Dar es Salaam: Uzuri uliojificha vol.2

greater than

JF-Expert Member
Sep 22, 2018
963
1,567
Dar es Salaam Dar es Salaam Dar es Salaam, Jiji la pili kwa ukubwa Afrika Mashariki. Limetajwa katika tungo za nyimbo kibao na wasanii wa kila kizazi.Jiji lenye mjumuiko wa makabila yote 126 napa nchini na watu wa mataifa mbalimbali.
Lakini limekuwa likijulikana kama Jiji la kibiashara zaidi ,Jiji la kusaka pesa,Kanakwamba Mazuri mengi ya jiji yamewekwa mfuko wa Nyuma.
Uzi huu ni muendelezo wa Makala maalum zenye kukujuza juu ya mazuri ya Jiji hili

Kwa wote wenye kupenda kutalii na kufurahia Uzuri wa asili na kujengwa katika mandhari ya Miji na Majiji...msiende mbali, msiumize kichwa kwani "Dar es Salaam" imesheeni sehemu lukuki ambazo zitakupa tabasamu.

Kuna sehemu kibao ambazo inawezekana ulikuwa haujui,ila kupitia nyuzi hii,nimetazamia kukujulisha...

Katika Volume ya Pili ya Makala ya DAR ES SALAAM : UZURI ULIOJIFICHA, tutaangazia zaidi maeneo na vivutio vilivyo ndani ya Wilaya ya Ubungo,Temeke na Kigamboni.
Karibuni Dar es salaam
 
tutaangazia zaidi maeneo na vivutio vilivyo nje ya Wilaya ya Ubungo,Temeke na Kigamboni.
Karibuni Dar es salaam

Vivutio vilivyo NJE ya wilaya ya ubungo,Temeke na Kigamboni

Kwa hiyo tunaongelea Kinondoni na Ilala
 
KISIWA CHA SINDA:I
Kata : Kibada
Wilaya : Kigamboni
Historia : Ni moja kati ya visiwa vinne vilivyopo katika Pwani ya Kusini mwa Dar es Salaam.Kilifikiwa kwa mara ya kwanza na Ibn Majid mwaka 1470.
Hakuna makazi ya watu kisiwani.
Kisiwa kina
  • Fukwe zenye mchanga mweupe
  • Msitu,Mibuyu ,
  • Ndege na
  • Uoto wa mikoko
  • Mazaria ya samaki na matumbawe
  • Mgahawa
Utafaidi :
  • Kuogelea
  • Canoeing
  • Picnic
  • Utembezi kwenye msitu
  • Kuona ndege
  • Kuona gofu
  • Kula vyakula vya baharini
sindaisland_kigamboni_424ab65e1c664263b2fd10a6a090ea4c.jpg

Mtalii ndani ya Fukwe ya Sinda
sindaisland_kigamboni_51cb7208d9964697b883e162770a025c.jpg

Pango ufukweni
sindaisland_kigamboni_be12ddfd600e4594b027ba2ccc789caa.jpg

Ndege kwenye msitu wa Sinda
sindaisland_kigamboni_0e6b4a6b110a46bba7197b3b64c93f01.jpg

Watalii ndani ya Sinda
sindaisland_kigamboni_c60b524d6d3a4942ab87c5b992e46122.jpg

Gofu katika Kisiwa cha Sinda
sindaisland_kigamboni_4f31f6c7d869445e900a9e0b5c448f73.jpg

Hapa ni Sinda wala si Maldives
sindaisland_kigamboni_ab46cec6f5f04c37974b5a117e097a69.jpg

sindaisland_kigamboni_2463437f3ddd4c5c81a2d260c6f3ae01.jpg

Msosi mtamu
sindaisland_kigamboni_df59c7cf7abb4dc29cb325e7f1506eec.jpg
sindaisland_kigamboni_9c4a3c2808d9482b9b18ea2ffb3f019c.jpg

Unafikaje :
  • Kutokea Makumbusho Chukua usafiri mpaka Kivukoni,panda pantoni na uvuke ,fika stendi ya feri
  • Kutokea Karume Panda basi ya Kigamboni pitia daraja la Nyerere na ushuke mwisho wa route,ambapo ni stendi ya feri.
  • Panda gari ya Kibada/Cheka ,Ushuke njia ya kwenda kipepeo beach.
  • Hotel ya Kipepeo kuna usafiri wa boti kwenda Sinda
Gharama :
  • Nauli : Daladala ...3,000
  • Boat+Kiingilio+Chakula+Kinywaji....50,000 kwa mtu mmoja
Usalama : 95 %
Mda : saa 4:30 asubuhi - 10:30 jioni.
 
KISIWA CHA SINDA:I
Kata : Kibada
Wilaya : Kigamboni
Historia : Ni moja kati ya visiwa vinne vilivyopo katika Pwani ya Kusini mwa Dar es Salaam.Kilifikiwa kwa mara ya kwanza na Ibn Majid mwaka 1470.
Hakuna makazi ya watu kisiwani.
Kisiwa kina
  • Fukwe zenye mchanga mweupe
  • Msitu,Mibuyu ,
  • Ndege na
  • Uoto wa mikoko
  • Mazaria ya samaki na matumbawe
  • Mgahawa
Utafaidi :
  • Kuogelea
  • Canoeing
  • Picnic
  • Utembezi kwenye msitu
  • Kuona ndege
  • Kuona gofu
  • Kula vyakula vya baharini
View attachment 2975327
Mtalii ndani ya Fukwe ya Sinda
View attachment 2975328
Pango ufukweni
View attachment 2975331
Ndege kwenye msitu wa Sinda
View attachment 2975334
Watalii ndani ya Sinda
View attachment 2975336
Gofu katika Kisiwa cha Sinda
View attachment 2975340
Hapa ni Sinda wala si Maldives
View attachment 2975341
View attachment 2975343
Msosi mtamu
View attachment 2975344View attachment 2975345
Unafikaje :
  • Kutokea Makumbusho Chukua usafiri mpaka Kivukoni,panda pantoni na uvuke ,fika stendi ya feri
  • Kutokea Karume Panda basi ya Kigamboni pitia daraja la Nyerere na ushuke mwisho wa route,ambapo ni stendi ya feri.
  • Panda gari ya Kibada/Cheka ,Ushuke njia ya kwenda kipepeo beach.
  • Hotel ya Kipepeo kuna usafiri wa boti kwenda Sinda
Gharama :
  • Nauli : Daladala ...3,000
  • Boat+Chakula....50,000
Usalama : 95 %
Mda : saa 4:30 asubuhi - 10:30 jioni.
Nitaja Tembelea Siku Moja Inshallah Endelea Kumwaga sela Tupate Madini
 
MLIMANI CITY:II
Kata : Ubungo
Wilaya : Ubungo
Historia : Mlimani City ni mjumuiko wa Soko kubwa la bidhaa zilizochakatwa, Kumbi za Mikutano na Makazi.Mlimani City ilizinduliwa mwaka 2006.
Ndani yake kuna
  • Mlimani City Mall: Ambalo ni Soko kubwa la ndani hapa nchini na lenye mfumo wa viyoyozi.
  • Mlimani Conference Cente : Ukumbi mkubwa wa matamasha na mikutano
  • Mlimani Villas : Makazi kupanga
Utafaidi :
  • Maduka ya makubwa ya kimataifa ya vifaa vya Umeme,Electronic na Mawasiliano
  • Maduka makubwa ya mahitaji ya Ndani
  • Migahawa mikubwa ya Chakula na Vinywaji
  • Ukumbi wa kutazama filamu mpya zinazotoka kimataifa
  • Michezo ya watoto
  • Huduma za Kibenki
  • Huduma za makazi
  • Huduma ofisi
  • Huduma za mikutano
images (61).jpeg

Lango kwenda maduka ya Benki
images (63).jpeg

Jengo la Ukumbi
images (62).jpeg

Mojawapo ya maduka
images (65).jpeg

Mgahawa wa chakula wa KFC
images (66).jpeg

Ukumbi wa kuonesha filamu
images (64).jpeg

Ndani ya Ukumbi wa mikutano

Unafikaje : Kutokea Makumbusho/Tegeta /Kawe ,panda gari za kuelekea Simu 2000 shuka Mlimani
Kutokea Gongo la Mboto/Segerea/Mbezi,panda gari za kwenda Makumbusho shukia Mlimani.

Gharama : Nauli....1,500 na hakuna kiingilio

Usalama : 90%
 
KISIWA CHA SINDA:I
Kata : Kibada
Wilaya : Kigamboni
Historia : Ni moja kati ya visiwa vinne vilivyopo katika Pwani ya Kusini mwa Dar es Salaam.Kilifikiwa kwa mara ya kwanza na Ibn Majid mwaka 1470.
Hakuna makazi ya watu kisiwani.
Kisiwa kina
  • Fukwe zenye mchanga mweupe
  • Msitu,Mibuyu ,
  • Ndege na
  • Uoto wa mikoko
  • Mazaria ya samaki na matumbawe
  • Mgahawa
Utafaidi :
  • Kuogelea
  • Canoeing
  • Picnic
  • Utembezi kwenye msitu
  • Kuona ndege
  • Kuona gofu
  • Kula vyakula vya baharini
View attachment 2975327
Mtalii ndani ya Fukwe ya Sinda
View attachment 2975328
Pango ufukweni
View attachment 2975331
Ndege kwenye msitu wa Sinda
View attachment 2975334
Watalii ndani ya Sinda
View attachment 2975336
Gofu katika Kisiwa cha Sinda
View attachment 2975340
Hapa ni Sinda wala si Maldives
View attachment 2975341
View attachment 2975343
Msosi mtamu
View attachment 2975344View attachment 2975345
Unafikaje :
  • Kutokea Makumbusho Chukua usafiri mpaka Kivukoni,panda pantoni na uvuke ,fika stendi ya feri
  • Kutokea Karume Panda basi ya Kigamboni pitia daraja la Nyerere na ushuke mwisho wa route,ambapo ni stendi ya feri.
  • Panda gari ya Kibada/Cheka ,Ushuke njia ya kwenda kipepeo beach.
  • Hotel ya Kipepeo kuna usafiri wa boti kwenda Sinda
Gharama :
  • Nauli : Daladala ...3,000
  • Boat+Chakula....50,000
Usalama : 95 %
Mda : saa 4:30 asubuhi - 10:30 jioni.
Wow!!!
Ahsante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom