EFM na WASAFI Wanadhalilisha Tasnia ya Habari nchini

The Burning Spear

JF-Expert Member
Dec 23, 2011
3,445
8,305
Hawa watu ukifuatilia Kwa ukaribu wanachofanya siyo sahihi kabisaa

Mimi Sina taaluma ya Habari na mawasiliano Kwa uzoefu wangu Katika kufuatilia mambo haws jamaa wako OP kabisaa.

1. Wafanyakazi wao wengi siyo profesional kabisaa ni wa mjomba kamlete

2. Hawako serious Katika kuchambua mambo Kwa umakini..critical reasoning.

3. Ukitenga muda wako kuwasikiliza utaambulia makelele tu Hakuna la maana.

4. Wana uchambuzi wa magazeti na habari Wa hovyo sijawahi ona.
Waachambua magezti matatu shallow Kwa Habari moja moja Baasi Wakati tuna magazeti lukuki. na wanachambua mpira vizuri kuliko magazeti.

5 Kila mtu Anajidai ni comedian, guys simuende Cheka tu Kwa koy mzungu mkafanye stand up comedy. Tunahitaji kufurahi lakini siyo mnavyofanya.

Tunahitaji critical and intelligent radio presenters and journalists not hawa wa kuokota okota akina masanja kufanya hivyo mnakosesha wananchi haki yao kujua vitu Kwa undani.

Mass communication main purpose ni kutoa taarifa na kuelimisha jamii, na elimu itolewa haswa na wenye taaluma husika ya Habari

Tafuteni watu wenye taaluma Zao kuheshimisha Hii Tasnia, vituo vingine kiasi Fulani wanajitahidi critical reasoning japo Kwa asilimia kubwa bado wanajikongoja.
 
KITU KAMA HUKIELEWI ACHANA NACHO, KUNA MENGI YA KUFANYA
8d8812e8241243f3997ad46b368348fe.jpg
 
Hawa watu ukifuatik8a Kwa ukaribu wsnachofanya siyo sahihi kabisaa

Mimi Sina taakuma ya Habari na mawasiliano Kwa uzosfu wangu Katika kufuatilia mambo haws jamaa wako OP kabisaa.

1. Wafanyakazi wao wengi siyo profesional kabisaa ni wa mjomba kamlete

2. Hawako serious Katika kuchambua mambo Kwa umakini..critical reasoning.

3. Ukitenga mda wako kuwasikiliza utaamambulia makelele tu Hakuna la maana.

4. Wana uchambuzi wa magazeti na habari Wa hovyo sijawahi ona.
Waachambua magezti matatu shallow Kwa Habari moja moja Baasi Wakati tuna magazeti lukuki. na wanachambua mpira vizuri kuliko magazeti.

5 Kila mtu Anajidai ni comedian, guys simuende Cheka tu Kwa koy mzungu mkafanye stand up comedy. Tunahitaji kufurahi lakini siyo mnavyofanya.

Tunahitaji critical and intelligent radio presenters and journalists not hawa wa kuokota okota akina masanja kufanya hivyo mnakosesha wananchi haki yao kujua vitu Kwa undani.

Mass communication main purpose ni kutoa taarifa na kuelimisha jamii, na elimu itolewa haswa na wenye taaluma husika ya Habari


Tafuteni watu wenye taaluma Zao kuheshimisha Hii Tasnia, vituo vingine kiasi Fulani wanajitahidi critical reasoning japo Kwa asilimia kubwa bado wanajikongoja.
Yaani kama ukiwasikiliza kina baba levo,seki na yule dada,kwenye kipindi cha MGAHAWA!!Ni aibu yaani upeo wao wa kuchambua mambo ni mdogo sana!!ila ni kutokana na elimu na exposure.Hivi ile sheria ya kuwa waandishi wa habari wanatakiwa kuwa na elimu kuanzia ngazi ya diploma itaanza lini?!
 
Taaluma ya habari ubunifu na vipaji tu inatosha, chuoni ni kwenda kubrashiwa ung'ae, ujue media laws, communication skills and public relation na upate cheti uajiriwe. Mambo mengi ni kuwa mbunifu tu kupata wasikilizaji/watazamaji/wasomaji wengi wa makala/kipindi chako. Uandishi na utangazaji ni sanaa ya kipekee. Ndio maana kuna kituo kimoja cha tv na redio maarufu wana mtindo wa kipekee kusoma taarifa ya habari wakijitofautisha na wengine. Unaweza ukapata ma degree mengi lakini ukakosa ubunifu wa kuandika na kuripoti/kutanga habari. Tasnia ya habari ni pana na kubwa, ni kama haina mwisho
 
Radio zimegawanyika radio za burudani ni wasafi,efm,clouds


Habari nenda tbc,Itv,radio one.....

But nahic labda ww ndio muda umekuacha saizi burudani ndio pesa ilipo ndio maana baada ya miaka kadhaa lazma watu wajiswitch taarifa za habari na magazeti havitokuwa na umuhimu
 
Back
Top Bottom