Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,822
- 11,570
Andika zaidi mkuu....nani anayefanya hio social engineering? Ni serikali? Wafanyabiashara? Watu binafsi? Wazungu? Ni Aliens? Au nani?Hiyo ni Social engineering, hayo mambo hayatokeitokei tu brother. Fungua macho angalia mbele..
Na wanaifanyaje?