ninjajr
Senior Member
- Sep 16, 2023
- 136
- 140
Kivipiapply for job button disable
Kivipiapply for job button disable
20 hour ku upload barua tu wameatuachia sehemu nyingineKivipi
Hivi vyeti lazima uvihakiki kwa mwanasheria?Ndio mkuu nimefanikiwa.. Leo mtandao umetulia
Usha upload20 hour ku upload barua tu wameatuachia sehemu nyingine
nimemaliza leo mida ya saa10 alfajiri tena account mbili na ya mtu mwingineKama Kuna aliefanikisha kutuma maombi polisi atupe mbinu bas na sisi
cheti, passport na cover letterViambata ni vitu gani kwa aliemaliza form four 2023?
Tumia link ya ajira2.tpf.go.tzKama Kuna aliefanikisha kutuma maombi polisi atupe mbinu bas na sisi
Tumia link ya ajira2.tpf.go.tz
kumbe mna link zenu specialTumia link ya ajira2.tpf.go.tz
Link ipo kweny website yao, na watu wanatuma maombi hapa, wewe huo utapeli umeuona wapi?Mkuu usiamini link yeyote ambayo haijatolewa rasmi na idara husika matapeli wamechangamkia hii fulsa ya mfumo kusumbua watu wa IT wanajua kitu Kinaitw fishing na web farming watu watatengeneza page kivuli Kama ilivyo(zombie page) utawatumia nyaraka zako afu sikumoja wanakupigia simu wanakutajia taarifa zako sahihi nakukutaka ushirikiano ili wakusaidie na kwakua taarifa zitakua sahihi utawaamini tumia link iliyotolewa tu watu hamjui tu kua hio namba ya Nida tu mtu natengeneza mazingira unakuta kachukulia mkopo
Link ipo kweny website ya polisi, link zetu special tuzitoe wapikumbe mna link zenu special
Wametoa kweli mkuu?Jaman jwtz tyr huko mshindwe ninyi tuu
Kuna mkanganyiko🥴🥴Wametoa kweli mkuu?
Link ipo kweny website yao, na watu wanatuma maombi hapa, wewe huo utapeli umeuona wapi?
Pamoja mkuuhapo sawa mkuu nilikua tu namashaka na source iyo link lakin mi nikiingia kwenye web yaon nikibonyeza inanirudi ajira.tpf.go.tz
uwezi harafu njoo inbox nikupe kazi rahisiWakuu naweza kujaza kwanza sehemu hizo zingine then nimalizie na taarifa za NIN?View attachment 2993412