yote Nakusamehe, Bisha nithibitishe Na Kuvunja Ndoa

You in my thread, over your dead body.... Tehehee, you know mpaka thread zangu nilizopost 3 yrs ago...! What a blabber mouth !!!!!!!

Nooooooooope! THAT WAS SENT TOME IN PM! You know you never wonder how come i have every nasty detail about any person who hates on me. The minute you challenge me people start sending me shit to use against you!:lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol: Like that of yours was deliverd by HAND! Hahahaaa! People enjoy when i CRUCIFY PIECE OF SHIT LIKE YOU! Because i do it in an entertaining manner!

Like i said OVER MY DEAD BODY ILL EVER GIVE AN AMOEBA'S A.SS ON ANY SHIT COMING FROM YOU! :lol::lol::lol::lol:
 
Nooooooooope! THAT WAS SENT TOME IN PM! You know you never wonder how come i have every nasty detail about any person who hates on me. The minute you challenge me people start sending me shit to use against you!:lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol: Like that of yours was deliverd by HAND! Hahahaaa! People enjoy when i CRUCIFY PIECE OF SHIT LIKE YOU! Because i do it in an entertaining manner!

Like i said OVER MY DEAD BODY ILL EVER GIVE AN AMOEBA'S A.SS ON ANY SHIT COMING FROM YOU! :lol::lol::lol::lol:

Wee kichaa kweli.... you offered me q&a eti rehab shit!!! Oooh i will help you.... Me???? Kichaaa kama wewe...!?
 
Kwenye dhambi ni dhambi tu. Mume wa kumwambia kabisa kua ni kweli ulizini halafu akakusamehe sijui kama yupo. Na akikusamehe ndio ujue ndoa ishaingia doa, hakuna amani tena.
Yani ningekataa katakata!! Hata aje na ushahidi wa video. Kama kuachwa na niachwe tu na sitajilaumu kwa kukataa. Maana kama anajua na anaweza kusamehe iweje atake na ushahidi toka kwangu?
Hahahahaha, wanawake wengi wanaochepuka huo ndo msimamo wenu
 
Wee kichaa kweli.... you offered me q&a eti rehab shit!!! Oooh i will help you.... Me???? Kichaaa kama wewe...!?

HAHAHAHAAAAAAAAAAAAA! OVER MY DEAD BODY! PIECE OF SHIT LIKE YOU WILL BE A TOTAL BORE!!!!!!!! I never said i will hellp, because I DONT GIVE AN AMOEBA ASS EVEN IF YOU DIE, OR YOU ARE A FAG, OR WHATEVER! You are just a piece of shit to me that is trying so hard to get my ttention. I seriously dont understand why since i dont care well i doesnt matter.
 
uwiii kajikamatisha mbwa mwenyewe looo...... watu wanakana bana sasa yeye kutishiwa nyau kidogo tu mmmhhhh hajaishi na watu wabishi mjini
 
Kataaa mpk unakufa!!
Hata ukutwe kiunoni!
Sembuse mtu yuko usoviet huko?
Psyuuuuuuuuuuuuuuu !!

Ushawahi kuusikiliza ule wimbo wa Shaggy wa WASN'T ME? Basi Bidada angeusikiliza ule kama mara kadhaa ili apate ujasiri wa kuruka kimanga!!
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mwenzatu mwanadada yamemkutaaa. Mama wa watoto 2 wa utotoni, 27 years 2 kids. Mumewe alikuwa nje kwa masomo miaka 3, scholarship yenyewe ilikuwa ya njaa, njaa basi ndo kujibanaaaa, na kjibanuaa mpaka likizo hakuja ana save tu. Miaka 2 anapiga kitabu tu huko nchi za usoviet.

Bi dada kubakia huku, not getting any for 2 yrs aint a joke, lahaula kikajitokeza kingasti. Kingasti chenyewe ni X boyfriend ambae hana mke. Afu kiukweli bi dada aliolewa njaa tu. Kamaliza chuo kaona kurudi kijijini kwao nomaa, kuliko akae anamuoshea vyombo maza ake mdogo bora aolewe. Mume mtu mzimaa, mie nampaga shikamooo japo anaizugiaga zugiaga. Njaa mbaya sanaaa. Si unajua mwenye njaa hajivungi? Kaolewa. Kisa cha kuzaa kwa pupa ni mapenzi hakunaa, bora awe na watoto awapende watoto wamtie nguvu za kuvumilia.

Yule mtu mzima kwenda u soviet huko bi dada si ndo kupasha kiporo na kingasti chake cha zamani, dume la mbegu, kazi anaiwezaaa, mashetani yake anayajulia yanahitaji nini wakati gani na ayapinge vipi. Looooooooh! Kumbe it has been so long, she didnt realise what she was missing. Muonja asali haonji mara moja mwenzanguuu kanogwaaa kanogewaaa ile ile. Na hivi kingasti it wasnt about the money, ana kazi yake nae ya kuganga njaa tu, bi dada nae anashika chaki tu na mtu mzima ni afsisa elimu. It was about sex i guess.

Wakaona guest zinawatia shoti 40k kila mechi si ndogo, ndo bi dada kuanza kuonekana geto kwa kingasti, mda mwingine analala huko huko, mara amlete kingati ndani, maadam mashetani yake yanapugwaa baridaaa. Alichokosea kutokumfukuza yule msichana wa kazi ndugu wa mumewe. Maana mtu mzima akipiga simu kuongea na watoto bi dada anamwaga ubuyu, mama kabadilika sijui nini umbea tu mtoto wa kike kidomo juu juu kma breki ya ndege. Ndo kumtumia watu wamchunguze.

Bwana karudi January, bi dada hajui kama zege ukishalikoroga halirudi kuwa cement kawahi airport na miua yake. (Who does that these days like 1960s). Wamefika nyumbani watu wote wameletewa zawadi hadi mie kipembaaa, bi dada hata leso hajaletewa. Watu tumekula tumeondoka ndo vita kuanza. Anitumia sms natetemekea mwenzio sijui kajuaaa. Nikamwambia acha ubw.ege wewe usijibu chochote akikubana sanaaa kimbiaaa. Kwanza atamdanga nani huko nje wazungu wanavotembeza papuchi amekaa 2 yrs without getting any? Thubutuuuuu. Alikuwa anabanjuka kama kawaida. La muhimu we kimbia vikao vikianza tutachimba chimba wabongo walioenda ile scholarship ushahidi nae alichepuka haukosekani. Basi ndo kupata ujasiri wa Simba dume. (Sijui inakuwaje hata kama umekosa ukigundua mwenzio kakosa pia huzingatii uzito wa makosa yako unaona ngoma droo)

Weeeeeeee! Mwanaume kaja na PLEAD GUILTY, ujielezee makosa yako yooote, mwanzo hadi mwisho , ulilala nae wapi, lini saa ngapi usiache hata nukta, manake yeye mtu mzima ana mkanda mzima, atalinganisha akigundua hajamficha kitu,na kwa kusema ukweli inaonesha kajuta na kujua kosa lake, watayamaliza kiutu uzima kwani kuchapiwa ni siri ya ndani, na yeye amekula chumvi, anataka wayamalize ila itategemea nia yake yeye bi mkuludawa kuisolve hio equation kama atatoa ushirikiano unaotakiwa au la. Na kama anajiamini abishe kwamba sio kweli, yeye mtu mzima ataita vikao na kutoa ushahidi woooooooooote, na kisha taandika talaka 3 hapo hapo maanake hata akitaka kumrudia haiwezekani tena mpaka aolewe na mtu mwingine leo? Kikubwa atacho mpa talaka sio kucheat bali ni kuonesha Kibri cha hali ya juu. Kwanza kamcheat, pili kukana kosa manake ulizamiria kukosa na ukajipanga kuikwepa adhabu ya kosa, tatu hawezi kuanika mambo yake ya ndani ya kuliwa mkewe kwa wanafamilia woote afu aendelee kuishi nae, manake kila mtu atamuona lafa, na kumnanga behind his back, litizame kwanza zee zima mkewe analiwa na vitoto vidogo. Hawezi kuishi hivo hata siku moja, bora ijulikane mkewe alimcheat kampiga talka 3 on the spot, pambaffffff!

Bibie jakamoyo likamshika kwanza hajui yule bwana anajua nini, kambiwa na nani, huenda he is just bluffing or he realy knows everything. Akachukucha akachagua Kujinyonga mwenyeweeeeeee, kajihukumu mwenyewe na kujimaliza mwenyeweeeeeeee. Mayo weeeeeee! Ndo kuomba msamaha na ku spill the beans A to Z. Chinekeeeeeeeeeeee! Mimi bwana i would have trusted my fate to fight for me. Ninge kufa kibingwaaa. Bora aniache kwa nguvu zake sio nijihukumu mwenyewe.Mwenzie anamsikiliza tu kama redio hatii neno. Basi ndo kujimalizaaaaaaaa, kajichimbia kaburi na kujizikaa kabisaaa. Akakaa anamngoja Israel mtoa roho za watu atoe tamko.

I dont know what is wrong with people, one minute they want to know the whole truth, the next minute they widh they didnt know the whole truth. Akamwambi yaani toka niipate hii habari nilijiambia mke wangu huweziii, hapa nailivokuwa nakutega nilitegemea utabishaaa katu katu nijue ni uchonganishi tu wa watu, lakini kwa haya ulio niambia najuuuuta kuku uliza. Siwezi kujifanya siyajui na siamini kama kweli umekuwa mrahisi kiasi hiko. Naomba uende nyumbani nitakwambia urudi maana naweza kukuchinja bureeee, huu mtihani na sie binadamu subira yetu ndogo. Nenda kwa mamdogo mwambie yaliotokea nikiwa tayari nitaweka kikao. Makubwaaaaaaaa! Toka mwezi wa kwanza yupo kwao, watoto kawaacha. Kingasti tena utamu umeingia shubiri haoni hata kama mtamu. One minute you rist everything to get kingasti the second you risk everything to get your husband back!

Mi nikamwambia shoga ukitaka usamehewe japo maisha matamu pull a suicide stunt unywe walau vipiriton vichache uache wosia mrefuu wa kuvunja moyo kumuomba mumeo akusamehe kwa yotee, ulitelezaa tu utaendelea kumpenda hadi maisha yajayo, blah blah blah the usua poetic staff, afu mama mdogo unakuwa umemshirikisha wanakulaza Amana kidogo. It might not get you him back lakini hearing za ukoo zitawahi maana ushakuwa suicidal tenaa ila huu ukimyaa huu Utasikia kaoa tu. Its scary but it works kuna mtu aliipata ndoa yake tena maana eti alienda kujinyonga akawa anapiga kelele juu ya stuli! Come on! Eti wakamuoka! Men are weak, his husband bought it just like that (itakuwa walimpulizia kidogo na kumfunika kwenye chungu sio kirahisi rahisi), wamerudiana naanachepuka kama kawaida. Ila bi dada yuko kwao bwana anangoja kujua itakuwaje. The problem with women today they want to stay married and still fu.ck every body else at the same time. We live in crazy times.
Hapo mwisho umemalizia vizuri
 
AND THEY MUST READ WHATEVER I WRITE!!!!!!!!! Hahahahaaaaaaaaaaaaa! JUST CONFUSED ADMIRERS!

Na mimi lazima niwajibu, Alahamdulilah wananijazia uzi, bila hivo ningedoda ujue. Unaweza shanga fun simjibu ila HATER namjibu ukiachi kwamba naturally napenda kuchamba ila I KEEP MY FRIENDS CLOSE AND MY ENEMIES CLOSER!!!!!!!
Ha ha ha ila Una ka potential. Hivi unaweza simulia orally kama unavyoandika?
 
Back
Top Bottom