greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 963
- 1,567
Dar es Salaam Dar es Salaam Dar es Salaam, Jiji la pili kwa ukubwa Afrika Mashariki. Limetajwa katika tungo za nyimbo kibao na wasanii wa kila kizazi.Jiji lenye mjumuiko wa makabila yote 126 napa nchini na watu wa mataifa mbalimbali.
Lakini limekuwa likijulikana kama Jiji la kibiashara zaidi ,Jiji la kusaka pesa,Kanakwamba Mazuri mengi ya jiji yamewekwa mfuko wa Nyuma.
Uzi huu ni muendelezo wa Makala maalum zenye kukujuza juu ya mazuri ya Jiji hili
Kwa wote wenye kupenda kutalii na kufurahia Uzuri wa asili na kujengwa katika mandhari ya Miji na Majiji...msiende mbali, msiumize kichwa kwani "Dar es Salaam" imesheeni sehemu lukuki ambazo zitakupa tabasamu.
Kuna sehemu kibao ambazo inawezekana ulikuwa haujui,ila kupitia nyuzi hii,nimetazamia kukujulisha...
Katika Volume ya Pili ya Makala ya DAR ES SALAAM : UZURI ULIOJIFICHA, tutaangazia zaidi maeneo na vivutio vilivyo ndani ya Wilaya ya Ubungo,Temeke na Kigamboni.
Karibuni Dar es salaam
Lakini limekuwa likijulikana kama Jiji la kibiashara zaidi ,Jiji la kusaka pesa,Kanakwamba Mazuri mengi ya jiji yamewekwa mfuko wa Nyuma.
Uzi huu ni muendelezo wa Makala maalum zenye kukujuza juu ya mazuri ya Jiji hili
Kwa wote wenye kupenda kutalii na kufurahia Uzuri wa asili na kujengwa katika mandhari ya Miji na Majiji...msiende mbali, msiumize kichwa kwani "Dar es Salaam" imesheeni sehemu lukuki ambazo zitakupa tabasamu.
Kuna sehemu kibao ambazo inawezekana ulikuwa haujui,ila kupitia nyuzi hii,nimetazamia kukujulisha...
Katika Volume ya Pili ya Makala ya DAR ES SALAAM : UZURI ULIOJIFICHA, tutaangazia zaidi maeneo na vivutio vilivyo ndani ya Wilaya ya Ubungo,Temeke na Kigamboni.
Karibuni Dar es salaam